Tathmini fupi mechi ya Young Africans vs Singida Black Stars

Tathmini fupi mechi ya Young Africans vs Singida Black Stars

Niliwaambia dube ataendelea kufunga tumpe muda na nafasi afanye yake,,Mpira ni namba na dube anatusuta kwa hilo goli 9 asisti 8 mchango wa goli 17 alafu mtu aseme sio mshambuliaji!
Hakuna mtu. Kipimo kiwe kwenye mechi za ushindani, sio ambazo matokeo yake yanajulikana
 
Mchezo ulikuwa mzuri, ukitawaliwa na mbinu za coaches

Coach Ouma wa SBS alikuja na mbinu Bora, alianza na viungo wagumu kama Nashoni na kujipa muda wa kuimaliza mechi kipindi cha pili

Wasiojuwa mpira yaani mbumbumbu wanasema ati ameanzisha timu dhaifu

Goal keeper Mwasalanga alitoka Tabora United ndo alizuia penalties ya Aziz ki na kufanya save za maana, Leo amepiga kazi kubwa

Elvis Rupia ndo Top scorer wa Singida nadhani ana goals 8, we kama coach utamwekaje bench

Sergie Pokou huyu ana CV kubwa, ametokea Al Hilal na alimtungua mtani kwenye mechi ya kirafiki, we kama coach utamwekaje bench

Damaro Camara huyu ni top kabisa hafai kuwekwa bench

Gadiel Michael ni beki ana CV ya kutisha amecheza Azam, Yanga na Simba na amefanya kazi super

Kwa team Yanga wachezaji hawakucheza vizuri nadhani coach hakutumia hekima kutumia Aziz ki dakika 90 zote hakuwa fit kabisa

Pacome fitness Iko chini nadhani arudi gym atafute fitness yake

Mudathir Bado hachezi vizuri kabisa

Max, Boka, Job, Mwamnyeto, Bacca game nzuri nawapongeza

Goal Keeper Diarra nadhani Eng Hersi amtafuta mlinda mlango mwingine wa kumpa changamoto

Prince Dube Sasa amepata confidence na atafunga sana

Mzize man of the match, ni top striker na naamini ndo MVP wa mwaka huu

Yanga bingwa
Pacome mlikuwa mnatutisha na vile viclip vya gym, tukasema acheni kutudanganya. Tunajua kwa nini ameshuka kiwango.

Mzize hakustahili man of the match. Nashon angepewa hiyo tuzo.

Leo hakukuwa na mechi pale.
 
Mchezo ulikuwa mzuri, ukitawaliwa na mbinu za coaches

Coach Ouma wa SBS alikuja na mbinu Bora, alianza na viungo wagumu kama Nashoni na kujipa muda wa kuimaliza mechi kipindi cha pili

Wasiojuwa mpira yaani mbumbumbu wanasema ati ameanzisha timu dhaifu

Goal keeper Mwasalanga alitoka Tabora United ndo alizuia penalties ya Aziz ki na kufanya save za maana, Leo amepiga kazi kubwa

Elvis Rupia ndo Top scorer wa Singida nadhani ana goals 8, we kama coach utamwekaje bench

Sergie Pokou huyu ana CV kubwa, ametokea Al Hilal na alimtungua mtani kwenye mechi ya kirafiki, we kama coach utamwekaje bench

Damaro Camara huyu ni top kabisa hafai kuwekwa bench

Gadiel Michael ni beki ana CV ya kutisha amecheza Azam, Yanga na Simba na amefanya kazi super

Kwa team Yanga wachezaji hawakucheza vizuri nadhani coach hakutumia hekima kutumia Aziz ki dakika 90 zote hakuwa fit kabisa

Pacome fitness Iko chini nadhani arudi gym atafute fitness yake

Mudathir Bado hachezi vizuri kabisa

Max, Boka, Job, Mwamnyeto, Bacca game nzuri nawapongeza

Goal Keeper Diarra nadhani Eng Hersi amtafuta mlinda mlango mwingine wa kumpa changamoto

Prince Dube Sasa amepata confidence na atafunga sana

Mzize man of the match, ni top striker na naamini ndo MVP wa mwaka huu

Yanga bingwa
Unaomba shati litafutiwe vest linaonya sana!
 
Pacome mlikuwa mnatutisha na vile viclip vya gym, tukasema acheni kutudanganya. Tunajua kwa nini ameshuka kiwango.

Mzize hakustahili man of the match. Nashon angepewa hiyo tuzo.

Leo hakukuwa na mechi pale.
Pacome hata iweje hawezi kuwa kama Mutale, Ahoua, Chasambi n.k
 
Mchezo ulikuwa mzuri, ukitawaliwa na mbinu za coaches

Coach Ouma wa SBS alikuja na mbinu Bora, alianza na viungo wagumu kama Nashoni na kujipa muda wa kuimaliza mechi kipindi cha pili

Wasiojuwa mpira yaani mbumbumbu wanasema ati ameanzisha timu dhaifu

Goal keeper Mwasalanga alitoka Tabora United ndo alizuia penalties ya Aziz ki na kufanya save za maana, Leo amepiga kazi kubwa

Elvis Rupia ndo Top scorer wa Singida nadhani ana goals 8, we kama coach utamwekaje bench

Sergie Pokou huyu ana CV kubwa, ametokea Al Hilal na alimtungua mtani kwenye mechi ya kirafiki, we kama coach utamwekaje bench

Damaro Camara huyu ni top kabisa hafai kuwekwa bench

Gadiel Michael ni beki ana CV ya kutisha amecheza Azam, Yanga na Simba na amefanya kazi super

Kwa team Yanga wachezaji hawakucheza vizuri nadhani coach hakutumia hekima kutumia Aziz ki dakika 90 zote hakuwa fit kabisa

Pacome fitness Iko chini nadhani arudi gym atafute fitness yake

Mudathir Bado hachezi vizuri kabisa

Max, Boka, Job, Mwamnyeto, Bacca game nzuri nawapongeza

Goal Keeper Diarra nadhani Eng Hersi amtafuta mlinda mlango mwingine wa kumpa changamoto

Prince Dube Sasa amepata confidence na atafunga sana

Mzize man of the match, ni top striker na naamini ndo MVP wa mwaka huu

Yanga bingwa
Mechi ya KISANII
 
Back
Top Bottom