Tatizo la Gonjwa la Sukari (Diabets Mellitis): Fahamu chanzo, aina na ushauri wa tiba ya tatizo hili

Tatizo la Gonjwa la Sukari (Diabets Mellitis): Fahamu chanzo, aina na ushauri wa tiba ya tatizo hili

Kwa hiyo tule vyakula gani hasa?
Swali zuri, unatakiwa ule mlo kamili.Mlo kamili unaundwa na nutrients zifuatazo:
•carbohydrate
•protein
•lipids
•vitamins
•maji
•madini
-vyote kwapamoja huunda mlo kamili.Leo tumejadili kuusu carbohydrates next time tujadili kuusu protein na baada ya protein itafwa lipids n.k
 
Mbona pombe haijatajwa wakati mtu akiugua ugonjwa wa kisukari cha kwanza anaambia aache pombe?
 
Kwanza kabisa napenda kumshukuru mungu kwa kutujalia pumzi mimi na wewe, siku hii ya leo juma pili tar 30/4/17.Ndungu zangu kisukari ni hatari sababu watu wengi hawana ufaham juu ya hili gonjwa na pia wapo watu hadi leo wanaamini kisukari ni ugonjwa wa ma boss na sio watu wa hali ya chini kimaisha.Watu wa aina hii wapuuzwe maana wana imani potofu.Labda nianze kwa kueleza kisukali au Ki sugar nini? Kifup pale insulini inaposhindwa kubalance kiwango cha sukari mwilini ndipo chanzo cha ugonjwa wa kisukari.Mazingira yanayo pelekea isulini kushindwa ku control kiwango cha sukari ni pamoja na kuzidi au kupungua kwa kiwango cha sukali mwilini.Lakini mara nyingi kuzidi kwa sukali ndo kitovu cha wengi kupata kisukari.Wengi watu hupata kisukari kwa kutokujua vya kula ambavyo huweza kusababisha kuzidi kwa sukari mwilini.Wengi tunajua kula sukari nyingi ndo chanzo cha kisukari,wapo sahihi ila tungekuwa sahihi zaid tungejua vyakula ambavyo huongeza sukali mwilini.Hii ingewasaidia kuwa makini pindi tutumiapo sukari na vyakula vya sukali,ambavyo husababisha ongezeko LA sukari mwilini visipotumiwa kwa utaratibu.Hivyo basi ili kujizuia na kisukari ni lazima kila moja awe makini na vyakula vya carbohydrates (wanga) ambayo baada ya kutiwa tumboni then hubadilishwa kuwa glycogen,baada ya hapo glycogen hubadilishwa kuwa Glucose ambayo ni sukali.So kama umekula vya kula vya carbohydrates,at the same time ukanywa au kula sukali utakuwa umekula; "sukali juu ya sukari" ambayo ni hatari kwa afy.
Carbohydrates imegawanyika katika makundi yafwatayo.
1: monosaccharides-simple sugar
2:Oligosaccharides-hundwa na muunganiko wa simple sugar
3😛olysaccharides-Huundwa na muunganiko wa ologosaccharide.
N.B kila kundi hapo juu lina list ya vyakula vyake,lakini kulifanya somo liwe rahisi nitavi orodhesha vyakula vyote ambayo vita fit kwa kila kundi lililotwajwa hapo juu.
Bila ya kupoteza mda ifuatayo ni list ya vyakula vya carbohydrates ambayo ndio chanzo cha kisukari au ki sugar kwa lugha ya kiswa-English.
-sukali ya miwa
-glucose
-asali
-Matunda
-maziwa
-Biscute
-pelemende za kumung'unya
-vyakuka vyote vinavyo weza kukobolewa kama:
°mahindi
°muhogo
°viazi (vitam na mviringo)
°ngano
°mtama
°ndizi
°mchele n.k
Hivyo basi ni jukum la kila mmoja kujua vyakula vya carbohydrates then awe makini navyo kwa sababu vinachangia kwa kiasi kikubwa ongezeko la sukali mwilini,lakini vile vile kuacha kuvitumia kunaweza kusababisha kisukari pia.Ni vema vikatumika ila kiu makini i.e Too much carbohydrates food is harmful, but also too low carbohydrates food is harmful as well.
Pamoja sana,kama somo limekugusa comment maneno yanao leta hope pia unaweza ku like au ku share na washikaji.
Thanx for your attention.
Chanzo cha kisukari ni kutofanya mazoezi au kutoufanyisha mwili mazoezi. Kwa hiyo unataka watu wale nyasi?!
 
