Uchaguzi 2020 Tathmini: Tamasha la CCM lilikuwa la hovyo na aibu tupu

Uchaguzi 2020 Tathmini: Tamasha la CCM lilikuwa la hovyo na aibu tupu

Ule ni mtama wa kihistoria. Uingizwe kwenye guiness book of record.

Tunamshukuru Mchovu kwa kubadili upepo wa propaganda. Bila shaka muujiza wa Mungu uliingia kwenye mguu wa mchomvu ili kusudio LA kuwavuruga wanaojipendelea keki ya Taifa wafedheheke.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
 
uko sahihi , kingine ni hiki , 80% ya watumbuizaji na wahudhuriaji hawakuwa wanaccm akiwemo Mbasha na Adam , ila wengi walijifanyisha kama wafanyavyo siku zote ili kujilinda na kuendelea kujipigia mpunga wa bure
Hahahaha yes hili sikuliona. Shukrani sana
 
Kinachonishangaza ni kuona chama kikiwa kimya dhidi ya tukio la kihuni lililofanywa na Adam Mchomvu. Naomba chama kuanzia Sasa, kimuadhibu Mchomvu kwa kuidhalilisha brand ya CCM na siku nyingine watumie washereheshaji wanaojielewa. R. I. P Efraim Kibonde.
Kwa hiyo Adamu mchomvu aitwe kwenye kamati ya maadili ya CCM?
 
Nilijisikia aibu Mimi utadhani ule mtama nilipigwa Mimi. Masikini Mbasha wa watu ,si kupepesuka kule na kujawa na aibu Kule, ilibidi azuge.

Mara nyengine wajitahidi Ila hill La CCM kujipendelea keki ya Taifa hatutawasamehe au watende haki kwa wengine.
Kushirikiana na shetani ni lazima ukumbane na aibu
 
Kwanza kabisa waandaaji hawakua na uhakika wa kile walichokua wanatgaka kukifanya! Hawakujua agenda au maudhui ya kusanyiko hilo, matokeo yake ilikua kama gulio la wahuni au tuite panya road.

Pili, hakukua na nidhamu, lugha za kihuni (Mbasha, Halafu wewe ni bangi sana), kulikua na kupigana hadharani tena wakiwa "live"! Maana yake ni kwamba hawa walikua wahuni, wasiojitambua, wafia tumbo, wasio na uhakika na kesho yao.

Tatu, ni miongoni mwa matamasha ya hovyo kupata kutokea Tanzania, kiasi kwamba isingekua tukio la hao Wahuni kufanyiana vurugu basi hakuna NTU angejua kabisa uwepo wa Tamasha hili. Yaani hata mdundiko wa mtaani una afadhali.

Nne, walishindwa kabisa kupeleka " meseji" waliyotumwa waipeleke maana hata wao wenyewe hawakua na uhakika na meseji yenyewe!

Tano, kuna taarifa kuwa tukio zima lilitawaliwa na vitendo vya kihalifu, kuibiana, kashfa, ngono zembe na mengineyo.

Takukuru ya CCM inabidi wapitie mapato na matumizi ya hii shughuli.


Ubora wake, walifanikiwa kulipa vijana waliowaita Wasanii kwa pesa ndogo ndogo na wengine kukopwa kwa ahadi ya kutumika kwenye kampeni (kuwa compasated) basi hilo tu.

Mwisho, next time tumieni Waandaji ambao sio Wapigaji (hata hivyo sidhani kama kwa CCM unaweza kuwapata, I stand to be corrected).

Nawakilisha, ongezeni mapungufu yao ili kuwasaidia.....
Tamasha la hovyo kabisa
 
ungejua bei iliyolipwa kwa kila wimbo nina hakika ungejipiga kitanzi , hela za ccm zinaliwa kibwege sana !
Mkuu siyo za ccm, ni ile trillion 1.5 ya wanyonge iliyokwapuliwa kihuni na majambazi ya kijani, halafu yanajifanya yanalinda na kutetea rasilimali za taifa kumbe ni majizi kuwahi kutokea duniani, shame upon them
 
CCM wametumia gharama kubwa kuandaa Fiestaccm wakitarajia wanabrand Chama kuelekea uchaguzi mkuu, chakushangaza tukio lao halizungumzwi kabisa.

Man of the match kawa Adam Mchomvu.

Kama Mchomvu kawa mkubwa kuliko CCM, Tundu Lissu mtamweza!!
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
 
Kwanza kabisa waandaaji hawakua na uhakika wa kile walichokua wanatgaka kukifanya! Hawakujua agenda au maudhui ya kusanyiko hilo, matokeo yake ilikua kama gulio la wahuni au tuite panya road.

Pili, hakukua na nidhamu, lugha za kihuni (Mbasha, Halafu wewe ni bangi sana), kulikua na kupigana hadharani tena wakiwa "live"! Maana yake ni kwamba hawa walikua wahuni, wasiojitambua, wafia tumbo, wasio na uhakika na kesho yao.

Tatu, ni miongoni mwa matamasha ya hovyo kupata kutokea Tanzania, kiasi kwamba isingekua tukio la hao Wahuni kufanyiana vurugu basi hakuna NTU angejua kabisa uwepo wa Tamasha hili. Yaani hata mdundiko wa mtaani una afadhali.

Nne, walishindwa kabisa kupeleka " meseji" waliyotumwa waipeleke maana hata wao wenyewe hawakua na uhakika na meseji yenyewe!

Tano, kuna taarifa kuwa tukio zima lilitawaliwa na vitendo vya kihalifu, kuibiana, kashfa, ngono zembe na mengineyo.

Takukuru ya CCM inabidi wapitie mapato na matumizi ya hii shughuli.


Ubora wake, walifanikiwa kulipa vijana waliowaita Wasanii kwa pesa ndogo ndogo na wengine kukopwa kwa ahadi ya kutumika kwenye kampeni (kuwa compasated) basi hilo tu.

Mwisho, next time tumieni Waandaji ambao sio Wapigaji (hata hivyo sidhani kama kwa CCM unaweza kuwapata, I stand to be corrected).

Nawakilisha, ongezeni mapungufu yao ili kuwasaidia.....
Bavicha mna shida
 
Asante Adamu kwa kuharibu mambo yao yakishetani , watu Hosptali wanakufa kwa kukosa Huduma then nyie wapuuzi wa ccm mnachezea hela za umma.
Inawezekana it was planned
Wakosaniiii wa bongo tunawaangaliaa tu
Kutesa kwa zamu huu ni wakati wenu siku meza zikipinduliwa ndiyo iwe siyo na siyo iwe ndiyo napo tutawaangalia tu
 
Back
Top Bottom