Uchaguzi 2020 Tathmini: Tamasha la CCM lilikuwa la hovyo na aibu tupu

Vijana hao ila Good thing ni nyimbo 500 za CCM Kutoka kwa wasanii zaidi ya 200
ivi unakusanya wasanii 200 kwenda kufanya nini wakati unajisifu kila siku kwamba wewe ni chizi/raisi wa wanyonge? si ukawambie tu umenunua midege,reli, na ujinga woooote bila kusahau KUPORA KOROSHO, kuua watu MKIRU, KUUWA ZAO LA PAMBA, CHOROKO NK?
Wasanii 200 wangetumbuizaje sasa? na unajuaje kwamba wote ni CCM?
CCM CHAMA CHA HOVYO SANA
 
100% uko sahihi hata mashetani pia yana matamasha na sherehe za kubutuana mitama na ngono!
 
Ahahahahahahah! Mwenye wivu utamjua tu. Katumbua macho mwanzo mwisho asipitwe na tukio hata moja, halafu anasema halikufanikwa! Ahahahahahaha!
 
[emoji23] dah
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…