Tathmini ya Chabruma Juu ya Upigaji Kura BMK, Chereko kwa CCM, Kilio kwa UKAWA,AKIDI KIULAINI

Tathmini ya Chabruma Juu ya Upigaji Kura BMK, Chereko kwa CCM, Kilio kwa UKAWA,AKIDI KIULAINI

inawezekana ikawa kweli! ccm ni mafya! kupiga kura na kuchakachua ni mtindo wao!
 
Nilisha sema humu jf kuwa SITTA ni chuma cha pua. Nadiriki kusema huyu mzee anastahili kuwa Rais wa Tanzania ya kesho.
 
Nilishangazwa na wahuni wanao jiita maaskofu kuandika waraka wa kisiasa kwa mgongo wa Chadema! Yani hawa wahuni wanao jiita maaskofu ni bora wajiunge na UKAWA kabisa!
 
inawezekana ikawa kweli! ccm ni mafya! kupiga kura na kuchakachua ni mtindo wao!

kwa kweli mimi nilivyoisoma Rasimu ya CHENGE, walai hata wakichakachua poa tu, inagusa mtanzania wa kawaida kabisa. Hongera SITTA, hongera CHENGE. Tunaisubiri mtaani tuipe kura za ndiyo.
 
Nilishangazwa na wahuni wanao jiita maaskofu kuandika waraka wa kisiasa kwa mgongo wa Chadema! Yani hawa wahuni wanao jiita maaskofu ni bora wajiunge na UKAWA kabisa!
Mkuu, unachoonyea ni sahihi kabisa. Leo Sitt kawatolea uvivu. Wapo baadhi ya mapunguani yakaja humu na kuanza kumchonganisha na Maaskofu
 
wewe uko wapi mkuu, Mwanasheria wa ZANZIBAR kapiga kura ya ndiyo kwa baadhi ya ibara tena nyingi tu. Ni chache tu alizosema hapana, anza tu kujiharishia sasa hivi.
Mkuu, tena nimemsaidia huyo jamaa kumuwekea Ibara ambazo Omar amekataa.
 
Mchakato wa katiba mpya ni vita. Usifikiri mtaachwa tu mnacheza rafu zenu. Kwa nini muwafungie watu ili wasioige kura?

Mkuu, waache tu wabwabwaje, kwa haraka haraka ni kwamba 2/3 imeshapatikana kila upande.
 
Mimi. NAOMBA ipite ili Wananchi wakaamue wenyewe! Hii mambo ya KILA mtu na Sensa zake wakati Watu wote wako kwenye mitandao tu...

Mkuu CCM Wakidhamiria Jambo kuwashinda ni mpaka nguvu kubwa ya Umma itumike,Kama wameweza kulazimisha akidi itimie Bungeni unadhani watashindwa nini kuipitisha katiba yao kwa wananchi..?? Kibaya zaidi na kizuri kwao iyo kura ya Maoni ya wananchi inasimamiwa na Tume ya Uchaguzi iliyochaguliwa na M/Kiti wa CCM.
 
Mkuu, waache tu wabwabwaje, kwa haraka haraka ni kwamba 2/3 imeshapatikana kila upande.
Yaani 2/3 imetwangwa kote kote. Hapa Dodoma ni Chereko tu. tena leo nimealikwa kwenye sherehe za kuvunja Kamati. Kuna wengine wameanza kuvunja kamati leo kwa vile mambo yamekwisha
 
Hii ni propaganda ya kuhalalisha wizi wa kura,umefikiaje hitimisho wakati kura za siri matokeo bado?!!

Umejuaje kura za fax na emails kama hujatumwa kuandika mazingira ya kuhalalisha ushenzi wa CCM na vibaraka wake??!!
umesoma post ya Chabruma mpaka mwisho? amesema hiyo ni tathmini tu na matokeo rasmi yatatangazwa. Lakini hata hivyo dalili za mvua ni mawingu. ni wazi Katiba imeshapita.
 
