Mpwayungu Village
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 14,540
- 30,875
Oya wadau mbona nikitaka kupreview vyeti vyangu nilivyo attach inakataa???
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah kwahiyo inabidi tuwapigie ndo wajaze courses zetuWamenijib hivi
Sasa hao jamaa wakiweka zote inawaathiri nini? Lakini mkuu pia si vyema kurekodi watu wakiwa kazini, unless wamekufanyia ubaya. Ungetoa feedback tu ya walichokwambia, na si kurekodi calls kama mnaviziana.Wamenijib hivi
Ni changamoto kwa wengiDiploma in Secondary Education kwenye course hamna bro bashungwa unakwama wap na team yako ya IT
Sasa hao jamaa wakiweka zote inawaathiri nini? Lakini mkuu pia si vyema kurekodi watu wakiwa kazini, unless wamekufanyia ubaya. Ungetoa feedback tu ya walichokwambia, na si kurekodi calls kama mnaviziana.
Kama unatumia simu huwezi kupreview file, jaribu kwa pcOya wadau mbona nikitaka kupreview vyeti vyangu nilivyo attach inakataa??? View attachment 2197621
Hawa ma-IT wa kibongo mafala sana, sijui huwa wanasomea wapi hawa mbuzi, yaani hata sehemu ya kuchagua mikoa ni mtiti eti wanakuambia chagua mkoa halafu mikoa yenyewe hawajaweka. Mbuzi kweli hawaKatika kufanya maomba ya kazi zilizotangazwa na TAMISEMI, waombaji wengi tumekutana na changamoto hii kubwa. (Hasa upande wa elimu, sijui upande wa afya kukoje)
Katika kipengele cha kujaza taarifa za chuo, Baada ya ku-search chuo then unatakiwa kuselect course uliyosoma, lakini kwa bahati mbaya, courses nyingi hazidisplay (hazionekani) katika mfumo.
Shida ni kuwa huwezi kuandika jina la course mwenyewe bali unaselect kama nilivyosema hapo awali. Hili tatizo liko kwa waombaji wengi. Lakini vilevile hili tatizo lipo tangu mwaka Jana na naona bado halijafanyiwa utatuzi.
Tunawaomba TAMISEMI wa-add courses zifuatazo ili kila mwalimu afanye application bila tatizo lolote.
Natumai ma IT na wafanyakazi wa TAMISEMI wataliona hili na kulifanyia utatuzi kwani ni tatizo kwa waombaji wengi.
- Bachelor of Arts with Education (BAEd)
- Bachelor of science with education (BSc Ed)
- Bachelor of Education in arts (BEDA)
- Bachelor of Education in Science (BEd Sc)
- Bachelor of Education in psychology (B.Ed PSY)
- Bachelor of Education in policy planning and management (B.Ed PPM),
- Bachelor of Education in guidance and counselling (B.Ed GUCO)
- Bachelor of Education in science (B.Ed Sc),
- Bachelor of Education in special education (B.Ed SPED)
- Bachelor of Education in adult education and community development (B.Ed AECD)
- Bachelor of Education in science with ICT (B.Ed Sc ICT)
- Bachelor of Education in early childhood education (B.Ed ECE)
- Bachelor of Education in physical education and sport science (B.Ed PESS)
- Bachelor of Education in primary education
- Bachelor of Education in commerce (B.Ed COM)
- N.k.
Kama nawewe unapitia changamoto hii karibu tudiscuss kivipi tunaweza kuitatua.
Hiyo fungulia kwenye laptop inasoma vyema kabisa mkuuOya wadau mbona nikitaka kupreview vyeti vyangu nilivyo attach inakataa??? View attachment 2197621
Mwenyewe Nimeshangaa, au jamaa aldhan atajibiwa vibayaSasa hao jamaa wakiweka zote inawaathiri nini? Lakini mkuu pia si vyema kurekodi watu wakiwa kazini, unless wamekufanyia ubaya. Ungetoa feedback tu ya walichokwambia, na si kurekodi calls kama mnaviziana.
mkuu kama za UDOM zimekubali ninaomba uniangalizie na hii course kama ipo maana yake kwangu haisomeki kabisa Bachelor of education in arts (BEDA).Jamani kwangu kwa upande wa UDOM courses zimekubali
Hv n BEDA au BAED.?mkuu kama za UDOM zimekubali ninaomba uniangalizie na hii course kama ipo maana yake kwangu haisomeki kabisa Bachelor of education in arts (BEDA).
Kuna Beda na baedHv n BEDA au BAED.?
Asante kwa kunisaidia kutoa jibu.Kuna Beda na baed
Sijaiona lakin kadri muda unavyokwenda ndio kozi zinaweka kwenye mfumomkuu kama za UDOM zimekubali ninaomba uniangalizie na hii course kama ipo maana yake kwangu haisomeki kabisa Bachelor of education in arts (BEDA).
mm vyuo vinakuja duplicate sasa ukiotea chuo chenye hio kozi freshHawa ma-IT wa kibongo mafala sana, sijui huwa wanasomea wapi hawa mbuzi, yaani hata sehemu ya kuchagua mikoa ni mtiti eti wanakuambia chagua mkoa halafu mikoa yenyewe hawajaweka. Mbuzi kweli hawa