Tathmini ya kisayansi juu ya matokeo ya uchaguzi mkuu Novemba 2020

Mm ni mwanaccm asili ila kwa uchambuzi wako juu Lusu tumeshafeli kwani kumbuka tumeshajisahau kunadi sera zetu na kuanza kucopy za upinzani issue ya Bima na m engine. Inainyesha hatukujiandaa au hatukujua kama upepo ungetuvumia vibaya kiasi cha kubaki kumjibu Lisu. Huku kazi ya Katibu Mku na Mwenezi hazijulikani. Kwa mfano Polepole amesahau kazi yake na kuamua Mc
 
Mleta mada achaujinga nakukariri unawatukana wanavijiji bilahata hatawewe kujuwa andikolako linaonesha vijijini hawajitambui siokweli kabisa marakadhaa wabunge wengi kwakiasi chao waupinzani hutokea kwenye wilaya ambazo zipopamoja navijiji kwasasa watu wavijijini wanaufahamu sawa nawamjini tu mfano kampeni zilizoanza lisu amepita maeneo yamorogoro kwenye vijiji watu walikuwa namori kubwa sana kumshabikia tuache uongo nasayansi zakishamba watu wanajuwa hakizao uelewe
 
Usitukemee,
Andiko halijaongea watu wa vijijini hawajielewi usilete propaganda za Chadema hapa,lete hoja.
 
Usitukemee,
Andiko halijaongea watu wa vijijini hawajielewi usilete propaganda za Chadema hapa,lete hoja.
Umesema kura zaccm zipo vijijini ndiomimi nikajibu sikweli waliopo vijijini ambalo upinzani haupo kama andikolilivyo sema siokweli uelewa kwasasa v na m nisawasawa hatawabunge wengi waupinzani hutokea kwemajimbo yawilayani siomikoani nahapa ukibisha madayako ondoa itakuwa imekwama
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…