Taswira za wana JF , imaginary ghost?

Yangu vipi mkuu waionaje
 
Naomba yoyote aeleze taswira yangu kulingana na maandishi yangu, kadri utakavyokuwa unapatia ndivyo dau la zawadi yako litazidi kuongezeka....

NB: Kwa wanaonifahamu hawahusiki humu na ni marufuku kunong'onezwa na wanaonijua.
Nimekupatia!
 
Kasie Me Najaribu Kutokana na Nionavyo Wewe

Ni Aged Kidg Siyo Sana Uko Less than 52 yrs Unavaa Miwani na Hereni

Mavazi Unapendeza Ukivaa Kama Angel Kairuki but Unapendelea Kuvaa Simple Simple kabila Nahisi ni Muhaya But Ushawahi Kuishi Kagera na Bukoba

Personal Appearance Una Muonekano Kama Wa Mama Salma Kikwete

Matatizo Uliyonayo Ni Mwili Mkubwa Umejiachia Sn
Kutokana Na Kuwa Bussy Na Mishe mishe Za Maisha Una Pressure ya Kupanda, na Alleged na Mazingira ya Vumbi
Una Ndugu Au Mtu Ambaye Unamgharamia KWENYE Masomo

Hivyo Ndivyo Nionavyo Cc: Kasie
 
Ha ha ha ha ha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…