Tathmini ya mapato ya kilimo cha michungwa 1000 baada ya miaka 3

Tathmini ya mapato ya kilimo cha michungwa 1000 baada ya miaka 3

Wazo lako ni nzuri na linalofaa kufanyiwa kazi haraka sana kipindi hiki cha mvua, niambie hapa Dar wapatikana wapi na utakaa hadi lini?
 
wewe njoo maeneo ya kariakoo dsm ukifika nipigie simu
 
kuna thread ume-post kule kwenye matangazo madogo unauza daihatsu terrios ....

umejibu mteja hivi

hiyo pesa yako ndogo kanunue bajaji huna uwezo wa kumili gari unajua mungu mewauumba wanaadamu kwa classes so ww hupo ktk class ya kumiliki gari bado na hizo pesa ulizokopa ukinunua bajaji ikikuzingua utajuata!

hapa tena majibu yako ni haya

kama unajiona una ardhi maeneo hayo nilisema na una nia ya kilimo hiki na pesa unayo kwa ajili ya gharama na kunilipa mm nitafute tuake mezani ww unataka jina kwani mm nilietafuta hizi details na kuzifanyia kazi nimepoteza muda wangu na gharama zangu wacha kung'ang'ania jina siwezi kuwapa jina hata siku moja na nikifika tanga nitawapa picha za hiyo michungwa

i smell something fishy
 
kwani ww shida yako nini mjomba na kama kweli unafuatilia mbona umekileta nilichokijibu wala hukukileta nilichoambiwa? wacha ufitishaji hizo ni tabia za kina mama, mtu mzima yako akili kuangalia maisha yako, ndio mm nauza daihatsu sasa dili ya daihatsu na michungwa imekujaje kwani kipi kinachokuuma mm kufanya biashara aina tofauti hemu chunga muda wako na ufanye ya maana kukuza kipato chako na kutunza heshima yako na muda wako pia!
 
mkuu ... kwa mchanganuo huu wa mapato .... ukipeleka business plan banki wataita polisi

Hahahahaa umenichekesha mkuu eti wanaita Polisi kosa litakuwa nini hapo? Utapeli au?
 
kwani ww shida yako nini mjomba na kama kweli unafuatilia mbona umekileta nilichokijibu wala hukukileta nilichoambiwa? wacha ufitishaji hizo ni tabia za kina mama, mtu mzima yako akili kuangalia maisha yako, ndio mm nauza daihatsu sasa dili ya daihatsu na michungwa imekujaje kwani kipi kinachokuuma mm kufanya biashara aina tofauti hemu chunga muda wako na ufanye ya maana kukuza kipato chako na kutunza heshima yako na muda wako pia!

bluetooth Njooo picha limeshaanza na hapa amejibu hivi

Itabidi nianzishe chuo cha customer service humu JF
 
sasa hii ni biashara mm nauza wazo la biashara sasa kama nikikutajia na jina si biashara ndio imekufa kama unahitaji tukae kwenye meza tuongee biashara!

Wenzako akina Malila huwa wanamwaga data bure tu humu kwanza kwa kutaja jina mbona itakuwasidia kupata wateja? Cause watu watafanya research wakijua ni kweli kuwa huo mchungwa unaweza kuzaa machugwa 4000 watakutafuta uwauzie miche/Mbegu hapa sasa hivi unataka kuwaingiza watu kichwa kichwa kwenye hiyo biashara
 
ww huna kazi ya kufanya unapoteza muda humu jf na nakutabiria na utanikumbuka hutokuja kua na maisha mazuri ya kumtuma mtu!
 
kwani haya si mawazo yangu kama hayakufai achana nayo! na hao walioona yanawafaa washanifata na tumeshaongeoa ni zaidi ya watu 10 wananitosha
 
na kama unasubiria nikwambie pole subiri mpaka mwisho wa dunia pole sana! kama mshazoea vya bure hapa kwangu nooooooooooooooooooooooooooooooo!
 
chekeni chekeni bado mpo viaja mna nguvu za kufanya kazi na ikifika umri wa uzeeni piteni madukani muombe ombe mana muda wa kutafuta na kujijenga nyinyi mlikua mnacheka nawaonea huruma sana na poleni sana na hata kama mna pesa za urithi zinaisha tu kisha tutajenga heshima!
 
kwani ww shida yako nini mjomba na kama kweli unafuatilia mbona umekileta nilichokijibu wala hukukileta nilichoambiwa? wacha ufitishaji hizo ni tabia za kina mama, mtu mzima yako akili kuangalia maisha yako, ndio mm nauza daihatsu sasa dili ya daihatsu na michungwa imekujaje kwani kipi kinachokuuma mm kufanya biashara aina tofauti hemu chunga muda wako na ufanye ya maana kukuza kipato chako na kutunza heshima yako na muda wako pia!


"419" are a type of advance fee scums and one of the most common types of confidence frauds in which the victim is defrauded for monetary gain.

"419" refers to the article of the Nigerian Criminal Code dealing with fraud.
 
Madogo wanao maliza sua, ud, udom wakichukua idea wataachana na ubankteller
 
Madogo wanao maliza sua, ud, udom wakichukua idea wataachana na ubankteller

Mkuu kwenye kazi ukishaingia kutoka ni shughuri pevu, labda ufukuzwe kazi, ni wachache sana wanao weza kufanya hivyo
 
attachment.php


Machungwa 4000 kwa mti, hesabu yako ipo juu sana mkuu
 
Dogo lugha unazotoa kwenye biashara hata mtu wa Darasa la saba asiyekuwa na elimu ya kutosha hawezi kuzitoa ,Una Lugha chafu sana
 
Back
Top Bottom