Tathmini ya kisayansi juu ya matokeo ya uchaguzi mkuu Novemba 2020

Mtoa post point hii utakuwa uliifikia ukiwa mahututi kimawazo ,edit aisee
πŸ‘‡
Tangia siku ya kwanza ya Raisi Magufuli kuingia madarakani, makundi tofauti ya wanachi kuanzia wachuuzi, wafanyakazi, wakulima, vijana na kina mama wamepewa fursa na uhuru mkubwa wa kufanya kazi halali zinazowaingizia kipato.


NAKUKUMBUSHA wafanyakazi wapo hoi hawana amani na utawala huu kama huamini tazama zoezi la uandikishaji walivyolisusa.
 
Ushindi ni upepo sio hesabu.Chochote chawezatokea.Endeleeni kuomba busara za mbowe azidi kuwa kondoo ili mbakie madarakani
 
Mkuu huu sio utafiti bali uharo kabisa!!!HUWEZI ANDIKA BANDIKO REFU HALAFU UKAWAPA USHINDI CHAMA CHA MAUAJI !!!ACHA WENGE!!!
 
Muda uliopoteza kuandika upuuzi ungeandika wazo LA biashara na kuliombea mkopo ungeipunguzia familia yako umasikini.

hao unaowasifia hawana habari nawe, wanakulipa posho ya buku 7 kwa post.

Utakufa lofa dogo unang'ang'ana na liccm lenu lichovu
 
Hitimisho:
Uchaguzi mkuu ujao wa Novemba 2020 utaipa ushindi CCM kwa asilimia zaidi ya 87% huku muungano wa vyama vya upinzani ukiwa na asilimia 13%..... Hapa ndipo ulipokosea

Jr[emoji769]
 
Nenda kasome sheria ya vyama vya siasa uone inavyokataza vyama kuungana na kuachiana baadhi ya majimbo etc...
 
Mleta mada, mada yako ni fake. Kwanza ulitakiwa ku-declare kama kweli ndoto yako hii haina conflict of interests?

Pili, kwa mtu yeyote yule mwenye akili timamu awezi kusifia uchaguzi fake wa serikali za mitaa. Kitendo chako cha kuisifia ccm eti ilifanya vizuri kupitia uchaguzi huo kinaonyesha wewe ni punguani na hivyo kufanya mawazo yako yote uliyoyaweka hapa kuwa ya kipunguani.

Tatu, kwa mantiki hiyo hiyo ya uchaguzi fake uliopita wa serikali za mitaa inaonyesha watanzania waliowengi hawana tena imani na chaguzi chaguzi zinazoendelea hapa nchini maana ni idadi ndogo sana ya watu walijitokeza kwenye uchaguzi huo wa uongo uongo. Hivyo inashangaza unaposema eti uchaguzi wa mwaka huu 2020 unatarajiwa kuwa na wapiga kura wengi kuliko wale waliojitokeza 2015. Hizi projections zako hakika nazo ni za kipunguani zaidi.
 
Mkuu labda umeongelea kundi hilo tu moja la wafanyakazi lakini makundi mengi yanalia hata kuliko hilo la wafanyakazi.

Wafanyabiashara hao siyo tu kulia bali wanapiga mayowe kabisa japo hawana mtu wa kuwasikiliza. Wengi wao wamelazimika kufunga biashara kutokana na utawala mbovu wa huyu jamaa. Wakulima ndiyo usiseme, kule kusini walinunua korosho zao wakakaa nazo kisha bila kuwalipa hata cent wakawaita wakulima wakachukue korosho zao tena kwa gharama za wakulima wenyewe.

Kila kundi linaumia kwa njia yake. Wasitaafu hawalipwi posho zao tena, wengine wako mtaani wana karibia miaka minne tokea wamestaafu wanadai hadi baadhi wanakufa kwa dhiki na kuyaacha mafao yao ndani ya consolidated fund ya serikali ya jiwe.

Wanafunzi vyuoni wanataabika, wakijaribu kudai walao haki yao moja tu ya mikopo ili waweze kujikimu serikali inaagiza wafukuzwe vyuoni.

