Lupweko
JF-Expert Member
- Mar 26, 2009
- 23,566
- 24,891
Sio iliishia, sema haipo 🤣🤣🤣Yanga iliishia group stage na ndo timu pekee ilikuwa inacheza mashindano ya kimataifa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio iliishia, sema haipo 🤣🤣🤣Yanga iliishia group stage na ndo timu pekee ilikuwa inacheza mashindano ya kimataifa
Utopolo vipi, nao wanasubiri droo ya robo fainali au tuwashtue kuwa hawapo? 😂Kimataifa yenu nyie ata Namungo alishacheza makundi kwaiyo iyo michuano ya nyongeza kama nyanya mbovu usitambe nayo mbele ya wanaume
Lini? Nasema inashiriki? 😂😂😂Ilishiriki CAFCL ambayo 5imba haikuwa na hadhi ya kucheza CAFCL
Robo fainali ya vilaza nayo ni story,,Utopolo vipi, nao wanasubiri droo ya robo fainali au tuwashtue kuwa hawapo? 😂
Unaweza ukajiwekea biti mwenyewe watu wanakusolola..waimba wagumu mwanza ni wawili tu faridi kubanda na Rado wewe zako taarabu si unaonekana tu!Me natokea Kanda ya ziwa nafanya hip hop
Sisi wanaume wa Kanda ya ziwa ni wagumu sana
Haya icheze nawe!Robo fainali ya vilaza nayo ni story,,
Mbona unazungumzia past tenses? Nasema utopolo inasubiri droo ya robo fainali ya CAFCL. Tuwashtue au tuwaache? 😀😀😀Basi hapo ushajua kuwa Young Africans ya Sasa sio size yako, ndo maana hayo mashindano yenu ya akina mama hamkushiriki
Vilaza kuliko Tabora United,? 😂Robo fainali ya vilaza nayo ni story,,
Hapana ni vilaza kuliko wale waliopigwa 5,,Vilaza kuliko Tabora United,?
Sawa yanga kwa sasa wanacheza yapi...Mashindano ya vilaza ni Kwa ajili ya vilaza
Lini? 😂Hapana ni vilaza kuliko wale waliopigwa 5,,
Tuwaulize CAF au tusubiri droo?5imba ipo CAFCL?
Au ipo kimataifa ipo?