Gari unalo wewe.Nina gari langu Toyota Brevis, nilikuwa naendesha, speed kama 120km/h lipo vizuri tu. Ghafla naona nguvu imepungua, na ukisimama engine inatikisika mpaka ukiwa ndani unahisi huo mtikisiko. Linaunguruma ni kama Lina miss ila halizimi. Na pia limekula MAFUTA mengi mno tofauti na kawaida yake. Yaani sehemu ya kilometer 87 ambayo Huwa natumia MAFUTA ya 30000, nimetumia ya 40000. Eti shida inaweza kuwa nini?
Huduma ya kwanzaNina gari langu Toyota Brevis, nilikuwa naendesha, speed kama 120km/h lipo vizuri tu.
Ghafla naona nguvu imepungua, na ukisimama engine inatikisika mpaka ukiwa ndani unahisi huo mtikisiko. Linaunguruma ni kama Lina miss ila halizimi.
Na pia limekula MAFUTA mengi mno tofauti na kawaida yake. Yaani sehemu ya kilometer 87 ambayo Huwa natumia MAFUTA ya 30000, nimetumia ya 40000.
Eti shida inaweza kuwa nini?
Mzee najua unamiliki mkoloniHa ha ha tangu jana umepata replies nne tu! Hii ingekuwa BMW VW LR uzi huu ungekuwa na pages 50 sasa hivi. Jamani wazee wa Toyota acheni unafiki msaidieni mwenzenu. Ingekuwa yale magari fulani mngejaa hapa kujidai mnajua magari lakini mwenzenu huyu ana tatizo hamuonekani
Extrovert Mzee Kigogo
Napiga miguu yote.Mzee najua unamiliki mkoloni
Engine mount na misfires? Loss of power?Naona angenza na engine mount halafu aendelee na mengineyo...
🤣🤣Ha ha ha tangu jana umepata replies nne tu! Hii ingekuwa BMW VW LR uzi huu ungekuwa na pages 50 sasa hivi. Jamani wazee wa Toyota acheni unafiki msaidieni mwenzenu. Ingekuwa yale magari fulani mngejaa hapa kujidai mnajua magari lakini mwenzenu huyu ana tatizo hamuonekani
Extrovert Mzee Kigogo
Akili yangu iliishia kwenye mtetemo wa engine tuuu...huko loss of power sikufikiria kabisa...😀😀Engine mount na misfires? Loss of power?
We subiri nijichangechange ning'oe la watasha tutaelewanaHa ha ha tangu jana umepata replies nne tu! Hii ingekuwa BMW VW LR uzi huu ungekuwa na pages 50 sasa hivi. Jamani wazee wa Toyota acheni unafiki msaidieni mwenzenu. Ingekuwa yale magari fulani mngejaa hapa kujidai mnajua magari lakini mwenzenu huyu ana tatizo hamuonekani
Extrovert Mzee Kigogo