Hadi raia wa kawaida siku hizi uruhusiwi kuhoji chochote, ukihoji ukafahamika umehoji basi jiandae kuozea gerezani kwa kesi za kubambikiwa za uhujumu uchumi na utakatishaji fedha.

Yaani kwa ujumla hakuna raia asiyeumizwa na mfumo wa utawala wa sasa. Na kutokana na hali ya mambo ilivyo, watu tumekuwa waoga kupita kiasi. Yaani siku hizi kauli za "namwachia Mungu" zimekuwa nyingi mno. Mtu ananyanyasika lakini kwa kuogopa mfumo huu gandamizi, mtu anakaa kimya kwa kisingizio kuwa anamwachia Mungu!!

Hivyo siyo siri inashangaza sana unapoona punguani mmoja anaandika vimada kama hivi vya kipunguani kabisa kama vile yeye siyo mtanzania.
 
Inauma sana kuandika makala ndefu halafu wachangiaji hupati!!
Jifunzeni kuandika bila biasness!Hapa ni mwendelezo wa kuabudu na kusifia!
 
Uwepo usiwepo mpige kura msipige cha msingi jembe jpm atashinda kwa kiwango cha 99.9


USAR

Sent using Jamii Forums mobile app
Kauli ya kipumbavu kupata kutokea. Kiongozi anayeingia madarakani bila ridhaa ya wengi ana nafasi kubwa sana ya kuondolewa kwa njia haramu vilevile, jee ndio mtakavyo iwe?
Kama unapendwa kwa nini ubake?
 
Nimesoma andiko lako, andiko lako liko ''bias'' sana. limejikita kumsifia Magufuli na CCM yake. umesahau kuwa wapiga kura wanatumia vigezo vingi hasa katika kupiga kura, je umefanya analysis ya namna gani hali ya kiuchumi imewaathiri?? pili Uwajibikaji wa serikali kwa wananchi wake kuhusu suala la usalama wao ukizingatia kukithiri kwa matukio ya kutekwa, kuteswa. Je umefanya uchambuzi juu ya ukosefu wa ajira utaiathiri vipi CCM kwenye sanduku la kura??
 
Huyu Kama sio mama kiroboto Yule wakuzika misalaba basi sijui
 
Kama UKAWA ulishindwa,basi MVUTA utakua ,mvutano,tena watavutana dakika ya mwisho,upinzani huwa wanakosea sana hesabu zao,hilo ndilo tatizo.
HESABU ZINAKOSEWA.
 
Uchaguzi wa SERIKALI ZA MITAA ndiyo kilikuwa kipimo lakini napo MKAPORA mchakato wote. Yani hadi RC anapita Bar kuwaambia watu wajiandikishe! Jafo & Rais wanatisha viongozi wa mkoa kuwa kama wasipojiandikisha watu basi watawajibishwa! CCM imegeuka kuwa genge la uporaji badala ya ushawishi wa hoja.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni mawazo yako!
 
kweli mkuu, eti CCM iliandaa vyema wagombea wake wote nchi nzima namna ya kujaza form - kweli ujinga wa Mtanzania ndiyo mtaji wa CCM.
 
Ukiwa unaanzisha mada flani kwa ushabiki utaonekanatu umeeanza vizuri lakini hisia zako zilivyokolea ushabiki ukaingia. Kwamfano eti wachambuzi wamesema haijawi kutokea kwa upinzani na haitatokea, what do you mean. Na wingi wa mashabiki sijui sayansi yako ili upimia wapi? Anyway ninachotaka kukisema Mimi hapa nihivi tasmini yoyote ile neutral haitakiwi kubeba ushabiki. Pia Tanzania ya leo huwezi kuigawa kwa kusema kijijini labda kama sijaelewa maana ya kijijini ni nini. Sikuhizi jambo linafanyika Dar sekunde mtu wa Nyamadoke keshajua hats were uliepo dar bado hujalijua na hatakulisikia. Kama Luna kuwa na fair kwenye uchaguzi nchini kwetu uchaguzi ni mgumu sana kama Ligi kuu ya Uingereza samahani kama nitakuwa nimewakwaza hapo.
 
Tunaelekea Uchaguzi mkuu October 28,Endapo tutapiga kura leo JPM anashinda kwa 90%
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…