Kuhusu kuoga maji ya baridi..nimewapa tiba ambayo ni bure..naona mnaamini tiba za kulipia..na kumeza tembe..sawa endeleeni na imani hiyo.
Inagharimu nini kujaribu kuoga maji ya baridi mara kadha kwa siku huku ukifwatilia maendeleo ya sukari yako alafu uje na facts kuwa haisaidii chochote.
Hii tiba ambayo ni price less haiwezi kupendwa na watu wanaonufaika na uuzaji wa madawa ndio maana researchers waliogundua wamepata sana upinzani..give it a try.
Inagharimu nini kujaribu kuoga maji ya baridi mara kadha kwa siku huku ukifwatilia maendeleo ya sukari yako alafu uje na facts kuwa haisaidii chochote.
Hii tiba ambayo ni price less haiwezi kupendwa na watu wanaonufaika na uuzaji wa madawa ndio maana researchers waliogundua wamepata sana upinzani..give it a try.