,ghrama
ekari 1 = michungwa 76
michungwa 1000 = ekari 13.1
mwaka wa kwanza
miche 1000 kila mche tsh 1500 -- 1500*1000 =tsh 1,500,000/=
kutayarisha shamba ekari moja tsh 30000 -- 30000*13 =tsh 390,000/=
kuchimba mashimo kila shimo tsh 300 -- 300*1000 = tsh 300,000/=
kupanda kila kupanda mche mmoja tsh 200 -- 200*1000 = tsh tsh 200,000/=
mbolea samadi kila ekari tsh 20000 -- 20000*13 = tsh 260,000/=
dap(50 kg) kila ekari tsh 40000 -- 40000*13 = tsh 520,000/=
can(50 kg) kila ekari tsh 36000 --36000*13 = tsh 468,000/=
dawa kila ekari tsh 20000 -- 20000*13 = tsh 260,000/=
kupalilia kila ekari tsh 40000 -- 40000*13 = tsh 520,000/=
mwaka wa kwanza =4418,000/=
mwaka wa pili ni kupalilia tu 520000/= 520,000/=
mwaka wa tatu ni kupalilia na kuvuna
kupalilia 520,000
kuvuna 1,400,000
mwaka wa tatu = 1920,000/=
gharazama ya kumwagilizia kwa muda wa miezi 14
kisima kuchimba 3500,000
tank za maji 1200,000
irrigation system pipe 700,000 = 5400,000/=
total 12,258,000/=
kilimo cha umwagiliziaji ni bora kwasababu ukishapanda kila mche kwa kila siku unahitaji kumwagiliziwa lita mbili za maji kwa muda wa miezi 14 na kwa uhakika utavuna kile unachokihitaji