wanayumba , Urusi kavamia Ukraine na sio Hao mabeberu waliovamia mabwana zaoUmesahau, Pro Ukraines wengi ni Wakristo, Pro Russia wengi ni Waislamu ambao wanajaribu kujustify uvamizi wa Urusi kutokana na Mataifa ya Kiarabu kuvamiwa mara kwa mara na Westerners!
Ukiwa na mahaba huwezi kuona mashiko kwa Putin.Ukweli kabisa binafsi sipendi uonevu,tangu mwanzo nilijaribu sana kuzielewa sababu za Putin kuivamia Russia lakini zilikuwa haziniingii akilini.Nimejaribu kuwa mdadisi kwa walioko upande wa Putin hakuna anaekuja na sababu zenye mashiko,sana sana utaambulia kukashfiwa tu.
Kuna watu hawa pia Imeloa Tsh Proved Aleyn dudus na wengine wengi.Hawa watu wamenifanya kuona kumbe kile nilichokiamini tangu mwanzo wa huu mgogoro nilikuwa sahihi.
USA hajawahi kuwa sahihi na sasa asijifanye kiranja mbele ya wenzake, viva Putin!kwahiyo kama USA akikosea basi ndo Mataifa mengine yaendelee kukosea ? USA ndo kipimo cha usahihi ? mkiambiwa mnaiabudu USA mnalia lia
Sababu ni kuimarisha usalama wake kijeshiBado hujatoa sababu ya msingi ya kwa nini Putin kaivamia Ukraine,na wala sitoshangaa kwa sababu sio wewe tu hata watendaji waliopo Kremlin wengi wao hawajaielewa.
Mbona hamkupiga kelele sasa? Huo unafiki ndio sisi Pro Russia tunaukemea. palestina, Syria mpaka now na zaidi ya miaka wanakufa watu pale na watoto mbona hampazi sauti? Au wanaokufa pale sio watu ni Waarabu?mbona tulikosoa uhusika wa West popote pale mf Libyia , kelele zetu zisingemsaidia Ghadaf km hata umoja wa afrika ( AU ) ulikuwa kimya pia Misri , Algeria na Tunisia zilikuwa training grounds za wasaasi walipanga kumtoa Ghadaf pia huko Iraq umoja wa asia ( ACD ) ulikuwa kimya kipind Iraq inaingia kweny mgogoro na west , pia hata huko Somalia , OAU ilikuwa kimya haikupaza sauti au kuhamasisha waafrika kuungana dhidi ya foreign invasion in Afrika , so naona ni kituko kuwakosoa EU / NATO kwa kujihusisha na Ukraine nchi iliyo kwenye ukanda wao na bara lao , jiulize kwann hawakujisisha (NATO / EU ) na Syria ? walimuacha USA apambane mwenyew huko Syria
Kajibiwa na nani? Msiwe mnaluka luka nioneshe comment ulio jibu ata swali moja katika yalekashajibiwa muda tu , majibu kayaona ila kachuna , na nmemsisitiza aulize maswali yaliyopevuka maana kwenye hayo.maswali sijaona swali pevu , ingekuwa paper , nautafuta u TO
Sent from my HUAWEI NXT-L29 using JamiiForums mobile app
Na hawakubaligi kutoka hivi hivi mpaka kifo au jeshi liasi.Madikteka bhana na kwenye uchaguzi utasikia wameshinda kwa 98% ngoja wang'oke madarakani furaha nchi nzima!
basi kukaa upande kila mtu yupo sawa maana bila maslahi asingevamia kabsa. Hata hizo nchi zilizojiunga zingekuwa na maslahi ingetokea hv hv Kama US alichofanya cuba. Hivyo, wote waliopo wapo kimaslahi zaidi sema angevamia US msingechukia ila kwa kuwa na Russia chuki zimejaa kwa kuja na agenda ya kavamia nchi huru wakati wenzenu wapo kimaslahi zaidi kuliko uhai.una maswali ya kitoto , majibu unayajua ila unakaza fuvu , kwa kila namna mkosaji ni Urusi , Urusi amekuwa anaingilia siasa za Ukraine kwa muda sana , ila Ukraine alikuwa kimya ikafika muda wananchi wakaungana na kumtoa aliyekuwa kibaraka wa Urusi mwaka 2014, Huyo kibaraka akakimbilia Ukraine mashariki then akaanzisha harakati za kutaka Majimbo ya mashariki kutaka kujitenga na Ukraine sababu majimbo hayo yanazungumza Kirusi , vikundi vilisumbua sana ila ikafika muda akaingia Zelewinsky mwaka 2019 akaja na upepo akawadhibiti hivyo vikundi kisha akaendeleza agenda ya kujiunga na Umoja wa Ulaya na NATO kwa usalama wa Ukraine dhidi ya Urusi aliyekuwa muonevu wao kwa muda sana , Putin alipoona ushawishi wake unakaribia kudhorota akaamua kujihusisha moja kwa moja kwenye mapigano hayo , Putin akatumia NATO iwe tiketi ya kuivamia Ukraine ila kiukweli tujiulize kwann Hakuzivamia Estonia na Latvia waliojiunga na NATO licha ya kuwa majirani na Urusi ? unaona kuwa hizo sehemu hazikuwa za maslai kwa Urusi ila mashariki ya Ukraine kuna maliasili za kutosha so Ukraine kujiunga NATO itakuwa ngumu kwa Putin kuendelea Kuexploit Ukraine sababu any attack in Ukraine litajibiwa na members wote wa NATO , so Putin kwanza anazuia NATO sio kwa usalama wake bali ni maslai yake ndani ya Ukraine
Sent from my HUAWEI NXT-L29 using JamiiForums mobile app
sivutiwi na uvamizi mieww unaesapoti uvamiz ndo unapaswa kueleza kipi kinakuvutia kwenye huo uvamiz
Sent from my HUAWEI NXT-L29 using JamiiForums mobile app
Aisee, basi nimeshindwa hata nisemeje maana hawa viumbe nasikiaga tu.ushoga hauna tamaduni , hata huko ulaya uliwai kuwa unapingwa ila hii jamii inaongezeka na sio mbaya kuwatambua tu maana wanajikuta hivyo sio kwa kuchagua kama unavyojikuta mwanamke au mwanaume bila kuchagua
Sent from my HUAWEI NXT-L29 using JamiiForums mobile app
Ukraine ina kusaidia nini ? Urusi ni balance of powerKwa kinachotokea Ukraine lazima ukemee Urusi , maslai ya Urusi ww yanakusaidia nn ?
