Taswira za wana JF , imaginary ghost?

Nimepotea because Nilikuwa naangalia uwezekano wa makombora ya kim huku Pyongyang
 
Acha kunifuatilia fuatilia kwenye anga zangu we kizee me na ww si tumeshashindwana
Tena achana naye kabisa huyo jamaa... atakuambukiza...

Usije sema sijakuonya
 
Hebu niambieni na mimi huwa nina taswira gani jamani"?
Hornet mdada makamo ya 30-35 kibonge kiasi, ni mrembo ila haendekezi sana urembo yuko bize mno kutafuta hela. Ni mkarimu ila sio mcheshi sana, yuko siriaz kimtindo
 
Na kwa alie nje ya dar je?
 
Hornet mdada makamo ya 30-35 kibonge kiasi, ni mrembo ila haendekezi sana urembo yuko bize mno kutafuta hela. Ni mkarimu ila sio mcheshi sana, yuko siriaz kimtindo
Umekosea hapo,
I do lough a lot ila siyo muongeaji sana,mpaka niwe na mood.
Vingine umepatia 100%
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…