mdeki
JF-Expert Member
- Mar 28, 2011
- 3,299
- 475
Elimu ilikuwa bora imekuja kuharibiwa na sera za kibepari eti haki sawa kwa mtoto?!siasa chafu mbona wanafunzi wa mkoloni walikuwa safi? Wakaona kumbe waafrika wanauwezo ngoja tuwamalize na misaada lakini wakubali viboko kuondolewa shuleni,wfuate mitaala isiyoeleweka,content isiyo na reasoning
Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
