Taswira za wana JF , imaginary ghost?

Taswira za wana JF , imaginary ghost?

Kuna memba kama napataga taswira fulan hivi amizing...kutokana na nyuzi zao...mfano
 
Kwa wale ambao hatujawahi kuonana humu na wale ambao hamjawahi kukutana na taswira ya Kasie kwenye mitandao ya kijamii kama wasap na kwingineko.

Jaribu kuelezea Kasie taswira yake atayepatia nampa nafasi ya kupata nae mlo wa mchana au wa usiku siku nikiwa off kwenye hoteli yoyote atayoichagua. Kwasababu mie ndo natoa ofa gharama zinakuwa kwangu.

Angalizo: usije na ID mchepuko yako kujieleza hapa wewe ambaye unanijua tulishaonana au ulishakutana na taswira ya Kasie huko. Nikigundua basi ofa inaghairishwa. Karibuni.
 
Natamani mtu aniambie akiona mwandiko wangu anapata taswira gani nicheke kidogo
 
Kwa wale ambao hatujawahi kuonana humu na wale ambao hamjawahi kukutana na taswira ya Kasie kwenye mitandao ya kijamii kama wasap na kwingineko.

Jaribu kuelezea Kasie taswira yake atayepatia nampa nafasi ya kupata nae mlo wa mchana au wa usiku siku nikiwa off kwenye hoteli yoyote atayoichagua. Kwasababu mie ndo natoa ofa gharama zinakuwa kwangu.

Angalizo: usije na ID mchepuko yako kujieleza hapa wewe ambaye unanijua tulishaonana au ulishakutana na taswira ya Kasie huko. Nikigundua basi ofa inaghairishwa. Karibuni.
Taswira yangu Kasie ni mdada mmoja hivi wa mjini mchangammfu ila hana marafiki anaofuatana kama kumbikumbi, ana mwili wenye nyamanyama kidogo yaani sio kimbaumbau sana wala sio kibonge. Ni nadhifu ila yuko simpo sio mtu wa kujikandika mamekapu, mawigi na mahereni makubwamakubwa...nimepatia eeh?[emoji85] [emoji85]
 
Taswira yangu Kasie ni mdada mmoja hivi wa mjini mchangammfu ila hana marafiki anaofuatana kama kumbikumbi, ana mwili wenye nyamanyama kidogo yaani sio kimbaumbau sana wala sio kibonge. Ni nadhifu ila yuko simpo sio mtu wa kujikandika mamekapu, mawigi na mahereni makubwamakubwa...nimepatia eeh?[emoji85] [emoji85]

Hahahahaaa wewe utakuwa umenong'onezwa....

Hakuna tatizo ngoja nifanye uhakiki wangu kisha ntarudi, umepatia kiasi si vyote japo asilimia kubwa ni kweli.
 
Hahahahaaa wewe utakuwa umenong'onezwa....

Hakuna tatizo ngoja nifanye uhakiki wangu kisha ntarudi, umepatia kiasi si vyote japo asilimia kubwa ni kweli.
[emoji23] [emoji23] amini nakuambia sijaambiwa na mtu.
 
Taswira yangu Kasie ni mdada mmoja hivi wa mjini mchangammfu ila hana marafiki anaofuatana kama kumbikumbi, ana mwili wenye nyamanyama kidogo yaani sio kimbaumbau sana wala sio kibonge. Ni nadhifu ila yuko simpo sio mtu wa kujikandika mamekapu, mawigi na mahereni makubwamakubwa...nimepatia eeh?[emoji85] [emoji85]

Umekosea
 
Mwifwa ni kijana umri 34-40. Mrefu ft 5 7' ana uso duara( sio wa kitutsi)
Mpole mcheshi anapenda starehe kiasi( disco outing). Si mpenzi wa pombe. Ana mke na watoto wawili.
Ni msomi wa kadri.
Mtumishi wa umma.
 
Naomba yoyote aeleze taswira yangu kulingana na maandishi yangu, kadri utakavyokuwa unapatia ndivyo dau la zawadi yako litazidi kuongezeka....

NB: Kwa wanaonifahamu hawahusiki humu na ni marufuku kunong'onezwa na wanaonijua.
 
Back
Top Bottom