The Legacy
JF-Expert Member
- Jun 1, 2022
- 5,879
- 11,318
Akikijibu nistue broLigi ipi? Maana anashiriki kitaifa na kimataifa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akikijibu nistue broLigi ipi? Maana anashiriki kitaifa na kimataifa
Huo ndo mwili wa mwanaume huo nyie vimodo kaeni kwa kutulia naona mnamuonea wivuBaunsa wako ateba ana goli ngapi
Daah mnatia najisi ligiHujambo mtani
Hakika, nitakutagAkikijibu nistue bro
Pyeeerrr...Najisi Gani tena?
Wivu tu ifungwe peke yako
Nusu ya magoli ya penalty but na tattoo kachora hii nchi ngumu sana hiiHuo ndo mwili wa mwanaume huo nyie vimodo kaeni kwa kutulia naona mnamuonea wivu
Msongo upi tena wa ntu na ntue leo wakipeana pwenti?Kunywa maji mengi kuondoka msongo wa mawazo
Ukielewa neno kimataifa linamaanisha jambo linalofanyika katika hatua ya nje ya mipaka ya kitaifa, wala huhitaji maelezo mengiUsije kusema ati shirikisho yaani UMISETA mashindano ya akina mama nayo ni kimataifa
Kwani huyo mwenye kiwewe cha miguu cha kuanguka hovyo aka Dubela mwanzoni si mlimkataa nyie kwanza anafunga magoli mepesi mepesi ...Nusu ya magoli ya penalty but na tattoo kachora hii nchi ngumu sana hii
Kimataifa ni CAFCL pekeeUkielewa neno kimataifa linamaanisha jambo linalofanyika katika hatua ya nje ya mipaka ya kitaifa, wala huhitaji maelezo mengi
Kwaiyo Leo ndio kafunga goli 9 zote? Kiwewe cha miguu lakini keshakuweka sio mara Moja Wala mara mbili habari zake unazoKwani huyo mwenye kiwewe cha miguu cha kuanguka hovyo aka Dubela mwanzoni si mlimkataa nyie kwanza anafunga magoli mepesi mepesi ...
Mabeki leo wote wamekaa pembeni wanamsubiri apige kichwa hahahaaha nyieee mechi ha leo kichekesho.
Sawa, basi tufanye utopolo haishiriki kimataifa. Hapo bado unakataa? 😂Kimataifa ni CAFCL pekee
Hayo mashindano mengine ni uchafu na uchaguzi ndo maana timu kubwa na bingwa hazishiriki
Kimataifa yenu nyie ata Namungo alishacheza makundi kwaiyo iyo michuano ya nyongeza kama nyanya mbovu usitambe nayo mbele ya wanaumeUkielewa neno kimataifa linamaanisha jambo linalofanyika katika hatua ya nje ya mipaka ya kitaifa, wala huhitaji maelezo mengi
Tukiongeza na hayo mashairi yako bendi itakuwa juu!Kaimbe taarab na Isha mashauzi maneno na vijembe unavyo