Tathmini ya Chabruma Juu ya Upigaji Kura BMK, Chereko kwa CCM, Kilio kwa UKAWA,AKIDI KIULAINI

Tathmini ya Chabruma Juu ya Upigaji Kura BMK, Chereko kwa CCM, Kilio kwa UKAWA,AKIDI KIULAINI

Sasa kama wamepiga kura ya Siri?

Hata wengine waliopiga kura ya siri bungeni wanafahamika kwa majina ila kura yao ndiyo siri. Haiwezekani kura zipigwe na watu wasiojulikana. IDADI YA WAPIGA KURA NA KURA ZAO LAZIMA YAJULIKANE ILA KURA ZAO NDIYO SIRI.

WATAJE TUJUE KAMA HAUSEMI UWONGO
 
lazima mjifariji na mtafute kila namna kuupamba uongo

Tunachojua ni kuwa katiba imebuma kura 7 plus za siri za hapana plus Mwanasheria wa Zanzibar
Eti huyu ndiyo Sitta anayetaka uraisi, yaani mtu wa kiini macho namna hii hatufai,.
 
Kwa kawaida Takwimu rasmi zinatolewa na wenye mamlaka. Hizi ni takwimu zinasosemekana kwa vile nilikuwa naokoteza

Hata hivyo chabruma,kama hii Katiba itapita,ujue ni ya kulazimisha,si ya maridhiano,kwahiyo huenda haitadumu au itatuletea tu shida hapa tz.
 
Kuanzia leo naanza rasimi kuwazomea ukawa popote ntakapo kutana naye.
 
Hata hivyo chabruma,kama hii Katiba itapita,ujue ni ya kulazimisha,si ya maridhiano,kwahiyo huenda haitadumu au itatuletea tu shida hapa tz.
Mkuu unazungumzia maridhiano gani ukwa walikataa kila kitu wakiitwa kwenye vikao hawataki sasa maridhiano gani.
 
Hivi kweli huyu Six anathubutu kuingia kanisani na kusema anampigia Mungu magoti? Kama anafanya hivyo atakuwa ni Mungu pesa. Kumbe akina.Farao wakingali wakiishi katika zama hizi.
 
Hivi kweli huyu Six anathubutu kuingia kanisani na kusema anampigia Mungu magoti? Kama anafanya hivyo atakuwa ni Mungu pesa. Kumbe akina.Farao wakingali wakiishi katika zama hizi.
Hujasomeka mkuu. Unataka Sitta awasujudie maaskofu wanafiki?
 
Mkuu unazungumzia maridhiano gani ukwa walikataa kila kitu wakiitwa kwenye vikao hawataki sasa maridhiano gani.
Walikataa mpaka maridhiano ya JK licha ya kunywa Juice yake
 
Sasa kama wamepiga kura ya Siri?

Wote waliopiga kura za siri waliitwa kwa majina na wakasema wanapiga kura za siri. Hivyo basi hata hao wa mtandao ni lazima wajulikane kina nani ndio wapige kura za siri....vinginevyo mnaiba wazi wazi........ndio mnazo kibao nawashangaa mnalazimisha Hapana chache kuwa ndio
 
Hivi kweli huyu Six anathubutu kuingia kanisani na kusema anampigia Mungu magoti? Kama anafanya hivyo atakuwa ni Mungu pesa. Kumbe akina.Farao wakingali wakiishi katika zama hizi.

Heri ya Sitta kuliko Padri Slaa amekula kondoo wa mungu jiulize siku ya mwisho ataweka wapi uso wake.
 
Kwa kawaida Takwimu rasmi zinatolewa na wenye mamlaka. Hizi ni takwimu zinasosemekana kwa vile nilikuwa naokoteza

Kumbe uliokoteza Takwimu halafu ukatuletea hapa, ambazo zinazidisha wajumbe kutoka zanzibar hadi 220. Subiri tu takwimu sahihi zitangazwe acha kutunga.
 
Kwa vile hunijui, ni haki yako kujiuliza maswali hayo

Nani asiyekujua kuwa we ni kijana mchumia tumbo unayefanya kazi ya ukibaraka baada ya kupewa cheo UVCCM na kugeuzwa vuvuzela la mtaka uraisi wa Mtama ambapo sasa upo Dodoma uanajifanya unawakilisha vijana na wasanii wakati unatetea washenzi wenu wa CCM NA uovu wao??!!
 
Mtu kama Chabruma ni wa kupuuzwa tu na ndio hawa wanaochochoa wat hasira .Gamba hili lisilojitambua
 
Unajua wee Chabruma una akili za kitoto sana!
Je kura za siri umejuaje kama zote ni ndiyo?
Unajua kilichowafanya wakapiga kura za siri?

Nani kakuambia kuws wanarudia kupiga kura?
Dalili za wazi kuwa Sitta kaanguka vibaya huzioni?
Mumehangaika kumleta AG wa Zanzibar kawaumbua kweupee!
Mwambie mhuni mwenzako Sitta aache kushupaa na akubali matokea mchakato usubiri kama alivyofanya Kikwete!

Mwisho naomba kesho ushuhudie bunge likivunjika lenyewe asubuhi na ndiyo mwisho!!
Huku mtaani tutakuwa tunatembeza bakora tu hadi mrudishe hela washenzi nyie!!!

Nawewe nini kina kufanya uhisi kutakuwa na kura za hapana humo?
 
Last edited by a moderator:
"The world wide impossible politics are possible in Tanzania".

The reason is that,majority of the electorate in this country is comprised of "irresponsible citizen"and this is why the rulers do whatever they want without fear of being voted out of power.

By mimi.
UKAWA and Bavicha are among of those irresponsible citizen of our country!
 
Back
Top Bottom