Tatizo la Ajali za Barabarani Litatumaliza Watanzania. Je, Kweli Serikali Haiwezi Kufanya Kitu?

Tatizo la Ajali za Barabarani Litatumaliza Watanzania. Je, Kweli Serikali Haiwezi Kufanya Kitu?

Yaani nyie wabongo mbona mmelala fofofo?
We unaona mwisho wa mwaka huu! Huoni wengine hadi wanasema wazi2 kuwa ukitaka Biashara yako iendelee/upate hela lazima ufanye hivo ebo! Endelea kulala!
 
Yaani nyie wabongo mbona mmelala fofofo?
We unaona mwisho wa mwaka huu! Huoni wengine hadi wanasema wazi2 kuwa ukitaka Biashara yako iendelee/upate hela lazima ufanye hivo ebo! Endelea kulala!
Sio wabongo ni waafrika 😔
 
Back
Top Bottom