Uchaguzi 2020 Tathmini: Tamasha la CCM lilikuwa la hovyo na aibu tupu

Uchaguzi 2020 Tathmini: Tamasha la CCM lilikuwa la hovyo na aibu tupu

Lengo ni kutoa burudani tu na kuhamasisha vijana wakapige kura ila limedhaminiwa na ccm, sio kampeni wala tamasha la dini useme utawapangia watu wafanze nini
 
Kwanza kabisa waandaaji hawakua na uhakika wa kile walichokua wanatgaka kukifanya! Hawakujua agenda au maudhui ya kusanyiko hilo, matokeo yake ilikua kama gulio la wahuni au tuite panya road.

Pili, hakukua na nidhamu, lugha za kihuni (Mbasha, Halafu wewe ni bangi sana), kulikua na kupigana hadharani tena wakiwa "live"! Maana yake ni kwamba hawa walikua wahuni, wasiojitambua, wafia tumbo, wasio na uhakika na kesho yao.

Tatu, ni miongoni mwa matamasha ya hovyo kupata kutokea Tanzania, kiasi kwamba isingekua tukio la hao Wahuni kufanyiana vurugu basi hakuna NTU angejua kabisa uwepo wa Tamasha hili. Yaani hata mdundiko wa mtaani una afadhali.

Nne, walishindwa kabisa kupeleka " meseji" waliyotumwa waipeleke maana hata wao wenyewe hawakua na uhakika na meseji yenyewe!

Tano, kuna taarifa kuwa tukio zima lilitawaliwa na vitendo vya kihalifu, kuibiana, kashfa, ngono zembe na mengineyo.

Takukuru ya CCM inabidi wapitie mapato na matumizi ya hii shughuli.


Ubora wake, walifanikiwa kulipa vijana waliowaita Wasanii kwa pesa ndogo ndogo na wengine kukopwa kwa ahadi ya kutumika kwenye kampeni (kuwa compasated) basi hilo tu.

Mwisho, next time tumieni Waandaji ambao sio Wapigaji (hata hivyo sidhani kama kwa CCM unaweza kuwapata, I stand to be corrected).

Nawakilisha, ongezeni mapungufu yao ili kuwasaidia.....
Eric Shigongo deni lake la kuwachapishia T-shirt za kampeni uchaguz uliopita vipi kalipwa huu ndio muda wakudai haki yake ccm matapeli
 
Lahovyo sana eti na Rais alikuwepo na vyombo vya dola. Huku wakirusha video na picha za kufabricate.
 
Wataishia kuomba radhi tu hawana jipya
Ila hawa jamaa si mchezo yaan wapo wapo tu
Itakuwaa kuna mmoja alimchongea mwenzake kwenye mchongo wa kipeana hizo senti senti za kimaskini za CCM. Jamaa alimkata mtama live live. Kwenye makamera.

Hawa ndio wanaofanya fujo mikutano ya chadema. Sasa wameota sugu na mapembe.
 
Nakumbuka MBASHA baada ya mtama akaanza kusema "ADAM..ADAM.... ADAM pigana na yesuuuu,ADAM,ADAM pigana na yesuuuuu!!"baada ya kipigo kukolea akasema "baba ni wewe uliuumba ulimwengu na ukamuumba ADAM...simama nami katika JUKWAA hili....!!!
 
Nilijisikia aibu Mimi utadhani ule mtama nilipigwa Mimi. Masikini Mbasha wa watu ,si kupepesuka kule na kujawa na aibu Kule, ilibidi azuge.

Mara nyengine wajitahidi Ila hill La CCM kujipendelea keki ya Taifa hatutawasamehe au watende haki kwa wengine.
Mbaya zaidi ni kumshirikisha Rais wa nchi kwenye uhuni huu wa Polepole.
Kumfanya apige simu katikati ya shughuli na kusema yuko nyuma ya TV anafuatilia ni aibu kwa taifa zima. Yaani Rais anaacha kushughulika na mambo ya maana anafuatilia uhuni ule na mibangi?
Hata kama hatumkubali lakini kwa sasa ndio rais na tunamlipa na kumtunza kama nembo ya taifa letu na sio kusanyiko la kihuni. Ebo!
 
Kwanza kabisa waandaaji hawakua na uhakika wa kile walichokua wanatgaka kukifanya! Hawakujua agenda au maudhui ya kusanyiko hilo, matokeo yake ilikua kama gulio la wahuni au tuite panya road.

Pili, hakukua na nidhamu, lugha za kihuni (Mbasha, Halafu wewe ni bangi sana), kulikua na kupigana hadharani tena wakiwa "live"! Maana yake ni kwamba hawa walikua wahuni, wasiojitambua, wafia tumbo, wasio na uhakika na kesho yao.

Tatu, ni miongoni mwa matamasha ya hovyo kupata kutokea Tanzania, kiasi kwamba isingekua tukio la hao Wahuni kufanyiana vurugu basi hakuna NTU angejua kabisa uwepo wa Tamasha hili. Yaani hata mdundiko wa mtaani una afadhali.

Nne, walishindwa kabisa kupeleka " meseji" waliyotumwa waipeleke maana hata wao wenyewe hawakua na uhakika na meseji yenyewe!

Tano, kuna taarifa kuwa tukio zima lilitawaliwa na vitendo vya kihalifu, kuibiana, kashfa, ngono zembe na mengineyo.

Takukuru ya CCM inabidi wapitie mapato na matumizi ya hii shughuli.


Ubora wake, walifanikiwa kulipa vijana waliowaita Wasanii kwa pesa ndogo ndogo na wengine kukopwa kwa ahadi ya kutumika kwenye kampeni (kuwa compasated) basi hilo tu.

Mwisho, next time tumieni Waandaji ambao sio Wapigaji (hata hivyo sidhani kama kwa CCM unaweza kuwapata, I stand to be corrected).

Nawakilisha, ongezeni mapungufu yao ili kuwasaidia.....
Ubora wake, walifanikiwa kulipa vijana waliowaita Wasanii kwa pesa ndogo ndogo na wengine kukopwa kwa ahadi ya kutumika kwenye kampeni (kuwa compasated) basi hilo tu. [emoji2][emoji2][emoji2]
 
Itakuwaa kuna mmoja alimchongea mwenzake kwenye mchongo wa kipeana hizo senti senti za kimaskini za CCM. Jamaa alimkata mtama live live. Kwenye makamera.

Hawa ndio wanaofanya fujo mikutano ya chadema. Sasa wameota sugu na mapembe.
CCM hawana uwezo wa kufanya kitu kikawa na impact nzuri kwenye jamii
 
Back
Top Bottom