Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe kila saa uko online. ...ni kazi ndio hunaga amaHaka ka week network kwa baadhi ya watu zimekuwa down kimtindo.
Me naflow na voda 4G. Na hapa hapa nilipo kuna mtu anateseka network ya voda haikamati vizuri
😂😂 nafanya kazi mtandao. So usishtuke kuniona kila dk onlineWw kila saa uko online. ...ni kazi ndo hunaga ama
Tumia ussdHabari wakuu!
Kwa wale wanaotumia Airtel, hili tatizo la Airtel Money na kwenu lipo???
Sio kwenye app tu...hata kwa menu ya kawaida kuna error 😬😬
View attachment 2594171
😃😃 poleni, muwavumilieKwangu mie mtandao huwa uko poa.
Labda washerehekeaji wa Eid wamewazidia nguvu kwa miamala 🥴
Hivi huon kama kuna jinsi tunaendana [emoji23][emoji23][emoji23]ufanye kunipa namba zako sasa mazungumzo zaidi yaendelee[emoji23][emoji23] nafanya kazi mtandao. So usishtuke kuniona kila dk online