Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwisho wa Msimu mtavuna mabua.😅Mechi ilikuwa nzuri
Nampongeza coach wa JKT Tanzania ametupa mechi nzuri
Hii inathibitisha ubora wa ligi
Nampongeza mwamzi Arajiga, ameonyesha tofauti na waamzi wengine
Coach hakuifanyia tathmini nzuri timu ya JKT Tanzania kuwa ni wazuiaji wazuri na wanacheza physical game akaamua kuanza na Chama ambaye sio mzuri kwenye kugongana
Coach afikirie pia kumpumzisha Mudathir anaonekana ametumika sana, anapoza mashambulizi na hapigi penetration pass, nadhani mechi zijazo ajaribu kuanza na Max Nzengeli badala ya Mudathir
Prince Dube anafanya kazi kubwa kiwanjani ila Leo hajapatikana kwenye eneo lake
Wachezaji wa Yanga Sina cha kuwadai, Mimi kama mwana michezo nimeridhika na kiwango cha timu.
League ni marathon natumai uongozi na bench la ufundi litulie tuone mwisho wa msimu tutavuna nini
Yanga Bingwa
Mmeanza kalkuleta...msyuuuu mtashangaà...😅😃😂Tuombe uzima kesho Chasambi na Kijili, waamke poa
We farabu Leo nini kimetokea?? Au ID's zangu Bado unaziona nyingi?? fisi mkubwa.😅😃😂Tuombe uzima kesho Chasambi na Kijili, waamke poa
Au NBC ni ligi ya wamamaMatusi ya nini sasa?
Huyu fisi anasema eti mechi ilikuwa nzuri....Na Kigoma mnaenda kudondosha pwenti 3
Sijakutukana..... Kama unaamini hivyo nishtaki nipigwe ban.....Matusi ya nini sasa?
Matusi ya nini Sasa ..Wamama wapo shirikisho kama alivosema Kaduguda Kiongozi pale Simba
Kwa hiyo wamama wametoka ligi ya NBC mpaka shirikisho?Wamama wapo shirikisho kama alivosema Kaduguda Kiongozi pale Simba
Yanga leo walicheza kwa Tempo ya chini sana, huwezi shinda kwa timu zinazopaki basi kwa style hii!Mechi ilikuwa nzuri
Nampongeza coach wa JKT Tanzania ametupa mechi nzuri
Hii inathibitisha ubora wa ligi
Nampongeza mwamzi Arajiga, ameonyesha tofauti na waamzi wengine
Coach hakuifanyia tathmini nzuri timu ya JKT Tanzania kuwa ni wazuiaji wazuri na wanacheza physical game akaamua kuanza na Chama ambaye sio mzuri kwenye kugongana
Coach afikirie pia kumpumzisha Mudathir anaonekana ametumika sana, anapoza mashambulizi na hapigi penetration pass, nadhani mechi zijazo ajaribu kuanza na Max Nzengeli badala ya Mudathir
Prince Dube anafanya kazi kubwa kiwanjani ila Leo hajapatikana kwenye eneo lake
Wachezaji wa Yanga Sina cha kuwadai, Mimi kama mwana michezo nimeridhika na kiwango cha timu.
League ni marathon natumai uongozi na bench la ufundi litulie tuone mwisho wa msimu tutavuna nini
Yanga Bingwa
Una hoja nzuriYanga leo walicheza kwa Tempo ya chini sana, huwezi shinda kwa timu zinazopaki basi kwa style hii!
Kingine timu yetu inakosa winga zenye makali kwenye one vs one, za kufosi na kutengeneza nafasi tunategemea viongo na mabeki wa pembeni tu kutengeza nafisi, Engeneer inabid achonge na Mc Alger watupe Kipre Junior ataisaidia sana hii timu
Acha ushamba...... Huna unachoniongezea Wala kunipunguzia. HUNA JIPYA KAMA MKUDE PALE YANGA....Nakuwekea ignore list
Sina cha ku share na wewe
Level yako ya ustaarabu ni ndogo