Sent from my HUAWEI NXT-L29 using JamiiForums mobile app
Tahtmini ya Utani wa hapa mtandaoni kati ya Wafuasi wa Zelensky (Pro Ukraine vs Pro Putin)
Prow Ukraine ni watu poa sana, wengi ni wapenda amani wasiopenda uonevu wa kijinga
Pro Ukraine hawashabikii mtu bali wanasimamia facts,
wanasimamia haki, hawapendi uonevu. Wengi jata Zelensky hawamjui ni nani. Ni watu fulani peace sana, ukiwa challenge hawakuchukii watakupa mkono wa kirafiki.
Upande mwingine kuna Pro Putin, hata hawaijui Russia, wanayemjua ni Putin tu, ni watu wenye visirani, huwa wanaongozwa na chuki na ushabiki. Wao wakigundua hauiungi mkono Russia wanaamua kukukatia story, wanachagua kukuchukia na kuona umetumwa na US.
Kuwakuta wenye uelewa na wanaokubali challenge na facts kama @Kalamu1 ni wachache sana, utatafuta hadi uchoke
Cha msingi watu tunatofautiana katika hili Lakin unakuta lingine tunakubaliana
Johhana leta maneno, wapi Nafaka na Nyamizi
Namshukuru Mwanangu Thadeusi Musembi mchambuzi fulani ambaye hatakaa ajue Kama namfuatilia sana
Cc britanicca
Sk
[/QUOTE]
Putin Yuko sahihi kwaajili ya usalama wa nchi yake, Ukraine hakufahamu nafasi yake katika siasa za kimataifa na adhabu yake nyumbani kwake ndo uwanja wa wakubwa kuoneshana ubabe. Na kwaujumla wake hii ni vita kati ya RUSSIA na USA virtually. Ila kama mutu yupo kishabiki hatotaka kukubali ukweli huo. But trust me hata ww ungekuwa raisi wa urusi usingekubali adui kukusogelea kiasi hichoTahtmini ya Utani wa hapa mtandaoni kati ya Wafuasi wa Zelensky (Pro Ukraine vs Pro Putin)
Prow Ukraine ni watu poa sana, wengi ni wapenda amani wasiopenda uonevu wa kijinga
Pro Ukraine hawashabikii mtu bali wanasimamia facts,
wanasimamia haki, hawapendi uonevu. Wengi jata Zelensky hawamjui ni nani. Ni watu fulani peace sana, ukiwa challenge hawakuchukii watakupa mkono wa kirafiki.
Upande mwingine kuna Pro Putin, hata hawaijui Russia, wanayemjua ni Putin tu, ni watu wenye visirani, huwa wanaongozwa na chuki na ushabiki. Wao wakigundua hauiungi mkono Russia wanaamua kukukatia story, wanachagua kukuchukia na kuona umetumwa na US.
Kuwakuta wenye uelewa na wanaokubali challenge na facts kama @Kalamu1 ni wachache sana, utatafuta hadi uchoke
Cha msingi watu tunatofautiana katika hili Lakin unakuta lingine tunakubaliana
Johhana leta maneno, wapi Nafaka na Nyamizi
Namshukuru Mwanangu Thadeusi Musembi mchambuzi fulani ambaye hatakaa ajue Kama namfuatilia sana
Cc britanicca
Sky Eclat
Si bora yeye kuliko wewe ambae hujui hata kuandika neno MunguEh mungu tusamehe huyu nae dokta?
Kwa mwandiko huu naahidi kuanza kupuuza hoja zake.
Ana ubongo wa panzi
Jamaa ametoa hoja zinazo eleweka ila wewe ni pro ukraine ambaye ni mweupe
Unaimarisha usalama wa kijeshi kwa kuvamia nchi nyingine ambayo siyo threat kwako na unaizidi kwa kila kitu kijeshi?Sababu ni kuimarisha usalama wake kijeshi
Huwaga na maamuzi magumu Sana within a second!💥kituu!Watani wetu wengi ni wavaa kobasi
Haha kibaya zaidi maamuzi yao hayashirikishi akili na utuHuwaga na maamuzi magumu Sana within a second![emoji95]kituu!
Lete hoja sio kubwabwaja tu nyuma ya keyboardSawa kabisa Pro Russia wa njano
Unazingua wewe yani, Ukraine sio threat kwake wakati alitaka amkaribishe adui wake Marekani aweke mitambo yakeUnaimarisha usalama wa kijeshi kwa kuvamia nchi nyingine ambayo siyo threat kwako na unaizidi kwa kila kitu kijeshi?
Weka hoja ujibiwe kwa hoja,ukileta vijembe utajibiwa kwa vijembe.Wewe ni mmoja wao aliowasema hapa mtoa mada,mnapanic haraka sana.Lete hoja sio kubwabwaja tu nyuma ya keyboard