Kahtan Ahmed
JF-Expert Member
- Aug 24, 2011
- 765
- 490
- Thread starter
- #41
nimekujbu lkua sina utaalamu wa kujua maeneo ila nimeona katika mkoa wa pwani,dar, tanga na morogoro nimesikia sasa maeneo mengine waulize wataalamu wa climate
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nashkuru sana kwa maelezo yako ila nakuomba nikwambie kitu kwamba usikatae mm nina baba angu tangu enzi za ukoloni ishu zake ni michungwa ila sasa ameng'oa michungwa ya aina zote ikiwemo valencia,jaffer na msasa na amepanda aina hii ya michungwa ninayokueleza hemu google machungwa toka brazil then angalia idadi kuna michungwa inazaa mpaka 16000 kwa kila mchungwa jaribu kufuatilitilia kilimo vizuri wacha kukurupuka
nimekujbu lkua sina utaalamu wa kujua maeneo ila nimeona katika mkoa wa pwani,dar, tanga na morogoro nimesikia sasa maeneo mengine waulize wataalamu wa climate
kwa heka tano ni miche makadirio ni kama miche 350 zinatosha na tadhmini ya miche 350 kila mwaka unaweza kuingiza 400,000,000
Mkuu kahtan Ahamed heshim sana,
Nimepitia bandiko lako nikaona yapo baadhi ya mambo yanahitaji kuboreshwa kidogo.
Kwanza hakuna mchungwa unaweza kuzaa chungwa 4,000.Uzoefu wangu wa kulima machungwa wa zaidi ya miaka mitano mti mmoja ni kati ya chungwa 600 - 800 katika msimu mmoja.
Kuna aina nyingi za chungwa zinazolimwa Tanzania hasa mikoa ya ukanda wa Pwani ie Tanga,Pwani,Dar na Morogoro.
[1] Msasa (Kubwa na Ndogo) hii ni aina nzuri ya chungwa,inaweza kusafirishwa umbali mrefu bila kuharibika.Soko lake kubwa ni Kenya na miji ya Dar,Arusha,Kilimanjaro ....
[2] Valensia ni aina ya chungwa linaloweza kusafirishwa mbali.Aina hii ya Chungwa ipo kwa wingi Muheza na kidogo limeanza kulimwa maeneo ya Korogwe na Handeni (Michungwani,Kwedi Zinga na Kabuku) Uzuri wa Valensia msimu wake mara nyngi unatokea wakati msimu wa chungwa umekwisha au machungwa yanakuwa hayapo sokoni kwa wingi.Wakulima wengi wanapendelea kulima aina hii ya chungwa kwasababu za kibiashara zaidi.
[3] Jaffar ni aina ya chungwa kubwa zinazozaa sana mara nyingi msimu wake wa mavuno unagongana na Msasa.Jaffa ni kubwa,lina maji mengi,ni tamu sana,linaweza kuliwa hata kama halijaiva vizuri.Ubaya pekee wa Jaffa ni kuharibika kwa wingi linaposafirishwa mbali.wafanyabiashara wengi hawapendi kuyanunua kwa wingi kwa kuhofia kuharibika yanapofika sokoni.Jaffa si chungwa zuri kwa biashara lakini si vibaya ukayachanganya kidogo shambani let say katika eka 13 ukaweka eka 1.
Nitarejea baadae kukupatia uzoefu wangu wa namna bora ya kuanzisha shamba la michungwa,miembe na minanasi ukipenda stay tune.
dah .... ndugu yangu
sikiliza machungwa aina hii ni makubwa na matamu ndio yale unayouziwa 300 mjini kwa matenga na kwa quality yake waweza kuuza hata super market na aliekua na muda aje nimpeleke akaone nilipofikia nimeanza na miche 300 ila sasa nina michungwa 21000 na sina eneo kubwa ila ningepanda hata kama ni michungwa milioni na nia na madhumuni ya kukupeni wazo hili nataka kuwauzia miche ili na nyinyi mufaidike bado nazalisha miche na shamba langu limejaa hapa natafuta soko la miche
Mkuu vp mbona unashtuka mashetani yako hayapendi kuwa milionea nini? Mi bado nawaza huo mchungwa wenyew uwezo wa kubeba machungwa elfu nne ambayo uzito wake unakaribia tani moja labda huo mchungwa unazaa mara tatu kwa mwaka ukijumlisha uzao wote ndo unatapata hiyo idadi ya machungwa au wenyewe unazaa non stop kila mwezi unavuna hauna msimu mleta mada tafadhali fafanua it's too good to be true
Hata huo wa Dar tupia tu sio mbaya kwa kuazia then ukifika huko Tanga tupia wala haitobadili maana...jamani mm nipo dar hapa hayo mashamba yako tanga nikifika nitawatumia sasa hivi sina picha hapa yaliyopo hapa dar bado ni miaka miwili huko tanga nina michungwa 2000 nitawaonyesha nikifika!
nashkuru sana kwa maelezo yako ila nakuomba nikwambie kitu kwamba usikatae mm nina baba angu tangu enzi za ukoloni ishu zake ni michungwa ila sasa ameng'oa michungwa ya aina zote ikiwemo valencia,jaffer na msasa na amepanda aina hii ya michungwa ninayokueleza hemu google machungwa toka brazil then angalia idadi kuna michungwa inazaa mpaka 16000 kwa kila mchungwa jaribu kufuatilitilia kilimo vizuri wacha kukurupuka
Mkuu vp mbona unashtuka mashetani yako hayapendi kuwa milionea nini? Mi bado nawaza huo mchungwa wenyew uwezo wa kubeba machungwa elfu nne ambayo uzito wake unakaribia tani moja labda huo mchungwa unazaa mara tatu kwa mwaka ukijumlisha uzao wote ndo unatapata hiyo idadi ya machungwa au wenyewe unazaa non stop kila mwezi unavuna hauna msimu mleta mada tafadhali fafanua it's too good to be true
mm nina uhakika na niliyokwambia kua mche mmoja unazaa mpaka 4000 na isipokua wakulima waliowengi hata hao wanaopanda valencia hawafuati masharti ya kilimo cha machungwa michungwa ya aina ninayokwambia ni kwamba inauwezo wa kuzaliasha 4000 ikiwa utafuata masharti niliyokueleza katika gharama hasa katika umwagiliziaji