Sefu jafary
JF-Expert Member
- Jun 5, 2016
- 382
- 258
Asali sio hatari kiongozi kama utaitumia kwa utaratibu unaotakiwa.Na issue iliyopo mezani ni kuwasaidia watu wajue kuwa vyakula vya wanga vinapoliwa hubadilishwa na mwili kuwa glucose (sukari),endapo hii glucose ikizidi mwilini husababisha insulini ishindwe control kiasi cha sukari mwilini na hatimaye kupelekea kisukari.Mimi hapo kwenye Asali nakuomba poo kubwa,maana nilikaririshwa kua Asali ni tiba nzuri,nimeacha kutumia vitu vya sukari natumia Asali,kumbe nayo ni hatari!wacha nife.