Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio ni uchovu ukichoka si pumzika lala kabisa shida nini...wao wanataka sehemu ya kulala ni kwenye makoloni yao mpaka afike sio leo..Uchovu mkuu
Ndio hayo sasa na imekuwa kawaida yao utafikiri walifundishwa wawe wanatusalimia na kuacha tukafe mbeleNdo ile askari anaingia kuwasalimia halafu anashuka
Hilo nalo nenoMadereva wazuiwe kuchat na kulewa wakiwa wanaendesha
🤣🤣🤣Umenifanya nicheke msibani 🤭Hilo nalo neno
Madereva wananuka pombe asubuhi
Saa hiyo serikali ya kuwa strictly dhid ya utovu wa nidham barabaran ipo!???...yaan iktokea kuna abiria akmsema mtukufu kwenye gar anaonekan chap lkn madereva wanao endesha magar ya umma na serikali kama vichaa huwa wanaonekana wakisha mwaga damu za watu ambao hata kununua paracetamol ni mbinde.Madereva wazuiwe kuchat na kulewa wakiwa wanaendesha
Sema Kuna abiria hawabendi mwendo wa wastani...wanapenda kupelekewa moto balaa 🙌Yaan hili suala
Saa hiyo serikali ya kuwa strictly dhid ya utovu wa nidham barabaran ipo!???...yaan iktokea kuna abiria akmsema mtukufu kwenye gar anaonekan chap lkn madereva wanao endesha magar ya umma na serikali kama vichaa huwa wanaonekana wakisha mwaga damu za watu ambao hata kununua paracetamol ni mbinde.
Sas tu-asume hao abiria ni raia wanapenda kuchagua viongoz ambao serkali haipend.Swali ni kwanin mkazo wa mtazamo wa kimawazo kisiasa unadhibitika!? Je huo mkazo ukiwekwa barabaran hao abiria na madereva wanaojisahau hawawez kudhibitka!?...ili kunusuru kumwagika dama za raia na ulemavu wa kudumu usio na sababu!?Sema Kuna abiria hawabendi mwendo wa wastani...wanapenda kupelekewa moto balaa 🙌
Uwekezaji kwa makoloni ya bara barani ni mkubwa kuliko home hiyo bara bara ya Mbeya/ Tunduma ni mtaji mkubwa..Makoloni 😃
Wanatumia ila mpaka wakubwa wasimameKwani Traffic siku hizi hawatumii tena Digital Alcohol Tester!??
Hiyo Salaam kuna kituLabda pia na rushwa inahusika maana haiwezekani kila askari yeye anajua kusalimia tu
Barabarani vichaaa wengi kila mtu anajiendeshea tuWanatumia ila mpaka wakubwa wasimame
Ila kwa hawa wenzangu anashuka konda tu