Tambala mbovu
Member
- Sep 9, 2014
- 84
- 97
Unajua mpira niambie mchezaji anae kosa kama Dube kwa kufata uwiano wa nafasi na magoli alafu akawa Bora ?Hujui mpira
Mchezaji gani hakosagi nafasi za wazi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unajua mpira niambie mchezaji anae kosa kama Dube kwa kufata uwiano wa nafasi na magoli alafu akawa Bora ?Hujui mpira
Mchezaji gani hakosagi nafasi za wazi?
Lile neno la Yanga Bingwa umelisahau mkuu.Mpira ulikuwa ni wa pande zote. Magoli yote ya Yanga yalikuwa ni halali. Mwamuzi amechezesha mpira kwa kufuata sheria zote 17 za mpira!
Hongera sana Yanga 💚💛 kwa ushindi.
Kwaiyo Kai Havartez ana ubora Baada ya kukosa nafasi za wazi 15 na kufunga 9 ?Haya katazame miss za Kai Havartez
Yupo Arsenal?
Analipwa kiasi Gani?
Ana profile kama Dube?
Uko sahihi,IQ yako ni ndogo sana ndio maana unakimbia hoja,uko huko Ngara porini utajulia wapi kuhusu mpira?Huna IQ ya kujadiliana na mimi
Uko sahihi,IQ yako ni ndogo sana ndio maana unakimbia hoja,uko huko Ngara porini huko utajulia wapi kuhusu mpiraHuna IQ ya kujadiliana na mimi
😀🤣😅Kwaiyo unataka Dube awe Bora zaidi Kai halafu acheze YangaKwaiyo Kai Havartez ana ubora Baada ya kukosa nafasi za wazi 15 na kufunga 9 ?
Hoja ya kulipwa sio kigezo Cha kujadili ubora wa mchezaji kwa sababu mshahara ni makubaliano kabla ya mchezaji kusaini mkataba.
Kai msimu huu haja onyesha ubora na ndio maana Dube kukosa nafasi za wazi nyingi watu wanao fahamu mpira Wana hitaji kuona Yanga Ina sajili mshambuliaji wenye uwezo mkubwa kuliko yeye ambaye atatumia angalau nusu ya hizo nafasi zinazo tengenezwa
Mimi sijaitaja timu yoyote, hapa nazungumzia Dube. Jikite kwenye hoja!HV UNAJUA KUNA MTU ANA SIKU 430+ HAJAWAH KUFUNGA TOKE ATUPIE BAO MOJA WAKA CHASAMBI FC WANAPGWA TANO.
lakn mwamba dube anaendelea kuninyoshea wajinga wote.
Mimi namzungumzia Dube, hizo hoja za kulinganisha unazileta mwenyewe, nami siko huko.Hao unaoona ni bora lete takwimu zao. Huwezi kusema tu hamna kitu, umelinganisha na nani?
Kwani dube siyo mtu, kwa hyo ni jadu?,Mimi sijaitaja timu yoyote, hapa nazungumzia Dube. Jikite kwenye hoja!
Hebu soma upya. Nimetaja timu, wewe umeona mtu. Uko sawa?Kwani dube siyo mtu, kwa hyo ni jadu?,
Wewe utakuwa kichaa hauna taarifa Arsenal msimu huu ina angushwa na Eneo la ushambuliaji ambalo Kai ndio sababu?😀🤣😅Kwaiyo unataka Dube awe Bora zaidi Kai halafu acheze Yanga
Kai ni striker wa timu ya Taifa ya German yupo Arsenal nae ana miss big chances kwaiy sio striker bora
Pumbu zimetushuka m simsemi tenaNiliwaambia dube ataendelea kufunga tumpe muda na nafasi afanye yake,,Mpira ni namba na dube anatusuta kwa hilo goli 9 asisti 8 mchango wa goli 17 alafu mtu aseme sio mshambuliaji!
Hoja yako haina msingi wowote. Bila kulinganisha vitu huwezi kupata ubora, zaidi utajikuta unaonyesha chuki za waziwazi tu.Mimi namzungumzia Dube, hizo hoja za kulinganisha unazileta mwenyewe, nami siko huko.
Yeye ni bora miongoni mwa vilaza, na hicho ndicho ninachokisema.Hoja yako haina msingi wowote. Bila kulinganisha vitu huwezi kupata ubora, zaidi utajikuta unaonyesha chuki za waziwazi tu.
Ukitaka kuamini, nitajie wapi ulipoona kuna mshambuliaji mzuri na kwanini. Ukijikita kwenye numbers basi unarudi palepale, na usipotumia numbers sijui utanieleza kwa mfumo gani
Hao vilaza ni akina nani? Wataje.Yeye ni bora miongoni mwa vilaza, na hicho ndicho ninachokisema.