Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna dogo hapa alikuwa na division 4 ya 31...guess wat?????
Ana 3 ya 24.
Chezea tanzania wewe
Full editing ya matokeo.
Nimekutana na wanafunzi form two last week ni kawauliza maswali yafuatayo:
1. State newton's laws of motions
2. State Archimedes principle
3.Draw and label Veneer callipers and Micrometer screw gauge. State their use.
Hao watoto mimacho iliwatoka utadhani wamekabwa na Viazi.
Ndugu nimetanguliza hayo maelezo kidogo hapo juu ili ujue kuwa watoto kwa sasa wanacho jua ni Maria Clara, Mya, Isidingo, Facebook kwa sana, Kugegedana, Kuvaa suruali milegezo kuonyesha michupi yao, vibinti kudandiwa na mibaba (tena wakati mwingine vyenyewe ndiyo vinafuata hiyo mibazazi).
Wizara ya Elimu hebu rudisheni vitabu vilivyo kuwa vinatumika miaka ya 1990's. Kiukweli pale shule ilikuwepo siyo huu upumbavu wa siku hizi.
Nimekutana na wanafunzi form two last week ni kawauliza maswali yafuatayo:
1. State newton's laws of motions
2. State Archimedes principle
3.Draw and label Veneer callipers and Micrometer screw gauge. State their use.
Hao watoto mimacho iliwatoka utadhani wamekabwa na Viazi.
Ndugu nimetanguliza hayo maelezo kidogo hapo juu ili ujue kuwa watoto kwa sasa wanacho jua ni Maria Clara, Mya, Isidingo, Facebook kwa sana, Kugegedana, Kuvaa suruali milegezo kuonyesha michupi yao, vibinti kudandiwa na mibaba (tena wakati mwingine vyenyewe ndiyo vinafuata hiyo mibazazi).
Wizara ya Elimu hebu rudisheni vitabu vilivyo kuwa vinatumika miaka ya 1990's. Kiukweli pale shule ilikuwepo siyo huu upumbavu wa siku hizi.
Nimekutana na wanafunzi form two last week ni kawauliza maswali yafuatayo:
1. State newton's laws of motions
2. State Archimedes principle
3.Draw and label Veneer callipers and Micrometer screw gauge. State their use.
Hao watoto mimacho iliwatoka utadhani wamekabwa na Viazi.
Ndugu nimetanguliza hayo maelezo kidogo hapo juu ili ujue kuwa watoto kwa sasa wanacho jua ni Maria Clara, Mya, Isidingo, Facebook kwa sana, Kugegedana, Kuvaa suruali milegezo kuonyesha michupi yao, vibinti kudandiwa na mibaba (tena wakati mwingine vyenyewe ndiyo vinafuata hiyo mibazazi).
Wizara ya Elimu hebu rudisheni vitabu vilivyo kuwa vinatumika miaka ya 1990's. Kiukweli pale shule ilikuwepo siyo huu upumbavu wa siku hizi.
.,mh! sidhani
.,mh! sidhani
Kiukweli minahisi haya matokeo yalikua yanarudiwa kwa wanafunzi baadhi.