- Thread starter
- #41
ki ukweli mitandao nayo inachangc kwa kiasi kikubwa ambapo wanafunzi hupoteza mda mwing kwa masuala kama ya kuchat na kadhalika ila jee wale walio vijijini ambao hata ukiwauliza facebook iko vp hawajui hata ilivya mbona wao ndio waliopata zero sana kuliko hao watoto wa mjini