Tathmini fupi mechi ya Young Africans vs Singida Black Stars

Tathmini fupi mechi ya Young Africans vs Singida Black Stars

Lini? 😂
Maana akina Okwi na Mafisango walipiga mtu 5-0
Kipindi hicho Rais wa nchi alikuwa Samia?
Sisi tunaongelea mambo yaliyotokea kwenye uongozi wa Samia
 
Kwaiyo Leo ndio kafunga goli 9 zote? Kiwewe cha miguu lakini keshakuweka sio mara Moja Wala mara mbili habari zake unazo
Hajawai kuifunga Simba akiwa na utopolo labda na Azam..kule alikua striker kweli tena magoli ya uhakika toka aje uto ameishiwa uroto wa miguu...vi goli sasa anatengewa ale....hahahahaa
Ila Kibu Dee ndo atawakanda sfr hii tena kama kawaida yake...
 
Kipindi hicho Rais wa nchi alikuwa Samia?
Sisi tunaongelea mambo yaliyotokea kwenye uongozi wa Samia
Kwani Raisi na kufungwa tano kunauhusiano gani..rekodi si zipo??
Au unataka ile ya 6 kwa 0
 
Kipindi hicho Rais wa nchi alikuwa Samia?
Sisi tunaongelea mambo yaliyotokea kwenye uongozi wa Samia
Kwa hiyo bado mnasubiri droo ya robo fainali awamu hii ya Mama? 😂😂😂
 
Kwa hiyo bado mnasubiri droo ya robo fainali awamu hii ya Mama? 😂😂😂
Tuliishia group stage CAFCL kwenye mashindano ambayo 5imba haikutia mguu
 
Mchezo ulikuwa mzuri, ukitawaliwa na mbinu za coaches

Coach Ouma wa SBS alikuja na mbinu Bora, alianza na viungo wagumu kama Nashoni na kujipa muda wa kuimaliza mechi kipindi cha pili

Wasiojuwa mpira yaani mbumbumbu wanasema ati ameanzisha timu dhaifu

Goal keeper Mwasalanga alitoka Tabora United ndo alizuia penalties ya Aziz ki na kufanya save za maana, Leo amepiga kazi kubwa

Elvis Rupia ndo Top scorer wa Singida nadhani ana goals 8, we kama coach utamwekaje bench

Sergie Pokou huyu ana CV kubwa, ametokea Al Hilal na alimtungua mtani kwenye mechi ya kirafiki, we kama coach utamwekaje bench

Damaro Camara huyu ni top kabisa hafai kuwekwa bench

Gadiel Michael ni beki ana CV ya kutisha amecheza Azam, Yanga na Simba na amefanya kazi super

Kwa team Yanga wachezaji hawakucheza vizuri nadhani coach hakutumia hekima kutumia Aziz ki dakika 90 zote hakuwa fit kabisa

Pacome fitness Iko chini nadhani arudi gym atafute fitness yake

Mudathir Bado hachezi vizuri kabisa

Max, Boka, Job, Mwamnyeto, Bacca game nzuri nawapongeza

Goal Keeper Diarra nadhani Eng Hersi amtafuta mlinda mlango mwingine wa kumpa changamoto

Prince Dube Sasa amepata confidence na atafunga sana

Mzize man of the match, ni top striker na naamini ndo MVP wa mwaka huu

Yanga bingwa
Mstari wa mwisho umejidanganya..Simba bingwa.
 
"MASHABIKI YA YANGA NI MAMBWA HAKUNA LOLOTE YANALOJUA KUHUSU KANDANDA ILA MUDA WOTE YANAZOMEA TU UTADHANI MANYANI"

- DR LUC EYMAEL 2020
 
Back
Top Bottom