Laigwanan76
JF-Expert Member
- Nov 21, 2010
- 551
- 153
Mkuu ushapata jina lake, acha uvivu, nenda maduka ya kilimo utapata maelezo ya kina toka kwa wataalamu wa hiyo fani. Huyu ni mfanyabiashara. kama ulivoona kasema kashauza kwa Tshs 3,000 wakati kwenye tathmini ni Tshs 1,500! usishangae ukitaka kuweka oda kwake akakwambia ni 5,000! lazima itakuwa inapatikana kungine kwa bei chee tu, yeye hawezi kuwa wa kwanza na wa mwisho kwa teknolojia
Ok
Habari wana jf mm ni kijana ambae nimekua nikifuatilia mishe mishe za mjini ambazo nikifanya naweza kutoka kimaisha mara moja nimekagua kila aina ya dili za hapa mjini na vilimo huko vijijini ila mwisho nimegundua kua kilimo cha michungwa kinalipa sana.
Hizi ni baadhi ya dondoo nilizozikusanya baada ya tathmini ya mapato kwa kupanda michungwa 1000 baada ya miaka 3
kila mchungwa baada ya miaka mitatu itazaa machungwa 4000
hivyo 4000 machungwa*1000 michungwa = 4,000,000 machungwa
jinsi ya quality ya chungwa katika kipindi cha mavuno sokoni linasimama 120 tsh kwa sasa baada ya miaka mitatu makadirio ni 150 150tsh
hivyo 150tsh *4,000,000 machungwa= 600,000,000/= tsh na ni misimu miwili kwa mwaka 600,000,000 * 2 = 1,200,000,000.
Nukuu
(a)Hii ni aina ya michungwa ambayo watu wengi hawaifahamu na kwa kiwango cha chini hapa tanzania katika mkoa wa pwani inazaa machungwa 6000 ila mm nimeweka 4000 na kwa kiwango cha juu ni 7000
(b)aina hii ya michungwa kadri inavyozidi kupea ndio machungwa yanazidi ubora wake pia kadri unavyochelewesha kuvuna ndio yanazidi kua mazuri na ukiyavuna mwisho wa msimu ndio vizuri zaidi mana bei itakua nzuri
(c)ni machungwa makubwa na matamu pia yanastahamili misukosuko mana ni magumu hata katika safari hayaharibiki wala kupasuka
(d)michungwa hii inahitaji utaalamu wa hali ya juu katika kuyashughulikia ila pia gharama zake ni ndogo katika kushughulikia!
ukiwa intrested na kilimo hiki kwa zaidi nitafute kwa 0712212220
Habari wana jf mm ni kijana ambae nimekua nikifuatilia mishe mishe za mjini ambazo nikifanya naweza kutoka kimaisha mara moja nimekagua kila aina ya dili za hapa mjini na vilimo huko vijijini ila mwisho nimegundua kua kilimo cha michungwa kinalipa sana.
Hizi ni baadhi ya dondoo nilizozikusanya baada ya tathmini ya mapato kwa kupanda michungwa 1000 baada ya miaka 3
kila mchungwa baada ya miaka mitatu itazaa machungwa 4000
hivyo 4000 machungwa*1000 michungwa = 4,000,000 machungwa
jinsi ya quality ya chungwa katika kipindi cha mavuno sokoni linasimama 120 tsh kwa sasa baada ya miaka mitatu makadirio ni 150 150tsh
hivyo 150tsh *4,000,000 machungwa= 600,000,000/= tsh na ni misimu miwili kwa mwaka 600,000,000 * 2 = 1,200,000,000.
Nukuu
(a)Hii ni aina ya michungwa ambayo watu wengi hawaifahamu na kwa kiwango cha chini hapa tanzania katika mkoa wa pwani inazaa machungwa 6000 ila mm nimeweka 4000 na kwa kiwango cha juu ni 7000
(b)aina hii ya michungwa kadri inavyozidi kupea ndio machungwa yanazidi ubora wake pia kadri unavyochelewesha kuvuna ndio yanazidi kua mazuri na ukiyavuna mwisho wa msimu ndio vizuri zaidi mana bei itakua nzuri
(c)ni machungwa makubwa na matamu pia yanastahamili misukosuko mana ni magumu hata katika safari hayaharibiki wala kupasuka
(d)michungwa hii inahitaji utaalamu wa hali ya juu katika kuyashughulikia ila pia gharama zake ni ndogo katika kushughulikia!
ukiwa intrested na kilimo hiki kwa zaidi nitafute kwa 0712212220
Hii ndiyo aina ya market promotion ya kitanzania, unawatangazia watu bidhaa yako huku unawatukana, kukashifu na kuwazodoa wateja, ngoja tufuatilie hii the comedy naona napata burudani poa kabisa daah!!
huyu jamaa nilimpigia simu akaniambia nimpatie email anitumie details. Hadi sasa naona kimya tu sasa sijui zilikuwa mbwembe tu
Ni vizuri ukaendelea na udalali wa ile gari Tarios kwenye thread yako nyingine kuliko kuleta porojo kwenye kilimo. Nikuelimishe kuwa machungwa na jamii nyingi za citrus family unapofanya 'budding' ni kweli kuwa unapunguza muda wa kuanza kuzaa matunda. Lakini kwa miaka michache ya mwanzo matunda huwa ni kidogo, kwa vile mti unajaribu kuzaa kulingana na uwezo wake in terms of strength, ndio maana ukiwa mkulima mzuri unashauriwa kupunguza baadhi ya maua au later matunda ili mti usielemewe na kuvunjika. Sasa kimantiki si kweli mchungwa wa miaka mitatu kubeba machungwa 4000, labda machungwa hayo yawe na saizi kama karanga....!
mkuu mm nataka kujua kuhusu soko,nitauza kwa nani kwa bei uliyosema ya sh 120 kwa jumla?Habari wana jf wale waliokosa ile miche ya michungwa tayari imeandaliwa tayari kama anaehitaji kwa muda huu u r welcome