Chanzo cha kisukari ni kutofanya mazoezi au kutoufanyisha mwili mazoezi. Kwa hiyo unataka watu wale nyasi?!
Ukifanya mazoezi ndo umeufanyisha mwili mazoezi,na usipo toka jasho bado hujafanya zoezi.Kwahiyo zoezi mpaka utoke jasho.Kuusu kula tunashauriwa kula vyakula vyote vinavyo unda mlo kamili ila tusipendelee kula cha kula cha aina moja kila mlo.
 
Kama vyote vibaya tule nn sasa?hakuna atakayeishi milele muda ukifiki utaondoka haijalishi utaondoka vip
 
Ukifanya mazoezi ndo umeufanyisha mwili mazoezi,na usipo toka jasho bado hujafanya zoezi.Kwahiyo zoezi mpaka utoke jasho.Kuusu kula tunashauriwa kula vyakula vyote vinavyo unda mlo kamili ila tusipendelee kula cha kula cha aina moja kila mlo.
Staple foods zote ni carbohydrate! Mtama, ndizi, wali, ngano, mihogo, magimbi, viazi, ugali, ulezi, uwele n.k

Sasa hebu sema tusirudie rudie kwa maana ipi?
 
Reference ya nini kwa mfano au una maanisha haujui mahindi,viazi,muhogo,ngano,,,,au...
Wanamaanisha sehemu ulipoyatoa au kuyasoma haya uliyoyaandika labda uli-Google sehemu, ulisoma kitabu cha afya, au ulielezwa na mtaalamu wa afya, kwaiyo unayawekea funga na fungua semi maneno yake unaweka chanzo ili watu wakasome kusiwe na ubishi na ubabaishaji.
 
Sasa tusivile au?
Tunatakiwa kula aina zote za vyakula vinavyo unda mlo kamili,ila tusipendelee kula chakula cha aina moja tu kila mlo au kila siku.Mfano vya kula vya carbohydrates kila siku au kila mlo bila kuchnganya na vyakula vingine kama protein,maji,vitamins, lipids na madini alafu haufanyi mazoezi yanayotoa jasho sio nzur kiafy.
 
Kwanza kabisa napenda kumshukuru mungu kwa kutujalia pumzi mimi na wewe, siku hii ya leo juma pili tar 30/4/17.Ndungu zangu kisukari ni hatari sababu watu wengi hawana ufaham juu ya hili gonjwa na pia wapo watu hadi leo wanaamini kisukari ni ugonjwa wa ma boss na sio watu wa hali ya chini kimaisha.Watu wa aina hii wapuuzwe maana wana imani potofu.Labda nianze kwa kueleza kisukali au Ki sugar nini? Kifup pale insulini inaposhindwa kubalance kiwango cha sukari mwilini ndipo chanzo cha ugonjwa wa kisukari.Mazingira yanayo pelekea isulini kushindwa ku control kiwango cha sukari ni pamoja na kuzidi au kupungua kwa kiwango cha sukali mwilini.Lakini mara nyingi kuzidi kwa sukali ndo kitovu cha wengi kupata kisukari.Wengi watu hupata kisukari kwa kutokujua vya kula ambavyo huweza kusababisha kuzidi kwa sukari mwilini.Wengi tunajua kula sukari nyingi ndo chanzo cha kisukari,wapo sahihi ila tungekuwa sahihi zaid tungejua vyakula ambavyo huongeza sukali mwilini.Hii ingewasaidia kuwa makini pindi tutumiapo sukari na vyakula vya sukali,ambavyo husababisha ongezeko LA sukari mwilini visipotumiwa kwa utaratibu.Hivyo basi ili kujizuia na kisukari ni lazima kila moja awe makini na vyakula vya carbohydrates (wanga) ambayo baada ya kutiwa tumboni then hubadilishwa kuwa glycogen,baada ya hapo glycogen hubadilishwa kuwa Glucose ambayo ni sukali.So kama umekula vya kula vya carbohydrates,at the same time ukanywa au kula sukali utakuwa umekula; "sukali juu ya sukari" ambayo ni hatari kwa afy.
Carbohydrates imegawanyika katika makundi yafwatayo.
1: monosaccharides-simple sugar
2:Oligosaccharides-hundwa na muunganiko wa simple sugar
3😛olysaccharides-Huundwa na muunganiko wa ologosaccharide.
N.B kila kundi hapo juu lina list ya vyakula vyake,lakini kulifanya somo liwe rahisi nitavi orodhesha vyakula vyote ambayo vita fit kwa kila kundi lililotwajwa hapo juu.
Bila ya kupoteza mda ifuatayo ni list ya vyakula vya carbohydrates ambayo ndio chanzo cha kisukari au ki sugar kwa lugha ya kiswa-English.
-sukali ya miwa
-glucose
-asali
-Matunda
-maziwa
-Biscute
-pelemende za kumung'unya
-vyakuka vyote vinavyo weza kukobolewa kama:
°mahindi
°muhogo
°viazi (vitam na mviringo)
°ngano
°mtama
°ndizi
°mchele n.k
Hivyo basi ni jukum la kila mmoja kujua vyakula vya carbohydrates then awe makini navyo kwa sababu vinachangia kwa kiasi kikubwa ongezeko la sukali mwilini,lakini vile vile kuacha kuvitumia kunaweza kusababisha kisukari pia.Ni vema vikatumika ila kiu makini i.e Too much carbohydrates food is harmful, but also too low carbohydrates food is harmful as well.
Pamoja sana,kama somo limekugusa comment maneno yanao leta hope pia unaweza ku like au ku share na washikaji.
Thanx for your attention.
Nyie ndio mnaotafutwa kama mko katika Ofisi za UMMA . .

