Mzee Wa Kale Kabisa
JF-Expert Member
- Mar 25, 2018
- 2,621
- 4,322
Wapwa wametu cost sana! Huyu jamaa hatufaiKama siyo wewe basi anakuwa mtu fulani, au ndugu au kikundi fulani cha watu au mamlaka fulani. Jambo halitokei hivi hivi, lazima kuna mtu anahusika na kutuletea janga hili la chattle
Msukule wa DJWewe zombie tu hata hujitambui
Hivi unajua kwanini kuna Serikali? Sio kwamba inatakiwa ifanye kila kitu lakini unaelewa wajibu wake hasa katika masuala kama hayaBadala ya sisi wananchi kuona ni namna gani tuweze kujikinga mmoja mmoja na kuzingatia maelekezo ya wataalamu, ndo kwanza tunaanza kulaumu serkali kanakwamba serikali ndo walio uleta ugonjwa ,na pia hata hiyo lockdown unayoitaka wewe au unayotaka kuiga kutoka kwa wenzetu jarbu kuangalia na mazingira yao na yetu ulinganishe sio kila kitu successful kwao na uku kitakuwa successful hali ya uchumi mbaya wananchi maskini asilimia kubwa ya watu wanategemea kipato cha kila siku kuilisha familiya na serikali haina pesa yakusema kuwalisha watu kama ikiamua lockdown afu na lockdown yenyewe ni hadi lini ?? Na huku hata dawa haijulikani itapakina lini ??
Watu watakaa lockdown hadi lini ?? Marekani walipitisha bajeti ya dollar tirrioni we una hiyo pesa ?? Mi nadhani watu wangezingatia haya
Kwanza ,kuvaa mask kwa kila MTU kila wakati pamoja na gloves.
Pili,Kuwa na sanitizers ya kujisafisha kila Mara.
Tatu,Kuepuka misongamano isiyo na lazima mfano huna haja ya kuenda k.koo kama bidhaa huska unaweza ipata mtaani kwako.
Nne,Kuripoti mapema kituo cha afya pale unapohisi joto kupanda na dalili kama mafua.
Tano,Kuepuka kuzurura mitaani bila sababu ya msingi.
Sita,Kujiziba pale tunapo piga chafya.
Saba,Kujitahidi kukaaa mbali na watu wengine kwa mita kadhaa.
Nane,Kuzingatia na Kuepuka kujishika maeneo ya mdomoni,puani na machoni kabla ya kunawa
Mwisho ,Watu mnalaumu serikali na huku hata kujikinga wenyewe mnapuuzia,afu asilimia kubwa ya wanaotaka lockdown ni watumishi wa serikali maana mnajua mshahara wenu upo pale pale ,vipi kama mkiambiwa mkatwe nusu ya mishahara kwaajili ya lockdown mtakubali ili hiyo pesa isaidie wale wasiojiweza ?
Nobody.
Ahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa.......unajua watu wanasikilizia siku moja wasikie imemfikia. Nakwambia mtaani itakuwa sherehe. Hili jambo la chuki kwa huyu ndugu limefikia kiwango kikubwa sana hadi binafsi naogopa kwa sababu Mungu anatuhimiza kupendana na kutakiana mema. tatizo ni pale anayetakiwa kupendwa na kuungwa mkono anapokuwa wa kwanza kuumiza wenzake. Ni shida kweli kweli, ikizingatiwa kuwa hakuna kukimbizwa India wala wapi, ni humuhumu tunabanana kwenye vitanda vyetu vya Kibasila wingahahahhaa nasikia covid-19 ikonjiani inaitafuta CHATO
Msukule wa DJ makengeza[emoji23][emoji1787][emoji2960]Kimada wa Chakubanga
Wewe ndio watoa taarifa ya uzushi. Hospitali zilizoteuliwa mkoani Dsm ni kwa ajili ya vipimo vya awali vya COVID-19 ili kuongeza uwezo wa upimaji. Mgonjwa akithibitishwa anapelekwa Mloganzira kwa matibabu.
