Tatizo la courses katika mfumo wa ajira za TAMISEMI

Diploma in Secondary Education kwenye course hamna bro bashungwa unakwama wap na team yako ya IT
 
Wamenijib hivi
Sasa hao jamaa wakiweka zote inawaathiri nini? Lakini mkuu pia si vyema kurekodi watu wakiwa kazini, unless wamekufanyia ubaya. Ungetoa feedback tu ya walichokwambia, na si kurekodi calls kama mnaviziana.
 
Duuuh sawa
Sasa hao jamaa wakiweka zote inawaathiri nini? Lakini mkuu pia si vyema kurekodi watu wakiwa kazini, unless wamekufanyia ubaya. Ungetoa feedback tu ya walichokwambia, na si kurekodi calls kama mnaviziana.
 
Jamani kwangu kwa upande wa UDOM courses zimekubali
 
Hawa ma-IT wa kibongo mafala sana, sijui huwa wanasomea wapi hawa mbuzi, yaani hata sehemu ya kuchagua mikoa ni mtiti eti wanakuambia chagua mkoa halafu mikoa yenyewe hawajaweka. Mbuzi kweli hawa
 
Sasa hao jamaa wakiweka zote inawaathiri nini? Lakini mkuu pia si vyema kurekodi watu wakiwa kazini, unless wamekufanyia ubaya. Ungetoa feedback tu ya walichokwambia, na si kurekodi calls kama mnaviziana.
Mwenyewe Nimeshangaa, au jamaa aldhan atajibiwa vibaya
 
Jamani kwangu kwa upande wa UDOM courses zimekubali
mkuu kama za UDOM zimekubali ninaomba uniangalizie na hii course kama ipo maana yake kwangu haisomeki kabisa Bachelor of education in arts (BEDA).
 
mkuu kama za UDOM zimekubali ninaomba uniangalizie na hii course kama ipo maana yake kwangu haisomeki kabisa Bachelor of education in arts (BEDA).
Sijaiona lakin kadri muda unavyokwenda ndio kozi zinaweka kwenye mfumo
 
Hawa ma-IT wa kibongo mafala sana, sijui huwa wanasomea wapi hawa mbuzi, yaani hata sehemu ya kuchagua mikoa ni mtiti eti wanakuambia chagua mkoa halafu mikoa yenyewe hawajaweka. Mbuzi kweli hawa
mm vyuo vinakuja duplicate sasa ukiotea chuo chenye hio kozi fresh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…