Tathmini fupi mchezo wa Yanga dhidi ya Namungo

Tathmini fupi mchezo wa Yanga dhidi ya Namungo

[QUOTE="ngara23, post: 52130411, member: 565550
Mashindano ya akina mama yanaanza lini
[/QUOTE]
Waulize wajomba zako...baba zako wanaoshabikia Simba nao si ni kina mama? Watakupa jibu...
Hata ww ulikua mama mwaka juzi mara hii umeshasahau...
 
[QUOTE="ngara23, post: 52130411, member: 565550
Mashindano ya akina mama yanaanza lini
Waulize wajomba zako...baba zako wanaoshabikia Simba nao si ni kina mama? Watakupa jibu...
Hata ww ulikua mama mwaka juzi mara hii umeshasahau...
[/QUOTE]
Huko Kuna football ⚽ kweli au rede
 
Waulize wajomba zako...baba zako wanaoshabikia Simba nao si ni kina mama? Watakupa jibu...
Hata ww ulikua mama mwaka juzi mara hii umeshasahau...
Huko Kuna football ⚽ kweli au rede
[/QUOTE]
Waulize wajomba zako na mababa zako wanaoshabikia Simba...kina mama wana majibu...
 
Huko Kuna football ⚽ kweli au rede
Waulize wajomba zako na mababa zako wanaoshabikia Simba...kina mama wana majibu...
[/QUOTE]
Ndugu zangu wote wapo Yanga timu ya Wananchi, mabingwa mara 30
 
Waulize wajomba zako na mababa zako wanaoshabikia Simba...kina mama wana majibu...
Ndugu zangu wote wapo Yanga timu ya Wananchi, mabingwa mara 30
[/QUOTE]
Waulize waume wa dada zako nao ni kina mama au wao ni ndugu zako...ahahahaa
 
Ndugu zangu wote wapo Yanga timu ya Wananchi, mabingwa mara 30
Waulize waume wa dada zako nao ni kina mama au wao ni ndugu zako...ahahahaa
[/QUOTE]
Wewe ni mdada ni haki kufurahia mashindano ya akina mama
Ugomvi wangu ni wanaume wanaoshiriki mashindano ya akina mama
 
Waulize waume wa dada zako nao ni kina mama au wao ni ndugu zako...ahahahaa
Wewe ni mdada ni haki kufurahia mashindano ya akina mama
Ugomvi wangu ni wanaume wanaoshiriki mashindano ya akina mama
[/QUOTE]
Niko na ww sambamba nawatetea makaka zangu wa simba...na kaka zako...wajomba zako..mababa zako...mashemeji zako uliowageuza kina mama...
 
Mechi ilikuwa nzuri
Wachezaji wa Yanga wameonyesha ukomavu na uvumilivu hadi nafasi za kufunga zikapatikana

Wachezaji wetu hawana fitness nzuri sana.

Nadhani labda uchovu kushinda ubingwa mara 3 siochezo, hii inasabisha mechi kukosa kasi tuliyozoea

Duke Abuya ni Mchezaji mzuri mno, ametimiza majukumu yake Kwa usahihi.

Azizi ki anahitaji mechi zisizo na pressure ili kurudisha confidence yake, ila Bado yuko poa

Kennedy Musonda amecheza vizuri hapa anadai mkataba mpya, Coach amwamini Musonda ili kumpunguzia Dube pressure ya kuwa striker namba 1

Kibabage amegoma kubadilika, amecheza vibaya sana,
Sio mzuri kwenye kukaba wala kushambulia,
Eng Hersi dirisha dogo ingia sokoni tuletee beki mzawa wa kushoto

Chama fundi huyu sisemi sana, hapaswi kukaa bench anataka mkataba zaidi ya kubakia Yanga

Max, Muda, Dube, Mwamnyeto, Komen, Yao kiwango kizuri mmeonyesha kama kawaida na ndo yalikuwa matarajio yangu

Timu kubwa imechezwa kikubwa, magoli hayana mbambamba kama wale wengine wanaoshiriki mashindano ya akina mama

Yanga bingwa 🏆
Kwa kifupi Sana...

QUALITY YA WACHEZAJI WA NAMUNGO NI NDOGO MNO NA HAWAKUA NA UTULIVU.

""YANGA WAMEPIGA BOMU MOCHWARI NA WANAJISIFU WAMEUA.""
 
Yanga mngekuwa na akili mngeomba haraka kucheza mechi nyingine ya ligi kabla ya kwenda Algeria. Hiyo kama mngeshinda ingewapa momentum nzuri kuelekea mechi ya CAF na pia kurudisha pressure kwa Simba katika ligi. Risk yake ni kuwa mnaweza kupoteza.
Wewe nae hua huna akili mechi za ligi hua zinaombwa kama ndondo yaani ukijisikia tu unaomba mechi?
 
Back
Top Bottom