Kumbuka tu kwamba uhai wako uko mikononi mwako unapofanya maamuzi na kuyatekeleza. Uliingia duniani peke yako na utataitoka mwenyewe tu.
Kwa hoja yako hiyo pasingekuwepo Bunge na Mahakama katika nchi. Naamini hujanielewa na kamwe hutaniekewa kwa kuwa ni mmoja wa watu ambao huitegemea Serikali kwa kila kitu.Hujui ni kwa nini kuna "Serikali" kila nchi duniani!!! Binadamu angekuwa na uwezo wa kufanya maamuzi mwenyewe, kwa namna unayodhani wewe, nini sasa sababu ya kuweka Serikali itunge sheria na kuweka utaratibu. Kuna kitu wanaita "market failure", huu ndiyo msingi wa uwepo wa "Serikali"! Mashuleni huwa mnaenda kufanya nini!????
Kwa hoja yako hiyo pasingekuwepo Bunge na Mahakama katika nchi. Naamini hujanielewa na kamwe hutaniekewa kwa kuwa ni mmoja wa watu ambao huitegemea Serikali kwa kila kitu.
Ebu jiulilize kwa mifano michache ifuatayo: Mbona unaishi kwenye nyumba yenye milango na madirisha? Kwa nini unavaa nguo? Nani anakupangia aina ya chakula na wakati wa kula?
JPM - Hatuombei ila watanzania wakianza kufa kwa mafungu wanaweza kukugeukia usiamini...
Ushauri: Funga mikoa yote fasta...ruhusu vyakula tu ku move.
Tupo vitani....
Well According to My very credible source !!!! Raisi Magufuli akizungumza kwa Video conference kutoka Chato !!! Amepewa Ushauri na Kamati kuu Ya Covid19 Nchini Tanzania , inayoongozwa na Waziri mkuu Majaliwa kuwa the only Thing can save Tanzania Right now ni Herd immunity !!!! sorry kwa typo kwenye picture it’s Herd immunity “
.
.
Kwa Mapendekezo yao !!! Wanatumia Trick walioifanya Wingereza ikafail , ila wao wakkiamini Tanzania haita fail sababu wako na Jua la kutosha na Alternative medicine!!! .
.
.
Walichopendekeza Wataalamu wao since Hospital ziko out of Control , Wagonjwa wamejaa , Mochwari ndo usiseme !!!! basi Mgonjwa asiyeonesha Symptoms asiwekwe hospital !!! Warudishwe nyumbani miili yao ijitibishe yenyewe uku wakifata Ushauri wa kukaa juani na kujitibisha kwa Mitishamba !!!! .
.
.
Pia kuhusu risk ya wagonjwa hao kusambaza , Wamesema ni vizuri wagonjwa hao wasambaze huu Ugonjwa ili watu waupate , wapone na ugonjwa ukijirudia basi hauta kuwa na madhara , Antibodies zitakuwa strong !!! .
.
.
Kwa makadilio yao , Atleast watu 500,000 wanaweza fariki sababu ya Underlying medical Conditions !!! Na Taifa litabaki na watu Milion 50 strong !!! .
.
.
According to them in 3 months Tanzania Itakuwa na wagonjwa zaidi ya Milion 20 !!! But watakao kufa ni kama laki 5 tu !!! Hivyo kuachia Taifa la watu wenye Afya [emoji27][emoji27][emoji27][emoji27]
.
.
Targeted Group la watu wanaoweza Kufariki ni HIV+ , Asthma , Diabetic, Cancer , Hight Blood Pressure , Wenye Magonjwa ya Moyo , Sikocell etc !!!!!!! .
.
.
So Hakuna Plan ya Kulock down !!! Plan ni Kuambukizana, ili wenye strong Immune system wasurvive !!!!! .
