heartbeats
JF-Expert Member
- Feb 10, 2014
- 6,736
- 10,669
Lengo ni kutoa burudani tu na kuhamasisha vijana wakapige kura ila limedhaminiwa na ccm, sio kampeni wala tamasha la dini useme utawapangia watu wafanze nini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Eric Shigongo deni lake la kuwachapishia T-shirt za kampeni uchaguz uliopita vipi kalipwa huu ndio muda wakudai haki yake ccm matapeliKwanza kabisa waandaaji hawakua na uhakika wa kile walichokua wanatgaka kukifanya! Hawakujua agenda au maudhui ya kusanyiko hilo, matokeo yake ilikua kama gulio la wahuni au tuite panya road.
Pili, hakukua na nidhamu, lugha za kihuni (Mbasha, Halafu wewe ni bangi sana), kulikua na kupigana hadharani tena wakiwa "live"! Maana yake ni kwamba hawa walikua wahuni, wasiojitambua, wafia tumbo, wasio na uhakika na kesho yao.
Tatu, ni miongoni mwa matamasha ya hovyo kupata kutokea Tanzania, kiasi kwamba isingekua tukio la hao Wahuni kufanyiana vurugu basi hakuna NTU angejua kabisa uwepo wa Tamasha hili. Yaani hata mdundiko wa mtaani una afadhali.
Nne, walishindwa kabisa kupeleka " meseji" waliyotumwa waipeleke maana hata wao wenyewe hawakua na uhakika na meseji yenyewe!
Tano, kuna taarifa kuwa tukio zima lilitawaliwa na vitendo vya kihalifu, kuibiana, kashfa, ngono zembe na mengineyo.
Takukuru ya CCM inabidi wapitie mapato na matumizi ya hii shughuli.
Ubora wake, walifanikiwa kulipa vijana waliowaita Wasanii kwa pesa ndogo ndogo na wengine kukopwa kwa ahadi ya kutumika kwenye kampeni (kuwa compasated) basi hilo tu.
Mwisho, next time tumieni Waandaji ambao sio Wapigaji (hata hivyo sidhani kama kwa CCM unaweza kuwapata, I stand to be corrected).
Nawakilisha, ongezeni mapungufu yao ili kuwasaidia.....
Hahaa acha bwana kumkumbusha machungu. Hadi leo hajasikika tena.Eric Shigongo deni lake la kuwachapishia T-shirt za kampeni uchaguz uliopita vipi kalipwa huu ndio muda wakudai haki yake ccm matapeli
Itakuwaa kuna mmoja alimchongea mwenzake kwenye mchongo wa kipeana hizo senti senti za kimaskini za CCM. Jamaa alimkata mtama live live. Kwenye makamera.Wataishia kuomba radhi tu hawana jipya
Ila hawa jamaa si mchezo yaan wapo wapo tu
Mbaya zaidi ni kumshirikisha Rais wa nchi kwenye uhuni huu wa Polepole.Nilijisikia aibu Mimi utadhani ule mtama nilipigwa Mimi. Masikini Mbasha wa watu ,si kupepesuka kule na kujawa na aibu Kule, ilibidi azuge.
Mara nyengine wajitahidi Ila hill La CCM kujipendelea keki ya Taifa hatutawasamehe au watende haki kwa wengine.
Ubora wake, walifanikiwa kulipa vijana waliowaita Wasanii kwa pesa ndogo ndogo na wengine kukopwa kwa ahadi ya kutumika kwenye kampeni (kuwa compasated) basi hilo tu. [emoji2][emoji2][emoji2]Kwanza kabisa waandaaji hawakua na uhakika wa kile walichokua wanatgaka kukifanya! Hawakujua agenda au maudhui ya kusanyiko hilo, matokeo yake ilikua kama gulio la wahuni au tuite panya road.
Pili, hakukua na nidhamu, lugha za kihuni (Mbasha, Halafu wewe ni bangi sana), kulikua na kupigana hadharani tena wakiwa "live"! Maana yake ni kwamba hawa walikua wahuni, wasiojitambua, wafia tumbo, wasio na uhakika na kesho yao.
Tatu, ni miongoni mwa matamasha ya hovyo kupata kutokea Tanzania, kiasi kwamba isingekua tukio la hao Wahuni kufanyiana vurugu basi hakuna NTU angejua kabisa uwepo wa Tamasha hili. Yaani hata mdundiko wa mtaani una afadhali.
Nne, walishindwa kabisa kupeleka " meseji" waliyotumwa waipeleke maana hata wao wenyewe hawakua na uhakika na meseji yenyewe!
Tano, kuna taarifa kuwa tukio zima lilitawaliwa na vitendo vya kihalifu, kuibiana, kashfa, ngono zembe na mengineyo.
Takukuru ya CCM inabidi wapitie mapato na matumizi ya hii shughuli.
Ubora wake, walifanikiwa kulipa vijana waliowaita Wasanii kwa pesa ndogo ndogo na wengine kukopwa kwa ahadi ya kutumika kwenye kampeni (kuwa compasated) basi hilo tu.
Mwisho, next time tumieni Waandaji ambao sio Wapigaji (hata hivyo sidhani kama kwa CCM unaweza kuwapata, I stand to be corrected).
Nawakilisha, ongezeni mapungufu yao ili kuwasaidia.....
Kama muandaaji ni polepole unategemea nini hapoTamasha la hovyo zaidi kutokea tangu nchi hii upate uhuru
[emoji2][emoji2][emoji2]Nakumbuka MBASHA baada ya mtama akaanza kusema "ADAM..ADAM.... ADAM pigana na yesuuuu,ADAM,ADAM pigana na yesuuuuu!!"baada ya kipigo kukolea akasema "baba ni wewe uliuumba ulimwengu na ukamuumba ADAM...simama nami katika JUKWAA hili....!!!
Ndio maana nikasema huu Uzi mkae kimya sio level yenuBavicha mna shida
CCM hawana uwezo wa kufanya kitu kikawa na impact nzuri kwenye jamiiItakuwaa kuna mmoja alimchongea mwenzake kwenye mchongo wa kipeana hizo senti senti za kimaskini za CCM. Jamaa alimkata mtama live live. Kwenye makamera.
Hawa ndio wanaofanya fujo mikutano ya chadema. Sasa wameota sugu na mapembe.
AiseeeLengo ni kutoa burudani tu na kuhamasisha vijana wakapige kura ila limedhaminiwa na ccm, sio kampeni wala tamasha la dini useme utawapangia watu wafanze nini
Tupia tupicha basi na ule mtama bwashee haaaa haaaa
Haswa! Na ndio maana wanafurahi kuitwa wasanii.uko sahihi , kingine ni hiki , 80% ya watumbuizaji na wahudhuriaji hawakuwa wanaccm akiwemo Mbasha na Adam , ila wengi walijifanyisha kama wafanyavyo siku zote ili kujilinda na kuendelea kujipigia mpunga wa bure