Tatizo la courses katika mfumo wa ajira za TAMISEMI

Tatizo la courses katika mfumo wa ajira za TAMISEMI

Ahmed Saidi

JF-Expert Member
Joined
Oct 15, 2019
Posts
1,588
Reaction score
3,487
Katika kufanya maomba ya kazi zilizotangazwa na TAMISEMI, waombaji wengi tumekutana na changamoto hii kubwa. (Hasa upande wa elimu, sijui upande wa afya kukoje)

Katika kipengele cha kujaza taarifa za chuo, Baada ya ku-search chuo then unatakiwa kuselect course uliyosoma, lakini kwa bahati mbaya, courses nyingi hazidisplay (hazionekani) katika mfumo.

Shida ni kuwa huwezi kuandika jina la course mwenyewe bali unaselect kama nilivyosema hapo awali. Hili tatizo liko kwa waombaji wengi. Lakini vilevile hili tatizo lipo tangu mwaka Jana na naona bado halijafanyiwa utatuzi.

Tunawaomba TAMISEMI wa-add courses zifuatazo ili kila mwalimu afanye application bila tatizo lolote.
  • Bachelor of Arts with Education (BAEd)
  • Bachelor of science with education (BSc Ed)
  • Bachelor of Education in arts (BEDA)
  • Bachelor of Education in Science (BEd Sc)
  • Bachelor of Education in psychology (B.Ed PSY)
  • Bachelor of Education in policy planning and management (B.Ed PPM),
  • Bachelor of Education in guidance and counselling (B.Ed GUCO)
  • Bachelor of Education in science (B.Ed Sc),
  • Bachelor of Education in special education (B.Ed SPED)
  • Bachelor of Education in adult education and community development (B.Ed AECD)
  • Bachelor of Education in science with ICT (B.Ed Sc ICT)
  • Bachelor of Education in early childhood education (B.Ed ECE)
  • Bachelor of Education in physical education and sport science (B.Ed PESS)
  • Bachelor of Education in primary education
  • Bachelor of Education in commerce (B.Ed COM)
  • N.k.
Natumai ma IT na wafanyakazi wa TAMISEMI wataliona hili na kulifanyia utatuzi kwani ni tatizo kwa waombaji wengi.

Kama nawewe unapitia changamoto hii karibu tudiscuss kivipi tunaweza kuitatua.
 
Wanataka watu mpunguze wenge na presha, laleni acheni kutoboa. Siku bado zipo[emoji16][emoji16][emoji16]
 
Katika kufanya maomba ya kazi zilizotangazwa na TAMISEMI, waombaji wengi tumekutana na changamoto hii kubwa. (Hasa upande wa elimu, sijui upande wa afya kukoje)

Katika kipengele cha kujaza taarifa za chuo, Baada ya ku-search chuo then unatakiwa kuselect course uliyosoma, lakini kwa bahati mbaya, courses nyingi hazidisplay (hazionekani) katika mfumo.

Shida ni kuwa huwezi kuandika jina la course mwenyewe bali unaselect kama nilivyosema hapo awali. Hili tatizo liko kwa waombaji wengi. Lakini vilevile hili tatizo lipo tangu mwaka Jana na naona bado halijafanyiwa utatuzi.

Tunawaomba TAMISEMI wa-add courses zifuatazo ili kila mwalimu afanye application bila tatizo lolote.
  • Bachelor of Arts with Education (BAEd)
  • Bachelor of science with education (BSc Ed)
  • Bachelor of Education in arts (BEDA)
  • Bachelor of Education in Science (BEd Sc)
  • Bachelor of Education in psychology (B.Ed PSY)
  • Bachelor of Education in policy planning and management (B.Ed PPM),
  • Bachelor of Education in guidance and counselling (B.Ed GUCO)
  • Bachelor of Education in science (B.Ed Sc),
  • Bachelor of Education in special education (B.Ed SPED)
  • Bachelor of Education in adult education and community development (B.Ed AECD)
  • Bachelor of Education in science with ICT (B.Ed Sc ICT)
  • Bachelor of Education in early childhood education (B.Ed ECE)
  • Bachelor of Education in physical education and sport science (B.Ed PESS)
  • Bachelor of Education in primary education
  • Bachelor of Education in commerce (B.Ed COM)
  • N.k.
Natumai ma IT na wafanyakazi wa TAMISEMI wataliona hili na kulifanyia utatuzi kwani ni tatizo kwa waombaji wengi.

Kama nawewe unapitia changamoto hii karibu tudiscuss kivipi tunaweza kuitatua.
mimi ninataka kuingiza CERTIFICATE in Early child Education na haijatokea ndo kilichonileta jf vp ww umefanya nini maana hapo ndo nimekwamia. msaada Please
 
Wapendwa habari.
Binafsi nimejaza mpaka hatua ya kuchangua masomo, hapa nikibonyeza naambiwa nosubj3ct found naombeni msaada tafadhali
IMG-20220422-WA0010.jpg
 
Katika kufanya maomba ya kazi zilizotangazwa na TAMISEMI, waombaji wengi tumekutana na changamoto hii kubwa. (Hasa upande wa elimu, sijui upande wa afya kukoje)

Katika kipengele cha kujaza taarifa za chuo, Baada ya ku-search chuo then unatakiwa kuselect course uliyosoma, lakini kwa bahati mbaya, courses nyingi hazidisplay (hazionekani) katika mfumo.

Shida ni kuwa huwezi kuandika jina la course mwenyewe bali unaselect kama nilivyosema hapo awali. Hili tatizo liko kwa waombaji wengi. Lakini vilevile hili tatizo lipo tangu mwaka Jana na naona bado halijafanyiwa utatuzi.

Tunawaomba TAMISEMI wa-add courses zifuatazo ili kila mwalimu afanye application bila tatizo lolote.
  • Bachelor of Arts with Education (BAEd)
  • Bachelor of science with education (BSc Ed)
  • Bachelor of Education in arts (BEDA)
  • Bachelor of Education in Science (BEd Sc)
  • Bachelor of Education in psychology (B.Ed PSY)
  • Bachelor of Education in policy planning and management (B.Ed PPM),
  • Bachelor of Education in guidance and counselling (B.Ed GUCO)
  • Bachelor of Education in science (B.Ed Sc),
  • Bachelor of Education in special education (B.Ed SPED)
  • Bachelor of Education in adult education and community development (B.Ed AECD)
  • Bachelor of Education in science with ICT (B.Ed Sc ICT)
  • Bachelor of Education in early childhood education (B.Ed ECE)
  • Bachelor of Education in physical education and sport science (B.Ed PESS)
  • Bachelor of Education in primary education
  • Bachelor of Education in commerce (B.Ed COM)
  • N.k.
Natumai ma IT na wafanyakazi wa TAMISEMI wataliona hili na kulifanyia utatuzi kwani ni tatizo kwa waombaji wengi.

Kama nawewe unapitia changamoto hii karibu tudiscuss kivipi tunaweza kuitatua.
Hili tatizo lipo pia kwenye upande wa afya na imekua kikwazo kikubwa kwa watu wengi kushindwa kuendelea na maombi.
 
Nimewapigia wamesema wataweka course yangu
Vipi umefanikiwa?na mimi ninatatizo linalofanana na lako, japokuwa mimi ni wa Bachelor of Education in arts (BADE) sijui kama nayo itawekwa baadae.
 
Back
Top Bottom