Inakuwaje mtu mzima unachanganya herufi "L" na "R" . . ?

Sukali . . ?! !!!
Safali . . ?!!!
Lijali . . ?! badala ya rijali . .

Hebu kwanza kajifunze lugha yetu vizuri ndio urudi hapa . . , mnaudhi sana nyie . . [emoji35]
 
Seifu Jafary,inaonekana moja kwa moja wewe ni mganga wa kienyeji ambae umekariri juju ugonjwa wa kisukari.Mada yako yako ya kisukari ingekuwa ni mtihani hakika ungeondoka na maksi sifuri pamoja na masikio yake.Tafadhali usiwadanye Watanzania na kuwachanganya.Ugonjwa wa kisukari haupo hivyo,nenda kwanza kasome shule acha kudanganya.
 
Maelezo yako yanakanganya inawezekana huna elimu hiyo ya ugonjwa wa kisukari au umeshindwa namna ya kuwasilisha ulichokusudia kutueleza
Mtu huyu ana elimu kama ya Makonda tuu . . , kama mtu Sukari anaiita Sukali . . , hana alijualo

Ni copy and paste tuu . ..
 
  • Thanks
Reactions: OTG
Kwanza hata kuandika kiswahili fasaha huwezi badala yake unaandika Kizaramo.Hayo masomo magumu ya sayansi utayamudu vipi ikiwa lugha ya taifa huiwezi.Wakati mwingine ni bora kukaa kimya usubiri ugali wa jioni wa mkeo.
 
Seifu Jafary,inaonekana moja kwa moja wewe ni mganga wa kienyeji ambae umekariri juju ugonjwa wa kisukari.Mada yako yako ya kisukari ingekuwa ni mtihani hakika ungeondoka na maksi sifuri pamoja na masikio yake.Tafadhali usiwadanye Watanzania na kuwachanganya.Ugonjwa wa kisukari haupo hivyo,nenda kwanza kasome shule acha kudanganya.
Nikasome mara ngapi,toa mawazo ulivyo soma na kuelewa kuusu nutrition na balanced diet.Na elimu uliyo nayo juu ya vyakula vya wanga na kisukari sio kuni face direct.Discuss the topic don't discuss some one else.Kama kuna point ambayo nimeielezea tofauti iweke wazi sio kuongea maneno mengi ambayo yapo out of topi.
 
Mimi hapo kwenye Asali nakuomba poo kubwa,maana nilikaririshwa kua Asali ni tiba nzuri,nimeacha kutumia vitu vya sukari natumia Asali,kumbe nayo ni hatari!wacha nife.
 
Back
Top Bottom