Kalpana
JF-Expert Member
- Jun 16, 2017
- 32,603
- 62,269
Kumbuka Simba imeshaingia back to bcak 6 times..Tuliishia group stage CAFCL kwenye mashindano ambayo 5imba haikutia mguu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbuka Simba imeshaingia back to bcak 6 times..Tuliishia group stage CAFCL kwenye mashindano ambayo 5imba haikutia mguu
Sasa kama hamtaki record huo ubingwa wenu wa kihistoria mnautoa wapi?Record Gani hizo za enzi za Ukoloni
Luc ana akili sasa."MASHABIKI YA YANGA NI MAMBWA HAKUNA LOLOTE YANALOJUA KUHUSU KANDANDA ILA MUDA WOTE YANAZOMEA TU UTADHANI MANYANI"
- DR LUC EYMAEL 2020
Nadhani unamaanisha Inonga, Chama, Manula na ArajingaTawi letu kuu ni 5imba
We mpuuzi umechambua mechi au umewasifia yanga.Mchezo ulikuwa mzuri, ukitawaliwa na mbinu za coaches
Coach Ouma wa SBS alikuja na mbinu Bora, alianza na viungo wagumu kama Nashoni na kujipa muda wa kuimaliza mechi kipindi cha pili
Wasiojuwa mpira yaani mbumbumbu wanasema ati ameanzisha timu dhaifu
Goal keeper Mwasalanga alitoka Tabora United ndo alizuia penalties ya Aziz ki na kufanya save za maana, Leo amepiga kazi kubwa
Elvis Rupia ndo Top scorer wa Singida nadhani ana goals 8, we kama coach utamwekaje bench
Sergie Pokou huyu ana CV kubwa, ametokea Al Hilal na alimtungua mtani kwenye mechi ya kirafiki, we kama coach utamwekaje bench
Damaro Camara huyu ni top kabisa hafai kuwekwa bench
Gadiel Michael ni beki ana CV ya kutisha amecheza Azam, Yanga na Simba na amefanya kazi super
Kwa team Yanga wachezaji hawakucheza vizuri nadhani coach hakutumia hekima kutumia Aziz ki dakika 90 zote hakuwa fit kabisa
Pacome fitness Iko chini nadhani arudi gym atafute fitness yake
Mudathir Bado hachezi vizuri kabisa
Max, Boka, Job, Mwamnyeto, Bacca game nzuri nawapongeza
Goal Keeper Diarra nadhani Eng Hersi amtafuta mlinda mlango mwingine wa kumpa changamoto
Prince Dube Sasa amepata confidence na atafunga sana
Mzize man of the match, ni top striker na naamini ndo MVP wa mwaka huu
Yanga bingwa
We unamzungumzia miss tanzania naonaKuna striker Gani hajawahi poteza nafasi
Harry Cane ana miss
Lewandoski ana miss
Mbape ana miss
Kai ana miss
Kila nafasi haiwezi kuwa goli
Vimbilikimo kijob,kikibwana,kiyaokwouasi,kiisra Mwenda,kikibebegi,kisalum abou,Wao ndio wanataka Simba MUWE vile.Huo ndo mwili wa mwanaume huo nyie vimodo kaeni kwa kutulia naona mnamuonea wivu
Ya akina baba mmeishia kuwapikia wababa wa kweli mmerudi na mwili wenu mnaendeleza umama lishe.Basi hapo ushajua kuwa Young Africans ya Sasa sio size yako, ndo maana hayo mashindano yenu ya akina mama hamkushiriki
Record ni record Jana ishakuwa Jana,ukitaka tano za Jana Usisahau za juzi maana tano zote zishapita.Record Gani hizo za enzi za Ukoloni