mzurimie
JF-Expert Member
- Oct 16, 2011
- 6,143
- 3,625
Nimesoma pahala
"Eti anasema wengi wanamsumbua na simu na hata hawajui kuhusu kumpigia kura nyingi na hashindi wakati hakutaja namba zaidi ya mmoja na wengine...
Anarogwa kamuachia Mungu
Watu wanatumia pesa zao kumpigia kura kwa simu na wanalalamika hashindi, watu wanahonga asishinde hawezi kumtaja mtu huyo jina.
Anapendwa na kujulikana karudi Afrika nzima
Davido anajipanga kupiga nae mziki mzurinwatakaoutaariaha sababu Number One na Diamond walipigia kideo studio nyuma ya steji.
Yeye hawasiliani na Davido na sio marafaiki, bali mgmt yake ndio wanawasiliana
Kuhusu ujumbe alioandika kuwa wamemwibia ni yeye angeshinda tuzo za Nigeria bali akashinda Diamond anaamini alipata kura nyingi zaidi na aliandika watu wasimfikirie vibaya kwa maneno take, Ayo akamuuliza sasa mbona uliitoa hana jibu la kujitetea..."
"Eti anasema wengi wanamsumbua na simu na hata hawajui kuhusu kumpigia kura nyingi na hashindi wakati hakutaja namba zaidi ya mmoja na wengine...
Anarogwa kamuachia Mungu
Watu wanatumia pesa zao kumpigia kura kwa simu na wanalalamika hashindi, watu wanahonga asishinde hawezi kumtaja mtu huyo jina.
Anapendwa na kujulikana karudi Afrika nzima
Davido anajipanga kupiga nae mziki mzurinwatakaoutaariaha sababu Number One na Diamond walipigia kideo studio nyuma ya steji.
Yeye hawasiliani na Davido na sio marafaiki, bali mgmt yake ndio wanawasiliana
Kuhusu ujumbe alioandika kuwa wamemwibia ni yeye angeshinda tuzo za Nigeria bali akashinda Diamond anaamini alipata kura nyingi zaidi na aliandika watu wasimfikirie vibaya kwa maneno take, Ayo akamuuliza sasa mbona uliitoa hana jibu la kujitetea..."