Tathmini fupi mechi ya Young Africans vs Singida Black Stars

Tathmini fupi mechi ya Young Africans vs Singida Black Stars

ngara23

JF-Expert Member
Joined
Aug 31, 2019
Posts
9,091
Reaction score
21,087
Mchezo ulikuwa mzuri, ukitawaliwa na mbinu za coaches

Coach Ouma wa SBS alikuja na mbinu Bora, alianza na viungo wagumu kama Nashoni na kujipa muda wa kuimaliza mechi kipindi cha pili

Wasiojuwa mpira yaani mbumbumbu wanasema ati ameanzisha timu dhaifu

Goal keeper Mwasalanga alitoka Tabora United ndo alizuia penalties ya Aziz ki na kufanya save za maana, Leo amepiga kazi kubwa

Elvis Rupia ndo Top scorer wa Singida nadhani ana goals 8, we kama coach utamwekaje bench

Sergie Pokou huyu ana CV kubwa, ametokea Al Hilal na alimtungua mtani kwenye mechi ya kirafiki, we kama coach utamwekaje bench

Damaro Camara huyu ni top kabisa hafai kuwekwa bench

Gadiel Michael ni beki ana CV ya kutisha amecheza Azam, Yanga na Simba na amefanya kazi super

Kwa team Yanga wachezaji hawakucheza vizuri nadhani coach hakutumia hekima kutumia Aziz ki dakika 90 zote hakuwa fit kabisa

Pacome fitness Iko chini nadhani arudi gym atafute fitness yake

Mudathir Bado hachezi vizuri kabisa

Max, Boka, Job, Mwamnyeto, Bacca game nzuri nawapongeza

Goal Keeper Diarra nadhani Eng Hersi amtafuta mlinda mlango mwingine wa kumpa changamoto

Prince Dube Sasa amepata confidence na atafunga sana

Mzize man of the match, ni top striker na naamini ndo MVP wa mwaka huu

Yanga bingwa
 
Mchezo ulikuwa mzuri, ukitawaliwa na mbinu za coaches

Coach Ouma wa SBS alikuja na mbinu Bora, alianza na viungo wagumu kama Nashoni na kujipa muda wa kuimaliza mechi kipindi cha pili

Wasiojuwa mpira yaani mbumbumbu wanasema ati ameanzisha timu dhaifu

Goal keeper Mwasalanga alitoka Tabora United ndo alizuia penalties ya Aziz ki na kufanya save za maana, Leo amepiga kazi kubwa

Elvis Rupia ndo Top scorer wa Singida nadhani ana goals 8, we kama coach utamwekaje bench

Sergie Pokou huyu ana CV kubwa, ametokea Al Hilal na alimtungua mtani kwenye mechi ya kirafiki, we kama coach utamwekaje bench

Damaro Camara huyu ni top kabisa hafai kuwekwa bench

Gadiel Michael ni beki ana CV ya kutisha amecheza Azam, Yanga na Simba na amefanya kazi super

Kwa team Yanga wachezaji hawakucheza vizuri nadhani coach hakutumia hekima kutumia Aziz ki dakika 90 zote hakuwa fit kabisa

Pacome fitness Iko chini nadhani arudi gym atafute fitness yake

Mudathir Bado hachezi vizuri kabisa

Max, Boka, Job, Mwamnyeto, Bacca game nzuri nawapongeza

Goal Keeper Diarra nadhani Eng Hersi amtafuta mlinda mlango mwingine wa kumpa changamoto

Prince Dube Sasa amepata confidence na atafunga sana

Mzize man of the match, ni top striker na naamini ndo MVP wa mwaka huu

Yanga bingwa
Niliwaambia dube ataendelea kufunga tumpe muda na nafasi afanye yake,,Mpira ni namba na dube anatusuta kwa hilo goli 9 asisti 8 mchango wa goli 17 alafu mtu aseme sio mshambuliaji!
 
Mchezo ulikuwa mzuri, ukitawaliwa na mbinu za coaches

Coach Ouma wa SBS alikuja na mbinu Bora, alianza na viungo wagumu kama Nashoni na kujipa muda wa kuimaliza mechi kipindi cha pili

Wasiojuwa mpira yaani mbumbumbu wanasema ati ameanzisha timu dhaifu

Goal keeper Mwasalanga alitoka Tabora United ndo alizuia penalties ya Aziz ki na kufanya save za maana, Leo amepiga kazi kubwa

Elvis Rupia ndo Top scorer wa Singida nadhani ana goals 8, we kama coach utamwekaje bench

Sergie Pokou huyu ana CV kubwa, ametokea Al Hilal na alimtungua mtani kwenye mechi ya kirafiki, we kama coach utamwekaje bench

Damaro Camara huyu ni top kabisa hafai kuwekwa bench

Gadiel Michael ni beki ana CV ya kutisha amecheza Azam, Yanga na Simba na amefanya kazi super

Kwa team Yanga wachezaji hawakucheza vizuri nadhani coach hakutumia hekima kutumia Aziz ki dakika 90 zote hakuwa fit kabisa

Pacome fitness Iko chini nadhani arudi gym atafute fitness yake

Mudathir Bado hachezi vizuri kabisa

Max, Boka, Job, Mwamnyeto, Bacca game nzuri nawapongeza

Goal Keeper Diarra nadhani Eng Hersi amtafuta mlinda mlango mwingine wa kumpa changamoto

Prince Dube Sasa amepata confidence na atafunga sana

Mzize man of the match, ni top striker na naamini ndo MVP wa mwaka huu

Yanga bingwa
Mapovu ruksa Mbumbu Sc.
 
Mpira ulikuwa ni wa pande zote. Magoli yote ya Yanga yalikuwa ni halali. Mwamuzi amechezesha mpira kwa kufuata sheria zote 17 za mpira!

Hongera sana Yanga 💚💛 kwa ushindi.
 
Jikite kwenye mada, acha mapepe.
Nafasi 50+ za kwenye mechi. Wewe huwa unaangalia mechi za Yanga?
Kwaiyo Yanga imepoteza nafasi 50 na Leo imefikisha magoli 50 😅😅kwaiyo zingetumika Yanga angekuwa na magoli 100
Tazama mpira hizo nafasi 50 Bado hazitokea na kupotezwa na mchezaji mmoja na Leo ni mechi ya 20
 
Back
Top Bottom