Okwi na mafisango ndio walipigwa mechi 4 mfululizo?Lini? 😂
Maana akina Okwi na Mafisango walipiga mtu 5-0
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Okwi na mafisango ndio walipigwa mechi 4 mfululizo?Lini? 😂
Maana akina Okwi na Mafisango walipiga mtu 5-0
ya akina Tabora UnitedYanga hachezi mashindano ya vilaza
Hajawai kuifunga Simba akiwa na utopolo labda na Azam..kule alikua striker kweli tena magoli ya uhakika toka aje uto ameishiwa uroto wa miguu...vi goli sasa anatengewa ale....hahahahaaKwaiyo Leo ndio kafunga goli 9 zote? Kiwewe cha miguu lakini keshakuweka sio mara Moja Wala mara mbili habari zake unazo
Sio mechi, walipiga mtu 5-0, hadi Kaseja akafunga 😂😂😂Okwi na mafisango ndio walipigwa mechi 4 mfululizo?
Kwani Raisi na kufungwa tano kunauhusiano gani..rekodi si zipo??Kipindi hicho Rais wa nchi alikuwa Samia?
Sisi tunaongelea mambo yaliyotokea kwenye uongozi wa Samia
Huna hoja...!Yanga hachezi mashindano ya vilaza
Kwa hiyo bado mnasubiri droo ya robo fainali awamu hii ya Mama? 😂😂😂Kipindi hicho Rais wa nchi alikuwa Samia?
Sisi tunaongelea mambo yaliyotokea kwenye uongozi wa Samia
Vilaza wastaafu maana mwaka juzi mlizitolea jasho sana hizo shanga mkavikwa...Robo fainali ya vilaza nayo ni story,,
Magoli ya ligi au Ya CAF? au yote kwa pamoja ligi ya tifua tifua na CAF?Ateba kapata nafasi ngapi na kafunga ngapi ebu tupe takwimu na anazo goli ngapi?
Basi tuchukue 5-0, alafu tunachukua 5+2+1+2=10Sio mechi, walipiga mtu 5-0, hadi Kaseja akafunga 😂😂😂
Nauliza mpo kama Wassira au mlikuwepo kama Kinana? 😂Tuliishia group stage CAFCL kwenye mashindano ambayo 5imba haikutia mguu
Mstari wa mwisho umejidanganya..Simba bingwa.Mchezo ulikuwa mzuri, ukitawaliwa na mbinu za coaches
Coach Ouma wa SBS alikuja na mbinu Bora, alianza na viungo wagumu kama Nashoni na kujipa muda wa kuimaliza mechi kipindi cha pili
Wasiojuwa mpira yaani mbumbumbu wanasema ati ameanzisha timu dhaifu
Goal keeper Mwasalanga alitoka Tabora United ndo alizuia penalties ya Aziz ki na kufanya save za maana, Leo amepiga kazi kubwa
Elvis Rupia ndo Top scorer wa Singida nadhani ana goals 8, we kama coach utamwekaje bench
Sergie Pokou huyu ana CV kubwa, ametokea Al Hilal na alimtungua mtani kwenye mechi ya kirafiki, we kama coach utamwekaje bench
Damaro Camara huyu ni top kabisa hafai kuwekwa bench
Gadiel Michael ni beki ana CV ya kutisha amecheza Azam, Yanga na Simba na amefanya kazi super
Kwa team Yanga wachezaji hawakucheza vizuri nadhani coach hakutumia hekima kutumia Aziz ki dakika 90 zote hakuwa fit kabisa
Pacome fitness Iko chini nadhani arudi gym atafute fitness yake
Mudathir Bado hachezi vizuri kabisa
Max, Boka, Job, Mwamnyeto, Bacca game nzuri nawapongeza
Goal Keeper Diarra nadhani Eng Hersi amtafuta mlinda mlango mwingine wa kumpa changamoto
Prince Dube Sasa amepata confidence na atafunga sana
Mzize man of the match, ni top striker na naamini ndo MVP wa mwaka huu
Yanga bingwa
Hiyo 5-0 ina ndugu zake 4-1 kadhaa. Huenda wakati huo ulikuwa bado haujahamasishwa na Manara kushabikia soka 😂Basi tuchukue 5-0, alafu tunachukua 5+2+1+2=10