Uchaguzi 2020 Tathmini: Tamasha la CCM lilikuwa la hovyo na aibu tupu

Uchaguzi 2020 Tathmini: Tamasha la CCM lilikuwa la hovyo na aibu tupu

acha stori za kitoto watazmaji walilipiwa na ccm,hakuna msanii aliyetumbuiza bure pale,pale hakunahata mwenye uwezo wa kushona tu sare,wote waliimba maudhui yanayofanna ya kumsifia mungu wenu,kilichotrendi ni ule mtama.
Hakuna alielipwa. Pole pole aliongea hilo wakati wa uzinduzi na wasanii walihojiwa wakathibitisha hilo. CCM walichogharamia ni kuandaa majukwaa n.k. Acheni wivu wa kike, andaeni na nyinyi la kwenu kama ubavu mnao.

Sent from my SM-A730F using JamiiForums mobile app
 
uko sahihi , kingine ni hiki , 80% ya watumbuizaji na wahudhuriaji hawakuwa wanaccm akiwemo Mbasha na Adam , ila wengi walijifanyisha kama wafanyavyo siku zote ili kujilinda na kuendelea kujipigia mpunga wa bure
Ni wivu tu. Andaeni la kwenu, SACCOS ipige mpunga.
 
Hakuna alielipwa. Pole pole aliongea hilo wakati wa uzinduzi na wasanii walihojiwa wakathibitisha hilo. CCM walichogharamia ni kuandaa majukwaa n.k. Acheni wivu wa kike, andaeni na nyinyi la kwenu kama ubavu mnao.

Sent from my SM-A730F using JamiiForums mobile app
acha wapinzaniwaliounga juhudi waliunga bure bila senti
 
Ukisikia wivu wa kike ndo huu. Eti bila vurugu iliyotokea hakuna mtu angejua kuhusu tamasha. Lile nyomi la watu lilitokea wapi kama hakuna mtu aliekua anajua kuhusu hilo tamasha. Unataka TAKUKURU iangalie mapato na matumizi, nani alikuambia lile Tamasha lilikua na mapato? unadhani hii ni SACCOS yenu ya Ufipa, mliozoea kuibia watu hela? Watu waliingia bure na wasanii wote walijitolea kuisupport CCM hakuna hata mmoja alielipwa. Umekurupuka kuandika uzi wakati huna taarifa sahihi, aendaeni Tamasha lenu tuwaone kama mtapata support waliyopata CCM.

umetoka wimbo wa roma unaitwa lissu jamaa hadi kaukana maana ni aibu kua kwenye ilo saccoss
 
Kinachonishangaza ni kuona chama kikiwa kimya dhidi ya tukio la kihuni lililofanywa na Adam Mchomvu. Naomba chama kuanzia Sasa, kimuadhibu Mchomvu kwa kuidhalilisha brand ya CCM na siku nyingine watumie washereheshaji wanaojielewa. R. I. P Efraim Kibonde.
We ungeitwa mvuta bange mchana kweupe mbele ya mamia ya watu ungechukulia poa??
 
wale watoto waliojaa uwanjani sijui walitoka shule gani maskini hata wakiambiwa waaimbe maguuli hawakutaka
 
kingine ni hiki , 80% ya watumbuizaji na wahudhuriaji hawakuwa wanaccm akiwemo Mbasha na Adam , ila wengi walijifanyisha kama wafanyavyo siku zote ili kujilinda na kuendelea kujipigia mpunga wa bure
So hawa ni watu wa vyama gani?
 
wale watoto waliojaa uwanjani sijui walitoka shule gani maskini hata wakiambiwa waaimbe maguuli hawakutaka
Kila wakihimiza watu washangilie wapi. Watu wako kimya. Nashawishika kusema zile video zilizokuwa transimited kwenye Tv zilikwa fabricated kwa kunga unga matukio tofauti. Maana video hazioneshi companion ya tukio.
 
Kwanza kabisa waandaaji hawakuwa na uhakika wa kile walichokua wanataka kukifanya! Hawakujua agenda au maudhui ya kusanyiko hilo, matokeo yake ilikua kama gulio la wahuni au tuite panya road.

Pili, hakukua na nidhamu, lugha za kihuni (Mbasha, Halafu wewe ni bangi sana), kulikuwa na kupigana hadharani tena wakiwa "live"! Maana yake ni kwamba hawa walikua wahuni, wasiojitambua, wafia tumbo, wasio na uhakika na kesho yao.

Tatu, ni miongoni mwa matamasha ya hovyo kupata kutokea Tanzania, kiasi kwamba isingekua tukio la hao Wahuni kufanyiana vurugu basi hakuna NTU angejua kabisa uwepo wa Tamasha hili. Yaani hata mdundiko wa mtaani una afadhali.

Nne, walishindwa kabisa kupeleka " meseji" waliyotumwa waipeleke maana hata wao wenyewe hawakua na uhakika na meseji yenyewe!

Tano, kuna taarifa kuwa tukio zima lilitawaliwa na vitendo vya kihalifu, kuibiana, kashfa, ngono zembe na mengineyo.

Takukuru ya CCM inabidi wapitie mapato na matumizi ya hii shughuli.

Ubora wake, walifanikiwa kulipa vijana waliowaita Wasanii kwa pesa ndogo ndogo na wengine kukopwa kwa ahadi ya kutumika kwenye kampeni (kuwa compasated) basi hilo tu.

Mwisho, next time tumieni Waandaji ambao sio Wapigaji (hata hivyo sidhani kama kwa CCM unaweza kuwapata, I stand to be corrected).

Nawasilisha, ongezeni mapungufu yao ili kuwasaidia.
Delete ccm Oct 28
 
Kwanza kabisa waandaaji hawakuwa na uhakika wa kile walichokua wanataka kukifanya! Hawakujua agenda au maudhui ya kusanyiko hilo, matokeo yake ilikua kama gulio la wahuni au tuite panya road.

Pili, hakukua na nidhamu, lugha za kihuni (Mbasha, Halafu wewe ni bangi sana), kulikuwa na kupigana hadharani tena wakiwa "live"! Maana yake ni kwamba hawa walikua wahuni, wasiojitambua, wafia tumbo, wasio na uhakika na kesho yao.

Tatu, ni miongoni mwa matamasha ya hovyo kupata kutokea Tanzania, kiasi kwamba isingekua tukio la hao Wahuni kufanyiana vurugu basi hakuna NTU angejua kabisa uwepo wa Tamasha hili. Yaani hata mdundiko wa mtaani una afadhali.

Nne, walishindwa kabisa kupeleka " meseji" waliyotumwa waipeleke maana hata wao wenyewe hawakua na uhakika na meseji yenyewe!

Tano, kuna taarifa kuwa tukio zima lilitawaliwa na vitendo vya kihalifu, kuibiana, kashfa, ngono zembe na mengineyo.

Takukuru ya CCM inabidi wapitie mapato na matumizi ya hii shughuli.

Ubora wake, walifanikiwa kulipa vijana waliowaita Wasanii kwa pesa ndogo ndogo na wengine kukopwa kwa ahadi ya kutumika kwenye kampeni (kuwa compasated) basi hilo tu.

Mwisho, next time tumieni Waandaji ambao sio Wapigaji (hata hivyo sidhani kama kwa CCM unaweza kuwapata, I stand to be corrected).

Nawasilisha, ongezeni mapungufu yao ili kuwasaidia.
Kwenye matangazo watu wengi hawapendi kutumia watu maalumu kwaajili ya matangazo eti wanagharama athari zake ni kubwa sana
 
Back
Top Bottom