Njemba Soro.
JF-Expert Member
- Oct 5, 2013
- 3,732
- 6,561
Kalpana sina Hela tu ningekuhonga hata kama uwe libibi.....Msisahau kuvaa jezi za Chasambi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kalpana sina Hela tu ningekuhonga hata kama uwe libibi.....Msisahau kuvaa jezi za Chasambi
Mechi ilikuwa nzuri
Nampongeza coach wa JKT Tanzania ametupa mechi nzuri
Hii inathibitisha ubora wa ligi
Nampongeza mwamzi Arajiga, ameonyesha tofauti na waamzi wengine
Coach hakuifanyia tathmini nzuri timu ya JKT Tanzania kuwa ni wazuiaji wazuri na wanacheza physical game akaamua kuanza na Chama ambaye sio mzuri kwenye kugongana
Coach afikirie pia kumpumzisha Mudathir anaonekana ametumika sana, anapoza mashambulizi na hapigi penetration pass, nadhani mechi zijazo ajaribu kuanza na Max Nzengeli badala ya Mudathir
Prince Dube anafanya kazi kubwa kiwanjani ila Leo hajapatikana kwenye eneo lake
Wachezaji wa Yanga Sina cha kuwadai, Mimi kama mwana michezo nimeridhika na kiwango cha timu.
League ni marathon natumai uongozi na bench la ufundi litulie tuone mwisho wa msimu tutavuna nini
Yanga Bingwa
Mechi ilikuwa nzuri
Nampongeza coach wa JKT Tanzania ametupa mechi nzuri
Hii inathibitisha ubora wa ligi
Nampongeza mwamzi Arajiga, ameonyesha tofauti na waamzi wengine
Coach hakuifanyia tathmini nzuri timu ya JKT Tanzania kuwa ni wazuiaji wazuri na wanacheza physical game akaamua kuanza na Chama ambaye sio mzuri kwenye kugongana
Coach afikirie pia kumpumzisha Mudathir anaonekana ametumika sana, anapoza mashambulizi na hapigi penetration pass, nadhani mechi zijazo ajaribu kuanza na Max Nzengeli badala ya Mudathir
Prince Dube anafanya kazi kubwa kiwanjani ila Leo hajapatikana kwenye eneo lake
Wachezaji wa Yanga Sina cha kuwadai, Mimi kama mwana michezo nimeridhika na kiwango cha timu.
League ni marathon natumai uongozi na bench la ufundi litulie tuone mwisho wa msimu tutavuna nini
Yanga Bingwa
Sahau....Next ni kipigo cha mbweha kichaaMpira wa miguu una matokeo matatu; kushinda, kufungwa na draw. Mechi ijayo tutarudi tukiwa imara zaidi
Walichokifanya JKT leo kitaalamu kinaitwa operation kata ngebe...Mechi ilikuwa nzuri
Nampongeza coach wa JKT Tanzania ametupa mechi nzuri
Hii inathibitisha ubora wa ligi
Nampongeza mwamzi Arajiga, ameonyesha tofauti na waamzi wengine
Coach hakuifanyia tathmini nzuri timu ya JKT Tanzania kuwa ni wazuiaji wazuri na wanacheza physical game akaamua kuanza na Chama ambaye sio mzuri kwenye kugongana
Coach afikirie pia kumpumzisha Mudathir anaonekana ametumika sana, anapoza mashambulizi na hapigi penetration pass, nadhani mechi zijazo ajaribu kuanza na Max Nzengeli badala ya Mudathir
Prince Dube anafanya kazi kubwa kiwanjani ila Leo hajapatikana kwenye eneo lake
Wachezaji wa Yanga Sina cha kuwadai, Mimi kama mwana michezo nimeridhika na kiwango cha timu.
League ni marathon natumai uongozi na bench la ufundi litulie tuone mwisho wa msimu tutavuna nini
Yanga Bingwa
Yanga wakikutana na timu ambazo hazina ufadhili wa yule muwekezaji wao huwa wanapata wakati mgumu sanaMechi ilikuwa nzuri
Nampongeza coach wa JKT Tanzania ametupa mechi nzuri
Hii inathibitisha ubora wa ligi
Nampongeza mwamzi Arajiga, ameonyesha tofauti na waamzi wengine
Coach hakuifanyia tathmini nzuri timu ya JKT Tanzania kuwa ni wazuiaji wazuri na wanacheza physical game akaamua kuanza na Chama ambaye sio mzuri kwenye kugongana
Coach afikirie pia kumpumzisha Mudathir anaonekana ametumika sana, anapoza mashambulizi na hapigi penetration pass, nadhani mechi zijazo ajaribu kuanza na Max Nzengeli badala ya Mudathir
Prince Dube anafanya kazi kubwa kiwanjani ila Leo hajapatikana kwenye eneo lake
Wachezaji wa Yanga Sina cha kuwadai, Mimi kama mwana michezo nimeridhika na kiwango cha timu.
League ni marathon natumai uongozi na bench la ufundi litulie tuone mwisho wa msimu tutavuna nini
Yanga Bingwa
Benchi la ufundi limebadilishwa last week tu, iweje uwalaumu kocha mpya badala ya kuulaumu I'll uongozi wa timu kuingilia majukumu ya benchi la ufundi....Kwa hali hii tukikosa ubingwa tutasingizia ligi ni ngumu, au ni uzembe tu wa makocha wa timu kushindwa kupanga wachezaji wazuri wa kuwapa matokeo!
Kwenye maelezo yangu hakuna mahali nimetaja kocha mpya! Badala yake nimesema "makocha wa timu".Benchi la ufundi limebadilishwa last week tu, iweje uwalaumu kocha mpya badala ya kuulaumu I'll uongozi wa timu kuingilia majukumu ya benchi la ufundi....
Kumbuka 'kilichofanywa' leo ni muendelezo wa yaliyofanywa na waliotangulia..
Mpeni timu Magoma ataiongoza vyema bila kuingilia kazi za benchi la ufundi.
Wachezaji morali iko chini sana, nadhani ni haya mabadiliko ya makocha watatu sasa.Mechi ilikuwa nzuri
Nampongeza coach wa JKT Tanzania ametupa mechi nzuri
Hii inathibitisha ubora wa ligi
Nampongeza mwamzi Arajiga, ameonyesha tofauti na waamzi wengine
Coach hakuifanyia tathmini nzuri timu ya JKT Tanzania kuwa ni wazuiaji wazuri na wanacheza physical game akaamua kuanza na Chama ambaye sio mzuri kwenye kugongana
Coach afikirie pia kumpumzisha Mudathir anaonekana ametumika sana, anapoza mashambulizi na hapigi penetration pass, nadhani mechi zijazo ajaribu kuanza na Max Nzengeli badala ya Mudathir
Prince Dube anafanya kazi kubwa kiwanjani ila Leo hajapatikana kwenye eneo lake
Wachezaji wa Yanga Sina cha kuwadai, Mimi kama mwana michezo nimeridhika na kiwango cha timu.
League ni marathon natumai uongozi na bench la ufundi litulie tuone mwisho wa msimu tutavuna nini
Yanga Bingwa