Ahmed Saidi
JF-Expert Member
- Oct 15, 2019
- 1,588
- 3,487
- Thread starter
-
- #41
Yeah Mara nyingi kile Cha pili ndio kina course nyingimm vyuo vinakuja duplicate sasa ukiotea chuo chenye hio kozi fresh
Bora weweJamani kwenu mfumo unafunguka sasa hivi??
Oya wadau mbona nikitaka kupreview vyeti vyangu nilivyo attach inakataa??
jisajili upya kbs, mbn hilo tatz n dogo xnBora wewe
Mimi haifunguki na ikifunguka naambiwa unauthorized user
Mcheki jamaa anamaliza chap Mr daudnami pia ni muhanga wa tatizo
kekundu kekundu!
Utapeli huu