Tathmini fupi mechi ya Young Africans vs Singida Black Stars

Tathmini fupi mechi ya Young Africans vs Singida Black Stars

Kwaiyo Yanga imepoteza nafasi 50 na Leo imefikisha magoli 50 😅😅kwaiyo zingetumika Yanga angekuwa na magoli 100
Tazama mpira hizo nafasi 50 Bado hazitokea na kupotezwa na mchezaji mmoja na Leo ni mechi ya 20
Wewe huwa unatazama mpira na kuona nafasi anazopoteza Dube?
 
Ana mchango wa goli 15 leta striker mwenye hizo numbers
Hata katika kundi la wajinga kuna kuzidiana. Ana takwimu nzuri dhidi ya wabovu wengine, na hii haimfanya awe bora katika viwango vya ubora.
____
Unamkumbuka Jerry Tegete ama Okwi?
Hebu mfananishe Dube na hii mitambo ya magoli. Na kama hao hukuwashuhudia, mfananishe na Mayele tu. Anaweza kuvaa viatu vyake?
 
Kuna striker Gani hajawahi poteza nafasi
Harry Cane ana miss
Lewandoski ana miss
Mbape ana miss
Kai ana miss
Kila nafasi haiwezi kuwa goli
Kupoteza nafasi ni sehemu ya mchezo, lakini kupoteza nyingi kuliko kupata ndiko kunaleta mashaka.
Kwa nini kwenye orodha yako hujamtaja Darwin Nunez?
 
Hata katika kundi la wajinga kuna kuzidiana. Ana takwimu nzuri dhidi ya wabovu wengine, na hii haimfanya awe bora katika viwango vya ubora.
____
Unamkumbuka Jerry Tegete ama Okwi?
Hebu mfananishe Dube na hii mitambo ya magoli. Na kama hao hukuwashuhudia, mfananishe na Mayele tu. Anaweza kuvaa viatu vyake?
Mayele msimu alifanya vyema alikuwa na goals 17 tu
Tuko hapa subiri Dube atafunga ngapi kwenye msimu wa kwanza akiwa Yanga
 
Mayele msimu alifanya vyema alikuwa na goals 17 tu
Tuko hapa subiri Dube atafunga ngapi kwenye msimu wa kwanza akiwa Yanga
Bado haitaondoa ukweli kwamba hadi sasa kaonesha kiwango cha kawaida mno.
Akiongeza jitihada nitampongeza, ila kwa sasa bado ana kazi ya ziada.
 
Bado haitaondoa ukweli kwamba hadi sasa kaonesha kiwango cha kawaida mno.
Akiongeza jitihada nitampongeza, ila kwa sasa bado ana kazi ya ziada.
Nimekwambia hujui mpira
 
Back
Top Bottom