Tathmini fupi mechi ya JKT TANZANIA vs Young Africans

Tathmini fupi mechi ya JKT TANZANIA vs Young Africans

ngara23

JF-Expert Member
Joined
Aug 31, 2019
Posts
9,091
Reaction score
21,087
Mechi ilikuwa nzuri
Nampongeza coach wa JKT Tanzania ametupa mechi nzuri
Hii inathibitisha ubora wa ligi

Nampongeza mwamzi Arajiga, ameonyesha tofauti na waamzi wengine

Coach hakuifanyia tathmini nzuri timu ya JKT Tanzania kuwa ni wazuiaji wazuri na wanacheza physical game akaamua kuanza na Chama ambaye sio mzuri kwenye kugongana

Coach afikirie pia kumpumzisha Mudathir anaonekana ametumika sana, anapoza mashambulizi na hapigi penetration pass, nadhani mechi zijazo ajaribu kuanza na Max Nzengeli badala ya Mudathir

Prince Dube anafanya kazi kubwa kiwanjani ila Leo hajapatikana kwenye eneo lake

Wachezaji wa Yanga Sina cha kuwadai, Mimi kama mwana michezo nimeridhika na kiwango cha timu.

League ni marathon natumai uongozi na bench la ufundi litulie tuone mwisho wa msimu tutavuna nini

Yanga Bingwa
 
Buhaahahhahahah 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
Screenshot_20250117-230013_Chrome.jpg
 
DUBE AFUNGWE JIWE ZITO SHINGONI KISHA ATUPWE BAHARINI ALIWE NA PAPA [emoji856]
 
Mechi ilikuwa nzuri
Nampongeza coach wa JKT Tanzania ametupa mechi nzuri
Hii inathibitisha ubora wa ligi

Nampongeza mwamzi Arajiga, ameonyesha tofauti na waamzi wengine

Coach hakuifanyia tathmini nzuri timu ya JKT Tanzania kuwa ni wazuiaji wazuri na wanacheza physical game akaamua kuanza na Chama ambaye sio mzuri kwenye kugongana

Coach afikirie pia kumpumzisha Mudathir anaonekana ametumika sana, anapoza mashambulizi na hapigi penetration pass, nadhani mechi zijazo ajaribu kuanza na Max Nzengeli badala ya Mudathir

Prince Dube anafanya kazi kubwa kiwanjani ila Leo hajapatikana kwenye eneo lake

Wachezaji wa Yanga Sina cha kuwadai, Mimi kama mwana michezo nimeridhika na kiwango cha timu.

League ni marathon natumai uongozi na bench la ufundi litulie tuone mwisho wa msimu tutavuna nini

Yanga Bingwa
Utopolo ni utopolo tu hata azaliwe ulaya. Wewe siyo mwanamichezo wewe ni shabiki maandazi tu.

Utopolo ni utopolo tu.
 
Back
Top Bottom