ki ukweli mitandao nayo inachangc kwa kiasi kikubwa ambapo wanafunzi hupoteza mda mwing kwa masuala kama ya kuchat na kadhalika ila jee wale walio vijijini ambao hata ukiwauliza facebook iko vp hawajui hata ilivya mbona wao ndio waliopata zero sana kuliko hao watoto wa mjini
Mimi matokeo ya mwanzo wamenipa iv 29 na ya sasa wamenipa hiyo hiyo iv 29 hawajanibadilishia ki2 zaidi ya kunipa the same thng inauma sana yaani hawa necta mch respect
Kuna dogo hapa alikuwa na division 4 ya 31...guess wat?????
Ana 3 ya 24.
Chezea tanzania wewe
Full editing ya matokeo.
Huyu Kilaza asiturushe roho hapa matokeo ya awali ya hiyo namba ni
[TABLE="class: MsoNormalTable, width: 0"]
[TR]
[TD="width: 6%"][/TD]S0534/0130
[TD="width: 4%"][/TD]M
[TD="width: 6%"][/TD]16
[TD="width: 4%"] I[/TD]
[TD="width: 58%"] CIV-C HIST-C GEO-C KISW-C ENGL-B FREN-B PHY-C CHEM-B BIO-B B/MATH-B
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
na matokeo mapya ni
[TABLE="class: MsoNormalTable, width: 0"]
[TR]
[TD="width: 6%"][/TD]S0534/0130
[TD="width: 4%"][/TD]M
[TD="width: 6%"][/TD]14
[TD="width: 4%"] I[/TD]
[TD="width: 58%"] CIV-B HIST-B GEO-C KISW-B ENGL-B FREN-B PHY-C CHEM-B BIO-B B/MATH-B [/TD]
[/TR]
[/TABLE]
Kwa anachokiandika haya sio matokeo yake.
CC andreakalima MC Tilly Chizenga, biee, Mtoboasiri, hekimatele, Likwanda, Masanilo, bily, BHULULU ITEGAMATWI, THE GREAT CAMP, issawema, mafinyofinyo, Paul Kinala, mdeki, Yaledi julius, SN.BARRY, gasper Lasway, Aine, Mwanadiplomasia, Changassy, @Nyagluu.
Kuna dogo hapa alikuwa na division 4 ya 31...guess wat?????
Ana 3 ya 24.
Chezea tanzania wewe
Full editing ya matokeo.
KAWAMBWA, MULUGO + JK Govt HEBU SOMENI HAYA MAONI YA WATU WA MUNGU:
Mwisho mimi naatoa ushauri huu bure kabisa hata kama nitaonekan Mwendawazimu:TCRA + JK govt Fungeni (BLOCK) mawasiliano/Mtandao wa Facebook kwa Muda wa miaka 3 mtaona mabadiliko. Toto ziko busy na fenyibuku kuliko jambo lingine lolote.
Mwisho mimi naatoa ushauri huu bure kabisa hata kama nitaonekan Mwendawazimu:TCRA + JK govt Fungeni (BLOCK) mawasiliano/Mtandao wa Facebook kwa Muda wa miaka 3 mtaona mabadiliko. Toto ziko busy na fenyibuku kuliko jambo lingine lolote.
Red words above: Facebook ni hatari kwa Wanafunzi fm 1-4 Kuliko hata hizo baa na gesti.Kama wewe upo addicted na FB pole sana but huo ndiyo ukweli.Wewe ni mwendawazimu kabisa. Mbona hujatoa hoja baa na guest zifungwe angalau mwaka mmoja?
Mimi matokeo ya mwanzo wamenipa iv 29 na ya sasa wamenipa hiyo hiyo iv 29 hawajanibadilishia ki2 zaidi ya kunipa the same thng inauma sana yaani hawa necta mch respect
samahani matokeo unayapataje mimi sipati site ya necta?
Mwanangu mmoja alikuwa na d mbili na point 33 Div 4 point 33 sasa amepewa d saba na point 28 Div ile ile 4!!!!!!!
Ajabu ninae mwingine alikuwa na c mbili, d nne alikuwa na point 28 div 4 sasa ana d tano na c mbili Div 4 point 27
Na mwingine alikuwa na d saba point 28 Div 4 sasa amekuwa na d nane point zile zile 28 na Div ile ile 4
Hata sijaelewa utofauti umekujaje kwa mmoja kuongezewa hivi na wengine kubaki vile vile. Bila shaka Necta ndio wana majibu. Na bila shaka walitaka kuongeza tu kiwango cha ufaulu kwa kuwa walibanwa kisiasa lakini ukichunguza utagundua tatizo bado li pale pale.
ukwel matokeo hayajabadilika popote mi cjui kulikuwa na haja gani ya kuganga tena,imeniuma mdogo wang aliresit akapata c moja na d mbili japo alikuwa anatafuta c mbili ajab kimekuja litu kilekile,cjui ni kwa nin serikal inatupotezea muda bure...
Ukiona hivyo kuna ambao walikuwa kwenye alama za juu mfano kama ni D basi ni ile D inayokaribia C kwa matokeo ya zamani hivyo waki-standardize kwa grade za zamani inakuwa C kama mtu alikuwa na D lakini ni ile ya kuanzia kwa hizi grade zilizotumika kabla ya kufuta wakiweka kwa zile grade za zamani anabaki na D yake mfano kama maksi ni 41 kwa grade za nyuma ni D maana yake wakitumia grade za zamani inakuwa C lakini kuna mwingine let say ana D ya 30 kwa grade za zamani waki-standadize anabaki na D yake ile ile
Red words above: Facebook ni hatari kwa Wanafunzi fm 1-4 Kuliko hata hizo baa na gesti.Kama wewe upo addicted na FB pole sana but huo ndiyo ukweli.
Mtieni moyo sana dogo vinginevyo anaumia sana. Arudie tena shule Mungu atamfanikisha huko mbele.Mkuu bado sielwi,mbona dogo alikuwa na 4 ya 28,sshv ana zero?