Al-mukheef
JF-Expert Member
- Feb 2, 2025
- 3,727
- 3,777
It is what it is!!!Mzize man of the match, ni top striker na naamini ndo MVP wa mwaka huu
Yanga bingwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
It is what it is!!!Mzize man of the match, ni top striker na naamini ndo MVP wa mwaka huu
Yanga bingwa
Kachambua mchele amaBado hujachambua mechi.
Hakuna mtu. Kipimo kiwe kwenye mechi za ushindani, sio ambazo matokeo yake yanajulikanaNiliwaambia dube ataendelea kufunga tumpe muda na nafasi afanye yake,,Mpira ni namba na dube anatusuta kwa hilo goli 9 asisti 8 mchango wa goli 17 alafu mtu aseme sio mshambuliaji!
Pacome mlikuwa mnatutisha na vile viclip vya gym, tukasema acheni kutudanganya. Tunajua kwa nini ameshuka kiwango.Mchezo ulikuwa mzuri, ukitawaliwa na mbinu za coaches
Coach Ouma wa SBS alikuja na mbinu Bora, alianza na viungo wagumu kama Nashoni na kujipa muda wa kuimaliza mechi kipindi cha pili
Wasiojuwa mpira yaani mbumbumbu wanasema ati ameanzisha timu dhaifu
Goal keeper Mwasalanga alitoka Tabora United ndo alizuia penalties ya Aziz ki na kufanya save za maana, Leo amepiga kazi kubwa
Elvis Rupia ndo Top scorer wa Singida nadhani ana goals 8, we kama coach utamwekaje bench
Sergie Pokou huyu ana CV kubwa, ametokea Al Hilal na alimtungua mtani kwenye mechi ya kirafiki, we kama coach utamwekaje bench
Damaro Camara huyu ni top kabisa hafai kuwekwa bench
Gadiel Michael ni beki ana CV ya kutisha amecheza Azam, Yanga na Simba na amefanya kazi super
Kwa team Yanga wachezaji hawakucheza vizuri nadhani coach hakutumia hekima kutumia Aziz ki dakika 90 zote hakuwa fit kabisa
Pacome fitness Iko chini nadhani arudi gym atafute fitness yake
Mudathir Bado hachezi vizuri kabisa
Max, Boka, Job, Mwamnyeto, Bacca game nzuri nawapongeza
Goal Keeper Diarra nadhani Eng Hersi amtafuta mlinda mlango mwingine wa kumpa changamoto
Prince Dube Sasa amepata confidence na atafunga sana
Mzize man of the match, ni top striker na naamini ndo MVP wa mwaka huu
Yanga bingwa
Unaomba shati litafutiwe vest linaonya sana!Mchezo ulikuwa mzuri, ukitawaliwa na mbinu za coaches
Coach Ouma wa SBS alikuja na mbinu Bora, alianza na viungo wagumu kama Nashoni na kujipa muda wa kuimaliza mechi kipindi cha pili
Wasiojuwa mpira yaani mbumbumbu wanasema ati ameanzisha timu dhaifu
Goal keeper Mwasalanga alitoka Tabora United ndo alizuia penalties ya Aziz ki na kufanya save za maana, Leo amepiga kazi kubwa
Elvis Rupia ndo Top scorer wa Singida nadhani ana goals 8, we kama coach utamwekaje bench
Sergie Pokou huyu ana CV kubwa, ametokea Al Hilal na alimtungua mtani kwenye mechi ya kirafiki, we kama coach utamwekaje bench
Damaro Camara huyu ni top kabisa hafai kuwekwa bench
Gadiel Michael ni beki ana CV ya kutisha amecheza Azam, Yanga na Simba na amefanya kazi super
Kwa team Yanga wachezaji hawakucheza vizuri nadhani coach hakutumia hekima kutumia Aziz ki dakika 90 zote hakuwa fit kabisa
Pacome fitness Iko chini nadhani arudi gym atafute fitness yake
Mudathir Bado hachezi vizuri kabisa
Max, Boka, Job, Mwamnyeto, Bacca game nzuri nawapongeza
Goal Keeper Diarra nadhani Eng Hersi amtafuta mlinda mlango mwingine wa kumpa changamoto
Prince Dube Sasa amepata confidence na atafunga sana
Mzize man of the match, ni top striker na naamini ndo MVP wa mwaka huu
Yanga bingwa
Pacome hata iweje hawezi kuwa kama Mutale, Ahoua, Chasambi n.kPacome mlikuwa mnatutisha na vile viclip vya gym, tukasema acheni kutudanganya. Tunajua kwa nini ameshuka kiwango.
Mzize hakustahili man of the match. Nashon angepewa hiyo tuzo.
Leo hakukuwa na mechi pale.
Hakuna mtu. Kipimo kiwe kwenye mechi za ushindani, sio ambazo matokeo yake yanajulikana
Kachambua kinyesiKachambua mchele ama
Sawa ila anaweza kuwa kama PogbaPacome hata iweje hawezi kuwa kama Mutale, Ahoua, Chasambi n.k
HeheheKachambua kinyesi
Baunsa wako ateba ana goli ngapi?Hakuna mtu. Kipimo kiwe kwenye mechi za ushindani, sio ambazo matokeo yake yanajulikana
Mechi ya KISANIIMchezo ulikuwa mzuri, ukitawaliwa na mbinu za coaches
Coach Ouma wa SBS alikuja na mbinu Bora, alianza na viungo wagumu kama Nashoni na kujipa muda wa kuimaliza mechi kipindi cha pili
Wasiojuwa mpira yaani mbumbumbu wanasema ati ameanzisha timu dhaifu
Goal keeper Mwasalanga alitoka Tabora United ndo alizuia penalties ya Aziz ki na kufanya save za maana, Leo amepiga kazi kubwa
Elvis Rupia ndo Top scorer wa Singida nadhani ana goals 8, we kama coach utamwekaje bench
Sergie Pokou huyu ana CV kubwa, ametokea Al Hilal na alimtungua mtani kwenye mechi ya kirafiki, we kama coach utamwekaje bench
Damaro Camara huyu ni top kabisa hafai kuwekwa bench
Gadiel Michael ni beki ana CV ya kutisha amecheza Azam, Yanga na Simba na amefanya kazi super
Kwa team Yanga wachezaji hawakucheza vizuri nadhani coach hakutumia hekima kutumia Aziz ki dakika 90 zote hakuwa fit kabisa
Pacome fitness Iko chini nadhani arudi gym atafute fitness yake
Mudathir Bado hachezi vizuri kabisa
Max, Boka, Job, Mwamnyeto, Bacca game nzuri nawapongeza
Goal Keeper Diarra nadhani Eng Hersi amtafuta mlinda mlango mwingine wa kumpa changamoto
Prince Dube Sasa amepata confidence na atafunga sana
Mzize man of the match, ni top striker na naamini ndo MVP wa mwaka huu
Yanga bingwa
Kwahiyo we unaona umechambuaaa!Duuuh
Ligi ipi? Maana anashiriki kitaifa na kimataifaBaunsa wako ateba ana goli ngapi?
Ligi kuu anazo goli ngapi na kombe la kahawa anazo ngapi?Ligi ipi? Maana anashiriki kitaifa na kimataifa