Tathmini fupi mechi ya JKT TANZANIA vs Young Africans

Tathmini fupi mechi ya JKT TANZANIA vs Young Africans

Ila kuwaita wenzio wa CAF CC sio dharau sio?
Hilo jina ni Kwa mjibu wa Kaduguda
Sio Mimi nilisema ati shirikisho ni mashindano ya akina mama Bali ni Kaduguda Kiongozi pale Simba na Bado yupo hai nenda muulize
 
Hilo jina ni Kwa mjibu wa Kaduguda
Sio Mimi nilisema ati shirikisho ni mashindano ya akina mama Bali ni Kaduguda Kiongozi pale Simba na Bado yupo hai nenda muulize

Hata hayo maneno ni Ya Manara kuwa yanga wenye akili ni wawili tuu mzee kikwete na Sunday manara.

Haya tuambie wewe akili umetoa wapi?
 
Hata hayo maneno ni Ya Manara kuwa yanga wenye akili ni wawili tuu mzee kikwete na Sunday manara.

Haya tuambie wewe akili umetoa wapi?
Kwani mambumbumbu yameisha huko umbumbumbuni kama alivosema Rage
 
Hii timu bila magoli ya bure wanayopewa na timu zinazodhaminiwa na GSM ingekuwa na point 6 kama za KENGOLD 😂😂
 
Simba amefungwa mara nne mfululizo kutia ndani kipigo cha mbwa mwizi cha goli 5.
Je nae ana udhamini wa GSM?
we kichwa maji hapa naongelea mechi za nyuma mwiko kwa ujumla we umekimbilia simba, jaribu kujikita kwenye ushindani wa mechi
 
Mechi ilikuwa nzuri
Nampongeza coach wa JKT Tanzania ametupa mechi nzuri
Hii inathibitisha ubora wa ligi

Nampongeza mwamzi Arajiga, ameonyesha tofauti na waamzi wengine

Coach hakuifanyia tathmini nzuri timu ya JKT Tanzania kuwa ni wazuiaji wazuri na wanacheza physical game akaamua kuanza na Chama ambaye sio mzuri kwenye kugongana

Coach afikirie pia kumpumzisha Mudathir anaonekana ametumika sana, anapoza mashambulizi na hapigi penetration pass, nadhani mechi zijazo ajaribu kuanza na Max Nzengeli badala ya Mudathir

Prince Dube anafanya kazi kubwa kiwanjani ila Leo hajapatikana kwenye eneo lake

Wachezaji wa Yanga Sina cha kuwadai, Mimi kama mwana michezo nimeridhika na kiwango cha timu.

League ni marathon natumai uongozi na bench la ufundi litulie tuone mwisho wa msimu tutavuna nini

Yanga Bingwa
Kumbe huwa unaakili, sasa ulivyoiandama simba? Uzuri uto ni kama kenge, hadi damu imtoke ndo anajua kimenuka.
 
Kuna siku unamka vizuri ila leo umeamka vibaya.. wewe unadanganywa na pasi pasia za bila mipango, yaani leo Yanga wameonesha kiwango kibovu sana..yaani muanzisha mashambulizi ya kuelekea lango la mpinzani hakuwepo... mpango kazi ndani ya pitch hakuna..eti unasema leo wamecheza vizuri..kwasababu na uto nao ni wabovu basi Yanga bingwa.
 
Kuna siku unamka vizuri ila leo umeamka vibaya.. wewe unadanganywa na pasi pasia za bila mipango, yaani leo Yanga wameonesha kiwango kibovu sana..yaani muanzisha mashambulizi ya kuelekea lango la mpinzani hakuwepo... mpango kazi ndani ya pitch hakuna..eti unasema leo wamecheza vizuri..kwasababu na uto nao ni wabovu basi Yanga bingwa.
Hujui mpira
Mpira hauchezwi upande mmoja
Leo mpinzani alikuwa vyema
 
Kwenye maelezo yangu hakuna mahali nimetaja kocha mpya! Badala yake nimesema "makocha wa timu".
Wamepita makocha wengi na sasa hawapo na timu....

Huyu wa sasa hajamaliza hata kifurushi chake cha wiki tangu apewe timu ila alichokifanya kwa mechi ya leo ni wazi anafuata mfumo alioukuta so hana jipya kwa timu.
 
Kwaiyo 5imba hakufungwa mara nne mfululizo
1000239917.jpg
 
Back
Top Bottom