Tathimini Ya show Ya Diamond Dar na Iringa

Wewe unadhani Voda wanachukua hela Hapo? Kwa akili yako tuuu ndogo katika mkataba alio Ingia diamond nani wakulipwa? VODA wao ni kupata wateja wapya,kuwathamini wateja waliopo na kuuza bidhaa zao
Mfano mdogo ligi kuu Vodacom (VPL) Voda wao wanachukua nn ?? Mambo mengne yahtaj kujiongeza tu.
 
Kipaji chako ndo utajiri wako, WCB hongera zao sio jambo rahis kuingia mamilion Kama hayo ndani ya siku mbili
 
Kipaji chako ndo utajiri wako, WCB hongera zao sio jambo rahis kuingia mamilion Kama hayo ndani ya siku mbili
mbona pesa kiduchu hyo nik kupa kilo 150 za unga kesho unanunua tabata yote
 
Nina maswali mengi sana kwako,lakini nimeogopa kwenda kwenye maswali moja kwa moja kwa vile sijui kiwango chako cha elimu,vipi elimu yako ni ya kiwango gani ........ ili nisikuulize maswali wengine wakasema nimekuonea kwa kukupa maswali magumu ????

Darasa la.saba A, huna.ubavu huo rafiki, I bet

na wewe mrembo?
 
Wanacho Faidika voda ni kujitangaza na kuuza sana bidhaa zao! Kama vile ilivyo ligi kuu Vodacom
Acha uongo hizo gharama za ulinzi, usafiri wa lwrnda na kurudi kundi lote, matangazo ni nani analipa?
 
Darasa la.saba A, huna.ubavu huo rafiki, I bet

na wewe mrembo?
Aiseee pole sana, fanya mpango uongeze kiwango chako cha elimu,kwa jinsi unavyoonekana bado unaweza kurudi kwenye mstari hujapotea sana. Lakini nakusii,usije ukaongea huu utumbo wako mbele ya mambumbumbu wenzako maana wenyewe hawatajua kama kiwango chako cha elimu ndio tatizo,watahisi unawafanyia kusudi.
 
Acha uongo hizo gharama za ulinzi, usafiri wa lwrnda na kurudi kundi lote, matangazo ni nani analipa?
Sasa wewe unayeujua ukweli si ndio useme ni nani anayelipa ........??
 

Maoni mazuri hayo
 
Ushahidi gani sasa? Kwamba kama ni kweli kulikuwa na show Iringa?

Au ushahidi kwamba Vodacom wamehusika kwenye hizo show?

Yaani team tembo hamueleweki.....!
Ushahidi wa watu wangapi waliingia na kiasi gani cha pesa kilipatikana otherwise hizi ni Ngonjera tu.
 
Radio Afro ya nchini Australia imeitaja single ya
Diamond Platnumz ft. P-Square - "Kidogo" kama
wimbo bora wa mwaka 2016. pic.twitter.com/
DIAfhfYBZ0
 
Na wewe unaonekana wala hufahamu maana ya udhamini!! Kukupunguzia muda; subiri siku wacheze Yanga na Simba manake kwa kawaida huwa wanatangaza mapato na mgawanyo halafu stay tuned kama utasikia Vodacom wamepata asilimia fulani!!!!!
Mkuu wewe ndo hujanielew hakuna sehemu nimeandika Voda ila tu namkosoa mtoa mada hela zote hizo sio za diamond peke kuna crew kubwa nyuma yake.. Wote wana mgao wao hapo
 
Mkuu wewe ndo hujanielew hakuna sehemu nimeandika Voda ila tu namkosoa mtoa mada hela zote hizo sio za diamond peke kuna crew kubwa nyuma yake.. Wote wana mgao wao hapo
Come on sweetheart... acha kumlisha danya maneno! Hajasema kwamba pesa zote ni za Diamond... ni nani angesema zote ni za Diamond wakati inaeleweka Diamond ana watu nyuma yake?! Hiki ndicho amesema:
Kifupi katika tathimini ninayo ileta Pesa Iliyo patikana ni itaingia moja kwa moja Katika Lebal ya WCB na Itafuata mkataba unavo sema kwa ma meneja!
Alichosema ni kwamba, pesa inaingia WCB na sio kwa Diamond!

Lakini ingawaje pesa inaingia WCB, ukweli ni kwamba yeye atakuwa ndie mwenye mgao mkubwa zaidi, kwa sababu:

Mosi, udhamini wa Vodacom umetokana na nafasi ya Diamond as Vodacom Brand Ambassador.

Pili, Diamond ndie Lead Act kwenye shows zote mbili!

Aidha, hapa tukumbushane kwamba uhusiano wa kibiashara wa Vodacom si Vodacom vs WCB bali ni VodaCom vs Diamond!

Hilo nalo linahitaji maelezo ya kutosha kwa sababu, kutokana na ukweli huo, basi VodaCom Wasafi Beach Party/Iringa Festival inaweza kuwa na sura tofauti tofauti.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…