Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zinahitajika ekari ngapi kupanda hiyo michungwa elf moja?
kwa kiukweli kaka sina utaalamu wa kujua ni maeneo gani ila maeneo ambayo nina ushahidi nayo ndio hayo niliokwambia na kuhusu mkoa wako kaka bado sijajua mana mm si mtu wa climate
Mkuu kweli bana mi mwenyewe nimeletwa Songea ardhi ipo yakutosha vijijini ekarimoja mpka elfu 50.da!ngoja jamaa atupe uzoefu hapa
Hongera sana kwa taarifa. Swali langu ni kuhusu aina ya mchungwa, na jina lake kitaalamu? Je soko la haya machungwa baada ya kuvuna utauza wapi yote uweze maliza shambani bila kuharibika?
mm si mtaalaam wa irrigation ila rabda nikupeleke sehemu ukaone jamaa walivyofanya irrigation yao nzuri na ni ya kieconimic
aina hii ya michungwa mjomba ni magumu makubwa na matamu suala la soko ondoa shaka mm nadhani ningewaonjesha aina hiyo ya machungwa subiri niagizie halafu nitawaambia muje muchukue moja moja kwa ushahidi kisha mtanambia wenyewe!
mm sina utaalamu na irrigation ila nikupeleke shambani kwa rafiki yangu halafu uone jinsi alivofanya very intresting na economic
songea sina ushahidi kama aina hii ya michungwa itakubali!
ni kweli tunafanya grafting
yoyote anaehitaji miche anipe order then nitawataarifu bei mana sasa imekua adimu!
Tengeneza busindes plan then uiuze!
jamani mm nipo dar hapa hayo mashamba yako tanga nikifika nitawatumia sasa hivi sina picha hapa yaliyopo hapa dar bado ni miaka miwili huko tanga nina michungwa 2000 nitawaonyesha nikifika!
mm hapa nafanya biashara kama kuna yoyote aliekua intrest na kilimo hiki tukae mezeni tuongee biashara
kwani haya si mawazo yangu kama hayakufai achana nayo! na hao walioona yanawafaa washanifata na tumeshaongeoa ni zaidi ya watu 10 wananitosha
kwa heka tano ni miche makadirio ni kama miche 350 zinatosha na tadhmini ya miche 350 kila mwaka unaweza kuingiza 400,000,000
Mkuu vp mbona unashtuka mashetani yako hayapendi kuwa milionea nini? Mi bado nawaza huo mchungwa wenyew uwezo wa kubeba machungwa elfu nne ambayo uzito wake unakaribia tani moja labda huo mchungwa unazaa mara tatu kwa mwaka ukijumlisha uzao wote ndo unatapata hiyo idadi ya machungwa au wenyewe unazaa non stop kila mwezi unavuna hauna msimu mleta mada tafadhali fafanua it's too good to be true
kwani ww shida yako nini mjomba na kama kweli unafuatilia mbona umekileta nilichokijibu wala hukukileta nilichoambiwa? wacha ufitishaji hizo ni tabia za kina mama, mtu mzima yako akili kuangalia maisha yako, ndio mm nauza daihatsu sasa dili ya daihatsu na michungwa imekujaje kwani kipi kinachokuuma mm kufanya biashara aina tofauti hemu chunga muda wako na ufanye ya maana kukuza kipato chako na kutunza heshima yako na muda wako pia!
Hii ndiyo aina ya market promotion ya kitanzania, unawatangazia watu bidhaa yako huku unawatukana, kukashifu na kuwazodoa wateja, ngoja tufuatilie hii the comedy naona napata burudani poa kabisa daah!!
Kaka huyu dogo ni Pimbi sana ana majibu ya hovyo sijawahi ona na bado anatoa ideas za Kitapeli humu eti mchungwa unaweza kubeba machungwa makubwa 4000