.
.
I rest my case !!!! Who are we decide wakukufa na Kupona ili kusave Economy [emoji2376][emoji2376][emoji2376] Kwanini tusitumie Nguvu kubwa kusave watu wote ??? Kwanini tusitengeneze Ventilator zetu ??? Kwanini tusishone PPE za kutosha??? Kwanini tusiwatoe hofu na kuwapa training ya kutosha wahudumu wa Afya [emoji2302][emoji2302][emoji2302][emoji2302]
.
.
Anyway with that said Hao watu Mnaozika Moshi kila siku , Dar , Tanga , Zanzibar , Mara , TABORA , Mwanza etc !!!! Ndo kwanza Safari Imeanza !!!!! Am so down right now [emoji27][emoji27][emoji27] Na hao 500,000 watakao fariki , mtatangaziwa ni watu 50 wamefariki !!!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama ni kweli, NI HATARI KUBWA SANA 😰😰😰Well According to My very credible source !!!! Raisi Magufuli akizungumza kwa Video conference kutoka Chato !!! Amepewa Ushauri na Kamati kuu Ya Covid19 Nchini Tanzania , inayoongozwa na Waziri mkuu Majaliwa kuwa the only Thing can save Tanzania Right now ni Herd immunity !!!! sorry kwa typo kwenye picture it’s Herd immunity “
.
.
Kwa Mapendekezo yao !!! Wanatumia Trick walioifanya Wingereza ikafail , ila wao wakkiamini Tanzania haita fail sababu wako na Jua la kutosha na Alternative medicine!!! .
.
.
Walichopendekeza Wataalamu wao since Hospital ziko out of Control , Wagonjwa wamejaa , Mochwari ndo usiseme !!!! basi Mgonjwa asiyeonesha Symptoms asiwekwe hospital !!! Warudishwe nyumbani miili yao ijitibishe yenyewe uku wakifata Ushauri wa kukaa juani na kujitibisha kwa Mitishamba !!!! .
.
.
Pia kuhusu risk ya wagonjwa hao kusambaza , Wamesema ni vizuri wagonjwa hao wasambaze huu Ugonjwa ili watu waupate , wapone na ugonjwa ukijirudia basi hauta kuwa na madhara , Antibodies zitakuwa strong !!! .
.
.
Kwa makadilio yao , Atleast watu 500,000 wanaweza fariki sababu ya Underlying medical Conditions !!! Na Taifa litabaki na watu Milion 50 strong !!! .
.
.
According to them in 3 months Tanzania Itakuwa na wagonjwa zaidi ya Milion 20 !!! But watakao kufa ni kama laki 5 tu !!! Hivyo kuachia Taifa la watu wenye Afya [emoji27][emoji27][emoji27][emoji27]
.
.
Targeted Group la watu wanaoweza Kufariki ni HIV+ , Asthma , Diabetic, Cancer , Hight Blood Pressure , Wenye Magonjwa ya Moyo , Sikocell etc !!!!!!! .
.
.
So Hakuna Plan ya Kulock down !!! Plan ni Kuambukizana, ili wenye strong Immune system wasurvive !!!!! .
.
.
I rest my case !!!! Who are we decide wakukufa na Kupona ili kusave Economy [emoji2376][emoji2376][emoji2376] Kwanini tusitumie Nguvu kubwa kusave watu wote ??? Kwanini tusitengeneze Ventilator zetu ??? Kwanini tusishone PPE za kutosha??? Kwanini tusiwatoe hofu na kuwapa training ya kutosha wahudumu wa Afya [emoji2302][emoji2302][emoji2302][emoji2302]
.
.