Mkuu CCM Wakidhamiria Jambo kuwashinda ni mpaka nguvu kubwa ya Umma itumike,Kama wameweza kulazimisha akidi itimie Bungeni unadhani watashindwa nini kuipitisha katiba yao kwa wananchi..?? Kibaya zaidi na kizuri kwao iyo kura ya Maoni ya wananchi inasimamiwa na Tume ya Uchaguzi iliyochaguliwa na M/Kiti wa CCM.
Hahahahahahahaaaaaaaaa! Ingawa umekata tamaa, ila ndo uhalisia
 
Yaani 2/3 imetwangwa kote kote. Hapa Dodoma ni Chereko tu. tena leo nimealikwa kwenye sherehe za kuvunja Kamati. Kuna wengine wameanza kuvunja kamati leo kwa vile mambo yamekwisha

Duh, mkuu ni siku nyingi sana sijafika Dodoma najua patakuwa pamebadilika sana, vipi kule CHAKO NI CHAKO bado kuku wa kienyeji wanachomeka?
 
umesoma post ya Chabruma mpaka mwisho? amesema hiyo ni tathmini tu na matokeo rasmi yatatangazwa. Lakini hata hivyo dalili za mvua ni mawingu. ni wazi Katiba imeshapita.
Mkuu kww vile tunapoweka post humu tunakuwa ni watu wa kawaida tu, hakika wangejua source ya hizo taarifa tungeheshimiana
 
Duh, mkuu ni siku nyingi sana sijafika Dodoma najua patakuwa pamebadilika sana, vipi kule CHAKO NI CHAKO bado kuku wa kienyeji wanachomeka?
Hakika kuku wa kienyeji ni kila kona ya mji wa Dodoma. Pita pia maeneo ya Mwanga Bar na hata pale jirani na Maisha Club hakika ni kiama cha kuku wa kienyeji. Tangu nimefika huku Mkuu, najaza kuku wa kienyeji tu tumboni.
 
Wewe Chabruma ni muongo sana kama wabunge kutoka Zanzibar waliopiga kura bungeni 153, ukijumlisha na wabunge wa UKAWA 67 waliotoka nje ya Bunge, jumla ya wabunge wa Zanzibar wanakuwa 220, kuna Ziada ya wabunge 10 kwenye idadi ya wabunge 210 ambao ni halali kutoka Zanzibar, Chabruma tafadhali wekeni mahesabu yenu vizuri hamtaeleweka mkizidisha idadi ya wajumbe kutoka Zanzibar.
 
Last edited by a moderator:
Dah!!! Unajikanyagakanyaga tu! Kama akidi imepatikana kwanini Sitta aunde Tume ya kuwahoji waliopiga kura za hapana!? Kuna umuhimu gani wa kufanya hivyo wakati akidi imeshapatikana!?

Mkuu, kwa siasa za Zanzibar, hilo ni jambo la kawaida. Si umeona leo jinsi Mwanasheria Mkuu wa Zenji alivyoipata fresh? Wale wanapeana makavu live. Ila ukweli ndo huo nilioandika
 
hapa kuna usanii unaendelea,na kila mwenye akili timamu ameliona hili. kwakuwa hoja iliyopo mezani ni kuikubali rasimu inayopendekezwa kama ilivyojadiliwa na ilivyoandikwa au kuikataa, kwa hiyo kura inapaswa iwe ndio nakubali au hapana sikubali na yeyote anayesema anakubali nusu na anakataa nusu hiyo kura imeharibika ndio maana yake. pia kura hupigwa mara moja tu sasa hawa wanaotaka kurudia kanuni zimebadilishwa ? au ndio goli linafuata mpira mpaka mpira uiingie golini liwe goli.
 
Wewe Chabruma ni muongo sana kama wabunge kutoka Zanzibar waliopiga kura bungeni 153, ukijumlisha na wabunge wa UKAWA 67 waliotoka nje ya Bunge, jumla ya wabunge wa Zanzibar wanakuwa 220, kuna Ziada ya wabunge 10 kwenye idadi ya wabunge 210 ambao ni halali kutoka Zanzibar, Chabruma tafadhali wekeni mahesabu yenu vizuri hamtaeleweka mkizidisha idadi ya wajumbe kutoka Zanzibar.

Mkuu watu wanacheza na namba tu.
 
Your Mathematics does not match up chambruma. Tuambia Idadi ya wabunge wa UKAWA waliotoka Zanzibar ambao wako nje ya Bunge ni wangapi? Ukitoa hao wawili ambao mmnadai wamepiga kura ya ANONYMOUS? Halafu ujumlishe na Wajumbe 143/142 ambao walikuwa Bungeni ndani au nje lakini wamehesabiwa kuwa watapiga kura. Idadi ya wajumbe kutoka zanzibar inazidi 2010 kaka chambruma
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom