Nyani Mzee Snr
JF-Expert Member
- Feb 4, 2021
- 12,122
- 42,743
kaa mbali na uchawi wa mzungu.. hiyo gari mwamba hajakaa nayo hata zaidi miezi mitatu.. tayari yupo chepe chepe ππMkabidhi Nissan vuta Chuma hicho ule maisha.
DYC aiseee gari inaonekana bado mbichi, huenda gari imepata shida na marekebisho yake ameona ni gharama sana. Au zimeshamtoka heka maana kurekebisha kitu fulani.
Wala litakuwa siyo jini. Kwa Tech za Bimmer Cc2000 kwa hiyo gari ina consumption nzuri tu.
kakata tamaa vibaya hapoo.. unakuta anafunga na kuomba ammbariki mtu tatizo πππ...amenitisha hapo aliposema... exchange kwa gari yoyote...[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji85][emoji85][emoji85]
kaa mbali na uchawi wa mzungu.. hiyo gari mwamba hajakaa nayo hata zaidi miezi mitatu.. tayari yupo chepe chepe ππ
jamaa yupo hoi, kuna uwezekano kainunua kwa mdadali... ila gari mpya kabisa.. itakuwa shida ndogo tu labda pump na thermostat.. kaona jau kuwa anapunga upepo mala kwa mala na fundi aliekutana nae hajui huenda kamtisha kwamba itamfilisi πππMambo mengine mnayakuza Bure jamani.
kaa mbali na uchawi wa mzungu.. hiyo gari mwamba hajakaa nayo hata zaidi miezi mitatu.. tayari yupo chepe chepe ππ
Possiblejamaa yupo hoi, kuna uwezekano kainunua kwa mdadali... ila gari mpya kabisa.. itakuwa shida ndogo tu labda pump na thermostat.. kaona jau kuwa anapunga upepo mala kwa mala na fundi aliekutana nae hajui huenda kamtisha kwamba itamfilisi πππ
πππ lazima ashangazwe na unakuta fundi kaisha mtishia.. ile gari hadi nauza.. ilikuwa inasumbua sensor kuulizia jamaa akaleta habari za 1.2million, ilipofunguliwa na kurudishwa haikuleta shida tenaa.. nahisi hizi gari inategemea na mafundi sensor zingine ukizitoa na kurudisha zinakaa fresh.. ukikutana na fundi michael anakutisha unaweza kuuza gari bei sawa na bureatakuwa aliulizia Sensor moja akaaimbiwa milioni 2π€£π€£π€£π€£....
au imeenda kwa fundi ambae ni mjapan kaisha mtisha.. jamaa kaona kuondokana na tatizo kubwa zaidi bora auze.. maana unakuta fundi anamuambia hilo tatizo litazalisha mengine.. mwamba akiona kaambiwa atoe 2million anaona chanzo cha kufiriska niniPossible
Alisema 1.5m π€£π€£π€£π€£πππ lazima ashangazwe na unakuta fundi kaisha mtishia.. ile gari hadi nauza.. ilikuwa inasumbua sensor kuulizia jamaa akaleta habari za 1.2million, ilipofunguliwa na kurudishwa haikuleta shida tenaa.. nahisi hizi gari inategemea na mafundi sensor zingine ukizitoa na kurudisha zinakaa fresh.. ukikutana na fundi michael anakutisha unaweza kuuza gari bei sawa na bure
HahahahahahaWe unataka uopoe demu Masaki halafu uhonge kama unahonga demu wa Bunju.
Wa masaki atakaka macho matatu, gari kuzugia mjini, Kodi ya nyumba, Shipping kila week na pocket money ya kutosha.....
πππ sasa unatoa 1.5m unakutana na fundi anakutisha tisha ukitazama huenda ukatoa milion ingine, na huku ulikuwa unajaribu, kwanini usijitue mzigoo πππ.. toka ile sensor tumeirudisha haikuwa sumbua hadi naiuza ile gari.. mafundi pia wanachangia sana kukatisha tamaa hasa wasio ielewa hizo kazi vizuriAlisema 1.5m π€£π€£π€£π€£
eeh! demu wa masaki lazima apate huduma ya kimasaki tuu.. lasivyo utakimbia..Hahahahahaha
Gari za hivyo DYC haitakuwa na matatizo yoyote huenda anauza tu abadilishe chomboMkabidhi Nissan vuta Chuma hicho ule maisha.
DYC aiseee gari inaonekana bado mbichi, huenda gari imepata shida na marekebisho yake ameona ni gharama sana. Au zimeshamtoka heka maana kurekebisha kitu fulani.
Wala litakuwa siyo jini. Kwa Tech za Bimmer Cc2000 kwa hiyo gari ina consumption nzuri tu.
Hahahaha yale maswala ya demu anakula million kila siku hapanaπ hayo mambo tutawaachia mainjiniaeeh! demu wa masaki lazima apate huduma ya kimasaki tuu.. lasivyo utakimbia..
Chukua chombo ya mjerumani hiyo bado mbichi sana! Isije ikawa ina vipengele vya scirroco tuπjamaa yupo hoi, kuna uwezekano kainunua kwa mdadali... ila gari mpya kabisa.. itakuwa shida ndogo tu labda pump na thermostat.. kaona jau kuwa anapunga upepo mala kwa mala na fundi aliekutana nae hajui huenda kamtisha kwamba itamfilisi πππ
hayo ni mambo ya wa kupuliza anakabizi card ya bank mtoto ajipimie hadi achoke ππππ.. wengine ukipigwa hata 1 million kilio chake hadi mkoani wanakisilizaHahahaha yale maswala ya demu anakula million kila siku hapanaπ hayo mambo tutawaachia mainjinia
Changamkia mzigo huo.Gari za hivyo DYC haitakuwa na matatizo yoyote huenda anauza tu abadilishe chombo
Jamaa kaagiza engine mpya πππ. nimemuambia ajiandae kuagiza gear box πππChukua chombo ya mjerumani hiyo bado mbichi sana! Isije ikawa ina vipengele vya scirroco tuπ
Hahahahaha unaweza usitoke ndani siku 3 unatubu kwa nini kilichokupatahayo ni mambo ya wa kupuliza anakabizi card ya bank mtoto ajipimie hadi achoke ππππ.. wengine ukipigwa hata 1 million kilio chake hadi mkoani wanakisiliza
Hahahahahah ameamua afe nayo kijerumani kama adolf hitlerπJamaa kaagiza engine mpya πππ. nimemuambia ajiandae kuagiza gear box πππ