Anyway with that said Hao watu Mnaozika Moshi kila siku , Dar , Tanga , Zanzibar , Mara , TABORA , Mwanza etc !!!! Ndo kwanza Safari Imeanza !!!!! Am so down right now [emoji27][emoji27][emoji27] Na hao 500,000 watakao fariki , mtatangaziwa ni watu 50 wamefariki !!!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
I hope Mzee magu pamoja na kamati yake watakua kwenye hiyo list ya wahanga laki 5.Well According to My very credible source !!!! Raisi Magufuli akizungumza kwa Video conference kutoka Chato !!! Amepewa Ushauri na Kamati kuu Ya Covid19 Nchini Tanzania , inayoongozwa na Waziri mkuu Majaliwa kuwa the only Thing can save Tanzania Right now ni Herd immunity !!!! sorry kwa typo kwenye picture it’s Herd immunity “
.
.
Kwa Mapendekezo yao !!! Wanatumia Trick walioifanya Wingereza ikafail , ila wao wakkiamini Tanzania haita fail sababu wako na Jua la kutosha na Alternative medicine!!! .
.
.
Walichopendekeza Wataalamu wao since Hospital ziko out of Control , Wagonjwa wamejaa , Mochwari ndo usiseme !!!! basi Mgonjwa asiyeonesha Symptoms asiwekwe hospital !!! Warudishwe nyumbani miili yao ijitibishe yenyewe uku wakifata Ushauri wa kukaa juani na kujitibisha kwa Mitishamba !!!! .
.
.
Pia kuhusu risk ya wagonjwa hao kusambaza , Wamesema ni vizuri wagonjwa hao wasambaze huu Ugonjwa ili watu waupate , wapone na ugonjwa ukijirudia basi hauta kuwa na madhara , Antibodies zitakuwa strong !!! .
.
.
Kwa makadilio yao , Atleast watu 500,000 wanaweza fariki sababu ya Underlying medical Conditions !!! Na Taifa litabaki na watu Milion 50 strong !!! .
.
.
According to them in 3 months Tanzania Itakuwa na wagonjwa zaidi ya Milion 20 !!! But watakao kufa ni kama laki 5 tu !!! Hivyo kuachia Taifa la watu wenye Afya [emoji27][emoji27][emoji27][emoji27]
.
.
Targeted Group la watu wanaoweza Kufariki ni HIV+ , Asthma , Diabetic, Cancer , Hight Blood Pressure , Wenye Magonjwa ya Moyo , Sikocell etc !!!!!!! .
.
.
So Hakuna Plan ya Kulock down !!! Plan ni Kuambukizana, ili wenye strong Immune system wasurvive !!!!! .
.
.
I rest my case !!!! Who are we decide wakukufa na Kupona ili kusave Economy [emoji2376][emoji2376][emoji2376] Kwanini tusitumie Nguvu kubwa kusave watu wote ??? Kwanini tusitengeneze Ventilator zetu ??? Kwanini tusishone PPE za kutosha??? Kwanini tusiwatoe hofu na kuwapa training ya kutosha wahudumu wa Afya [emoji2302][emoji2302][emoji2302][emoji2302]
.
.
Anyway with that said Hao watu Mnaozika Moshi kila siku , Dar , Tanga , Zanzibar , Mara , TABORA , Mwanza etc !!!! Ndo kwanza Safari Imeanza !!!!! Am so down right now [emoji27][emoji27][emoji27] Na hao 500,000 watakao fariki , mtatangaziwa ni watu 50 wamefariki !!!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Huu ugonjwa, polisi watakuja kuwa miongoni mwa waathirika wakubwa. Kwanza wanaishi kwenye kota, achilia mbali tabia yao ya rushwa.Kwasasa Wananchi waliowengi wamemchukia kiasi cha kutisha kwa kweli waliobaki wanampenda ni Mapolisi tu kwa sababu amekuwa akiwaongezea mishahara kila wanapowapiga na kuwadhalilisha Chadema ila Zitto hawamgusi
Wanainchi wanaomchukia ni kikundi Cha wahuni wa ufipa ila mamilioni ya watanzania watakupa jibu kwenye sanduku la kura uchaguzi ujao