Unajua wee
Chabruma una akili za kitoto sana!
Je kura za siri umejuaje kama zote ni ndiyo?
Unajua kilichowafanya wakapiga kura za siri?
Nani kakuambia kuws wanarudia kupiga kura?
Dalili za wazi kuwa Sitta kaanguka vibaya huzioni?
Mumehangaika kumleta AG wa Zanzibar kawaumbua kweupee!
Mwambie mhuni mwenzako Sitta aache kushupaa na akubali matokea mchakato usubiri kama alivyofanya Kikwete!
Mwisho naomba kesho ushuhudie bunge likivunjika lenyewe asubuhi na ndiyo mwisho!!
Huku mtaani tutakuwa tunatembeza bakora tu hadi mrudishe hela washenzi nyie!!!